SERIKALI KUOMBA MKOPO POLAND - WAZIRI MKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-a_uhMcxQxck/VEzypfzo-oI/AAAAAAAGta0/SBuOdbnQvrg/s72-c/MMGM0728.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali inaangalia uwezekano wa kupata mkopo wenye masharti nafuu kutoka Serikali ya Poland utakaoliongezea Taifa uwezo wa kuhifadhi chakula tofauti na hali ilivyo sasa.
Alisema uzalishaji mwaka huu umetoa ziada ya tani milioni 1.5 za nafaka na tani 800,000 za mpunga ikilinganishwa na ziada ya tani 300,000 iliyokuwepo mwaka jana. “Serikali inakabiliwa na changamoto ya kupata soko la uhakika kwa mazao ya wakulima kwa sababu tulizoea kumtumia Wakala wa Hifadhi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi26 Oct
WAZIRI MKUU: SERIKALI KUOMBA MKOPO POLAND
![PG4A6900](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/PG4A6900.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali inaangalia uwezekano wa kupata mkopo wenye masharti nafuu kutoka Serikali ya Poland utakaoliongezea Taifa uwezo wa kuhifadhi chakula tofauti na hali ilivyo sasa.
Alisema uzalishaji mwaka huu umetoa ziada ya tani milioni 1.5 za nafaka na tani 800,000 za mpunga ikilinganishwa na ziada ya tani 300,000...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-W3ODpPi9e0Y/VE5xdDOXfSI/AAAAAAAGtr8/x1vLuCNdbj4/s72-c/123137.jpg)
WAZIRI MKUU AKUTANA NA WAWEKEZAJI NCHINI POLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-W3ODpPi9e0Y/VE5xdDOXfSI/AAAAAAAGtr8/x1vLuCNdbj4/s1600/123137.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dQLsJpIddho/VE5xe0CYV6I/AAAAAAAGtsI/akCIkJqiH1c/s1600/124022.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rlT287etMfQ/VE5xem_Z1_I/AAAAAAAGtsE/Rw9YGhxQ9Zo/s1600/124050.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Oct
Waziri Mkuu Pinda akutana na Balozi wa Poland
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi wa Poland nchini, Mhe. Marek Ziolkowskoi kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam, Oktoba 13, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YlXOPwEv0cY/VE6ptDa4O_I/AAAAAAACtsg/qiIfiUrM_UY/s72-c/115035.jpg)
WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO POLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-YlXOPwEv0cY/VE6ptDa4O_I/AAAAAAACtsg/qiIfiUrM_UY/s1600/115035.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-M0uvcuK9UN0/VE6ppRHaZYI/AAAAAAACtsQ/HtlT9gzpUxs/s1600/120008.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b8qUy1tjRGs/VE6ppgm_P2I/AAAAAAACtsU/VN9R1GFtxFk/s1600/120017.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
Waziri Mkuu Pinda alipokutana na Watanzania waishio Poland
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiagana na Mwenyekiti wa Watanzania waishio Poland (WAPO), Bw. Steven Sambali mara baada ya kukutana nao na kuwaeleza mambo yanayoendelea nyumbani Tanzania. Waziri Mkuu alikuwa nchini humo kwa ziara ya siku tatu.
Mmoja wa Watanzania waishio Poland wakiagana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda mara baada ya kukutana nao mwishoni mwa wiki kwenye hoteli ya Sheraton jijini Warsaw, Poland. Waziri Mkuu alikuwa nchini humo kwa ziara ya siku tatu. (Picha na Irene Bwire wa...
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Matukio ya ziara ya Waziri Mkuu Pinda nchini Poland
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Watanzania waishio Polland baada ya kuwasili jijini Warsaw kwa ziara ya kikazi Oktoba 24, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wajumbe wa Chama cha Wafanyabiashara cha Polland jijini Warsaw akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Oktoba 24, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Wajumbe wa Chama cha Wafanyabiashara cha Polland jijini Warsaw akiwa katika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vJ6OK3r_us8/VEzYZrc3W5I/AAAAAAACtjY/r8YlG-gj2r8/s72-c/PG4A68321.jpg)
WAZIRI MKUU PINDA ATEMBELEA KIWANDA CHA TREKTA POLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-vJ6OK3r_us8/VEzYZrc3W5I/AAAAAAACtjY/r8YlG-gj2r8/s1600/PG4A68321.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda atatuma wataalamu wa sekta ya kilimo ili waje kufuatilia suala la mahitaji ya trekta ili kuziba pengo la mahitaji yake nchini Tanzania.
Alisema lengo la Serikali la kuanzisha sera ya Kilimo Kwanza lilikuwa ni kuwasaidia wakulima kupata ruzuku ya pembejeo, mbegu bora, na dawa za mifugo ili waweze kuongeza ushalishaji.
“Kutokana na mkopo wa Serikali ya India, tulipata matrekta 1,846 ambayo hayakuchukua muda kuisha. Sasa hivi tunatafuta wabia wengine wa kutupatia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLS079UZTw2DBcgT7p9ofj41VdyIAVbhpzIKlQWdVx2QQDvW0z1dLdcSHXYB-jF9RTEsNdhN4Vs7x2FG19gD5fRW/unnamed66.jpg?width=650)
WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI, PIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA RAIS WA KAMPUNI YA CONTRACTUS YA POLAND
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RiAW5YQJarI/VFxMbIdqexI/AAAAAAAGv50/s_4XUbDIMMw/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA MAGHALA YA CHAKULA KIZOTA DODOMA: Mwekezaji wa Poland asema wataanza kujenga Januari, mwakani
![](http://4.bp.blogspot.com/-RiAW5YQJarI/VFxMbIdqexI/AAAAAAAGv50/s_4XUbDIMMw/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rS5CMxpnNRo/VFxMbFy9hoI/AAAAAAAGv5w/iDI5h-tUhks/s1600/unnamed%2B(9).jpg)