SERENGETI BOYS KUPAMBANA NA AFRIKA KUSINI
Waandishi kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakimsikiliza Wambura. Afisa Habari wa TFF Boniface Wambura akizungumza na wanahabari. TIMU ya vijana ya Tanzania chini ya miaka 17, Serengeti Boys inatarajiwa kushuka dimbani kupambana na Afrika Kusini katika mchezo wa kutafuta tiketi ya kufuzu kwa Fainali za Kombe la Mataifa Afrika kwa vijana chini ya umri huo. Hayo yalisemwa na Afisa Habari wa… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--9_N-qr_BO8/U8ZC0kIEMzI/AAAAAAAF2ps/RuGHBmslkg4/s72-c/serengeti.jpg)
AFRIKA KUSINI YAWASILI KUIVAA SERENGETI BOYS
![](http://3.bp.blogspot.com/--9_N-qr_BO8/U8ZC0kIEMzI/AAAAAAAF2ps/RuGHBmslkg4/s1600/serengeti.jpg)
Timu hiyo yenye msafara wa watu 37 ilitua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jana usiku (Julai 15 mwaka huu) na imefikia hoteli ya Sapphire. Amajimbos itafanya mazoezi leo saa 10 jioni kwenye...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tbAOa0Cg3M4/U9TDAhXUqTI/AAAAAAAF6_Y/cLSMjXL-Uio/s72-c/serengeti+boys.jpg)
SERENGETI BOYS KUELEKEA AFRIKA KUSINI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-tbAOa0Cg3M4/U9TDAhXUqTI/AAAAAAAF6_Y/cLSMjXL-Uio/s1600/serengeti+boys.jpg)
Mechi hiyo ya marudiano ya raundi ya pili itachezwa Jumamosi, Agosti 2 mwaka huu kwenye Uwanja wa Dobsonville uliopo Soweto, Johannesburg kuanzia saa 9 kamili mchana kwa saa za Afrika Kusini.
Timu hizo zilitoka suluhu katika mechi ya kwanza iliyofanyika Julai 18 mwaka huu kwenye...
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Virusi vya corona: Kijiji kilicho Afrika Kusini chajiandaa kupambana na Covid-19
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Serengeti Boys yapania
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Serengeti Boys vs ‘Amajimbos’ buku 2
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) imetangaza viingilio vya mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kwa vijana wa chini ya miaka 17 kati ya Tanzania ‘Serengeti...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Serengeti Boys, Amajimbos sareÂ
TIMU ya taifa ya Tanzania kwa vijana wa chini ya miaka 17, Serengeti Boys, jana ilitoka sare ya bila kufungana na wenzao wa Afrika Kusini katika mechi ya kimataifa iliyochezwa...
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Serengeti Boys yapigwa tafu
KAMPUNI ya Airtel Tanzania imeahidi kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kuendeleza michezo nchini ili kuleta ufanisi katika sekta hiyo. Akizungumza kabla ya kukabidhi mipira 100 kwa timu ya...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Serengeti Boys yashikwa nyumbani
11 years ago
TheCitizen03 Aug
Serengeti Boys in do-or-die AYC showdown