Serengeti Boys vs ‘Amajimbos’ buku 2
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) imetangaza viingilio vya mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kwa vijana wa chini ya miaka 17 kati ya Tanzania ‘Serengeti...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Serengeti Boys, Amajimbos sareÂ
TIMU ya taifa ya Tanzania kwa vijana wa chini ya miaka 17, Serengeti Boys, jana ilitoka sare ya bila kufungana na wenzao wa Afrika Kusini katika mechi ya kimataifa iliyochezwa...
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Serengeti Boys yapania
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Serengeti Boys yapigwa tafu
KAMPUNI ya Airtel Tanzania imeahidi kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kuendeleza michezo nchini ili kuleta ufanisi katika sekta hiyo. Akizungumza kabla ya kukabidhi mipira 100 kwa timu ya...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Serengeti Boys yashikwa nyumbani
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Wapinzani wa Serengeti Boys watua DarÂ
TIMU ya soka ya vijana wa chini ya umri wa miaka 17 ya Afrika Kusini ‘Amajimbos’, imewasili nchini kwa mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika...
11 years ago
TheCitizen03 Aug
Serengeti Boys in do-or-die AYC showdown
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5fiHedupc44/U8LF4Joc4sI/AAAAAAAF13k/H3M9zzplG0A/s72-c/download.jpg)
KIINGILIO MECHI YA SERENGETI BOYS 2,000/-
![](http://2.bp.blogspot.com/-5fiHedupc44/U8LF4Joc4sI/AAAAAAAF13k/H3M9zzplG0A/s1600/download.jpg)
Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam ndiyo utakaokuwa mwenyeji wa mechi hiyo itakayochezwa kuanzia saa 9 kamili alasiri.
Waamuzi wa mechi hiyo wanatoka Shelisheli. Mwamuzi wa kati ni Allister Barra wakati wasaidizi wake ni Gerard Pool na Jean Joseph Felix Ernest wakati mezani atakuwa...
11 years ago
GPLSERENGETI BOYS KUPAMBANA NA AFRIKA KUSINI
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Serengeti Boys kukipiga Azam Complex
MECHI ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya soka Afrika kwa vijana wenye miaka chini ya 17 kati ya Tanzania ‘Serengeti Boys’ na Afrika Kusini ‘Amajimbos’ itachezwa Ijumaa,...