Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serengeti Boys, Amajimbos sare 

TIMU ya taifa ya Tanzania kwa vijana wa chini ya miaka 17, Serengeti Boys, jana ilitoka sare ya bila kufungana na wenzao wa Afrika Kusini katika mechi ya kimataifa iliyochezwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Serengeti Boys vs ‘Amajimbos’ buku 2

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) imetangaza viingilio vya mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kwa vijana wa chini ya miaka 17 kati ya Tanzania ‘Serengeti...

 

11 years ago

Mwananchi

Serengeti Boys yapania

Kocha wa timu ya taifa ya vijana walio na chini ya miaka 17, Serengeti Boys, Hababuu Ali Omari amesema wachezaji wake wako tayari kwa ajili ya mchezo wa Ijumaa dhidi ya Afrika Kusini.

 

11 years ago

Mwananchi

Serengeti Boys yashikwa nyumbani

Timu ya taifa ya soka ya vijana chini ya miaka 17, Ngorongoro Heroes imeshindwa kutamba mbele ya wenzao wa Afrika Kusini, baada ya kulazimishwa suluhu nyumbani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serengeti Boys yapigwa tafu

KAMPUNI ya Airtel Tanzania imeahidi kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kuendeleza michezo nchini ili kuleta ufanisi katika sekta hiyo. Akizungumza kabla ya kukabidhi mipira 100 kwa timu ya...

 

11 years ago

Michuzi

KIINGILIO MECHI YA SERENGETI BOYS 2,000/-

Mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 kati ya Tanzania (Serengeti Boys) na Afrika Kusini (Amajimbos) itachezwa kwa kiingilio cha sh. 2,000.
Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam ndiyo utakaokuwa mwenyeji wa mechi hiyo itakayochezwa kuanzia saa 9 kamili alasiri.
Waamuzi wa mechi hiyo wanatoka Shelisheli. Mwamuzi wa kati ni Allister Barra wakati wasaidizi wake ni Gerard Pool na Jean Joseph Felix Ernest wakati mezani atakuwa...

 

11 years ago

TheCitizen

Serengeti Boys in do-or-die AYC showdown

Serengeti Boys head coach, Hababuu Omary, has urged his lads to go for broke when they go head-to-head with South Africa’s Amajimbos in the second leg of the African Youth Championship (AYC) qualifier at the Dobsonville Stadium, Soweto today.

 

11 years ago

TheCitizen

Serengeti Boys should make Tanzanians happy

Even as we still strive to come to terms with our athletes’ poor performance at the 2014 Commonwealth Games, local sports enthusiasts will be excited to note that our national Under-17 soccer team, Serengeti Boys, has realistic chances of making it to the final qualifying round of the 2015 Africa Youth Championship.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serengeti Boys kukipiga Azam Complex

MECHI ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya soka Afrika kwa vijana wenye miaka chini ya 17 kati ya Tanzania ‘Serengeti Boys’ na Afrika Kusini ‘Amajimbos’ itachezwa Ijumaa,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapinzani wa Serengeti Boys watua Dar 

TIMU ya soka ya vijana wa chini ya umri wa miaka 17 ya Afrika Kusini ‘Amajimbos’, imewasili nchini kwa mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani