Waziri Mkuu Pinda alipokutana na Watanzania waishio Poland
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiagana na Mwenyekiti wa Watanzania waishio Poland (WAPO), Bw. Steven Sambali mara baada ya kukutana nao na kuwaeleza mambo yanayoendelea nyumbani Tanzania. Waziri Mkuu alikuwa nchini humo kwa ziara ya siku tatu.
Mmoja wa Watanzania waishio Poland wakiagana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda mara baada ya kukutana nao mwishoni mwa wiki kwenye hoteli ya Sheraton jijini Warsaw, Poland. Waziri Mkuu alikuwa nchini humo kwa ziara ya siku tatu. (Picha na Irene Bwire wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YlXOPwEv0cY/VE6ptDa4O_I/AAAAAAACtsg/qiIfiUrM_UY/s72-c/115035.jpg)
WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO POLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-YlXOPwEv0cY/VE6ptDa4O_I/AAAAAAACtsg/qiIfiUrM_UY/s1600/115035.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-M0uvcuK9UN0/VE6ppRHaZYI/AAAAAAACtsQ/HtlT9gzpUxs/s1600/120008.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b8qUy1tjRGs/VE6ppgm_P2I/AAAAAAACtsU/VN9R1GFtxFk/s1600/120017.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QwawJySr2Dk/U8LMYt85YOI/AAAAAAAF14E/omeY1INlAJc/s72-c/DSC_0008.jpeg)
WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-QwawJySr2Dk/U8LMYt85YOI/AAAAAAAF14E/omeY1INlAJc/s1600/DSC_0008.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s551uVCR2Fg/U8LMYmAmjjI/AAAAAAAF138/5RYp7J9slW0/s1600/DSC_0019.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5K4lSl-S2yw/U8LMaGV_TvI/AAAAAAAF14U/2eToghsl6kY/s1600/DSC_0049.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-W7QebiXTrgw/U8LMaS70Y8I/AAAAAAAF14Y/A5XTVJTwN5o/s1600/DSC_0057.jpeg)
11 years ago
GPLWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO READING UINGEREZA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Smwd4JcXH8M/U7zplfS1ZrI/AAAAAAAFzq8/X89YbdK3eFQ/s72-c/Pinda.jpg)
WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO, MHE. PETER MIZENGO PINDA KUKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA JUMAMOSI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Smwd4JcXH8M/U7zplfS1ZrI/AAAAAAAFzq8/X89YbdK3eFQ/s1600/Pinda.jpg)
Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania London unawakaribisha Watanzania wote watakaoweza kupata fursa kuja kuzungumza na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda hapo Ubalozini siku ya Jumamosi (tarehe 12 Julai 2014) kuanzia saa nane mchana hadi kumi na moja jioni (14:00 – 17:00 Hours)
Katika Mkutano huo, Mheshimiwa Pinda anatarajiwa kuzungumzia masuala mbalimbali ya maendeleo ya nchi yetu. Aidha atajibu maswali...
10 years ago
Dewji Blog14 Oct
Waziri Mkuu Pinda akutana na Balozi wa Poland
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi wa Poland nchini, Mhe. Marek Ziolkowskoi kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam, Oktoba 13, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Matukio ya ziara ya Waziri Mkuu Pinda nchini Poland
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Watanzania waishio Polland baada ya kuwasili jijini Warsaw kwa ziara ya kikazi Oktoba 24, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wajumbe wa Chama cha Wafanyabiashara cha Polland jijini Warsaw akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Oktoba 24, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Wajumbe wa Chama cha Wafanyabiashara cha Polland jijini Warsaw akiwa katika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vJ6OK3r_us8/VEzYZrc3W5I/AAAAAAACtjY/r8YlG-gj2r8/s72-c/PG4A68321.jpg)
WAZIRI MKUU PINDA ATEMBELEA KIWANDA CHA TREKTA POLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-vJ6OK3r_us8/VEzYZrc3W5I/AAAAAAACtjY/r8YlG-gj2r8/s1600/PG4A68321.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda atatuma wataalamu wa sekta ya kilimo ili waje kufuatilia suala la mahitaji ya trekta ili kuziba pengo la mahitaji yake nchini Tanzania.
Alisema lengo la Serikali la kuanzisha sera ya Kilimo Kwanza lilikuwa ni kuwasaidia wakulima kupata ruzuku ya pembejeo, mbegu bora, na dawa za mifugo ili waweze kuongeza ushalishaji.
“Kutokana na mkopo wa Serikali ya India, tulipata matrekta 1,846 ambayo hayakuchukua muda kuisha. Sasa hivi tunatafuta wabia wengine wa kutupatia...
10 years ago
Dewji Blog11 Jun
JK alipokutana na Watanzania waishio Uholanzi jijini The Hague
![](http://3.bp.blogspot.com/-drQr7lCRZBY/VXgG736SXpI/AAAAAAAHePg/6yHlYWgzWOI/s640/IMGL0085.jpg)
Watanzania waishio Uholanzi walikusanyika siku ya Jumatatu Juni 9, 2015 katika hoteli ya Crowne Plaza jijini The Hague kukutana na kumsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyekuwa nchini humo kwa mwaliko wa Mfalme Willem-Alexander
![](http://1.bp.blogspot.com/-076yW0hzznY/VXgIYg9ZhoI/AAAAAAAHeQE/RFtWqH9mHAE/s640/IMGL0091.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lfNf9Ywkta0/VXgJzkWDjwI/AAAAAAAHeQg/V_K_FTaK1OA/s640/IMGL0095.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ad2ALinRC7E/VXgKF98HdxI/AAAAAAAHeQw/e9OoGyvhgDA/s640/IMGL0097.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PA0DE1-3w-s/VXgKoA5gx0I/AAAAAAAHeRI/UgQKzLaSNQ4/s640/IMGL0098.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GUnsyfD47dI/VXgLGp3-kgI/AAAAAAAHeRU/DQ03DqqsdbQ/s640/IMGL0101.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-L4xv41kFzMI/VXgJWfwhEmI/AAAAAAAHeQU/iFie0MFi5O4/s640/IMGL0094.jpg)
11 years ago
GPL23 Apr
RAIS KIKWETE AZUNGUMZIA SEKTA YA ELIMU ALIPOKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UK