Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serengeti Boys vs ‘Amajimbos’ buku 2

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) imetangaza viingilio vya mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kwa vijana wa chini ya miaka 17 kati ya Tanzania ‘Serengeti...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Serengeti Boys, Amajimbos sare 

TIMU ya taifa ya Tanzania kwa vijana wa chini ya miaka 17, Serengeti Boys, jana ilitoka sare ya bila kufungana na wenzao wa Afrika Kusini katika mechi ya kimataifa iliyochezwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Serengeti Boys yapania

Kocha wa timu ya taifa ya vijana walio na chini ya miaka 17, Serengeti Boys, Hababuu Ali Omari amesema wachezaji wake wako tayari kwa ajili ya mchezo wa Ijumaa dhidi ya Afrika Kusini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serengeti Boys yapigwa tafu

KAMPUNI ya Airtel Tanzania imeahidi kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kuendeleza michezo nchini ili kuleta ufanisi katika sekta hiyo. Akizungumza kabla ya kukabidhi mipira 100 kwa timu ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Serengeti Boys yashikwa nyumbani

Timu ya taifa ya soka ya vijana chini ya miaka 17, Ngorongoro Heroes imeshindwa kutamba mbele ya wenzao wa Afrika Kusini, baada ya kulazimishwa suluhu nyumbani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapinzani wa Serengeti Boys watua Dar 

TIMU ya soka ya vijana wa chini ya umri wa miaka 17 ya Afrika Kusini ‘Amajimbos’, imewasili nchini kwa mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika...

 

11 years ago

TheCitizen

Serengeti Boys in do-or-die AYC showdown

Serengeti Boys head coach, Hababuu Omary, has urged his lads to go for broke when they go head-to-head with South Africa’s Amajimbos in the second leg of the African Youth Championship (AYC) qualifier at the Dobsonville Stadium, Soweto today.

 

11 years ago

Michuzi

KIINGILIO MECHI YA SERENGETI BOYS 2,000/-

Mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 kati ya Tanzania (Serengeti Boys) na Afrika Kusini (Amajimbos) itachezwa kwa kiingilio cha sh. 2,000.
Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam ndiyo utakaokuwa mwenyeji wa mechi hiyo itakayochezwa kuanzia saa 9 kamili alasiri.
Waamuzi wa mechi hiyo wanatoka Shelisheli. Mwamuzi wa kati ni Allister Barra wakati wasaidizi wake ni Gerard Pool na Jean Joseph Felix Ernest wakati mezani atakuwa...

 

11 years ago

GPL

SERENGETI BOYS KUPAMBANA NA AFRIKA KUSINI

Waandishi kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakimsikiliza Wambura. Afisa Habari wa TFF Boniface Wambura akizungumza na wanahabari. TIMU ya vijana ya Tanzania chini ya miaka 17, Serengeti Boys inatarajiwa kushuka dimbani kupambana na Afrika Kusini katika mchezo wa kutafuta tiketi ya kufuzu kwa Fainali za Kombe la Mataifa Afrika kwa vijana chini ya umri huo. Hayo yalisemwa na Afisa Habari wa… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serengeti Boys kukipiga Azam Complex

MECHI ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya soka Afrika kwa vijana wenye miaka chini ya 17 kati ya Tanzania ‘Serengeti Boys’ na Afrika Kusini ‘Amajimbos’ itachezwa Ijumaa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani