Serikali kutotaifisha tena shule, hospitali
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali haitataifisha shule, zahanati, hospitali wala vyuo vikuu vinavyoendeshwa na taasisi za kidini na amewahimiza wajenge zaidi na zaidi ili kuisaidia jamii kubwa ya Watanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSERIKALI HAITATAIFISHA SHULE WALA HOSPITALI - WAZIRI MKUU
Ametoa wito huo wakati akizungumza na walimu, wazazi na wahitimu wa kidato cha nne wa shule ya sekondari Magnificat iliyoko Sanya Juu, wilayani Siha mkoani Kilimanjaro.
Waziri Mkuu ambaye aliwasili Sanya Juu jana asubuhi (Jumamosi, Septemba 20, 2014) akitokea Dodoma, alisema huko...
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Shule zafunguliwa tena Kenya
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Vita vya Syria: Mashambulio dhidi ya Idlib yalenga shule na hospitali'
10 years ago
Vijimambo25 Feb
NMB wametoa msaada Hospitali ya Mnazi Mmoja na Shule ya Msingi Mwanakwerekwe, Z’bar
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC0452.jpg?resize=504%2C338)
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC0455.jpg?resize=512%2C344)
9 years ago
Bongo517 Sep
Madee kumrudisha shule tena Dogo Janja? Jibu hili hapa
5 years ago
BBCSwahili01 Jun
Virusi vya corona: Shule zinachukua tahadhari gani wakati wanafunzi wanapoanza tena masomo?
5 years ago
BBCSwahili30 May
Virusi vya corona: Korea Kusini yafunga shule tena baada ya maambukizi kuongezeka zaidi
10 years ago
Habarileo11 Feb
JK: Serikali itaendelea kuboresha hospitali
SERIKALI imesema itaendelea kuboresha sekta ya afya nchini kwa kuboresha zahanati, vituo vya afya, hospitali za wilaya, rufaa na vyuo vinavyotoa taaluma ya uuguzi na udaktari.
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Serikali yaifungia Hospitali ya IMTU
![Baadhi ya viungo vya miili vilivyokutwa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/IMTU.jpg)
Baadhi ya viungo vya miili vilivyokutwa
Oliver Oswald na Adam Malinda, Dar es Salaam
SERIKALI imeifungia Hospitali ya Chuo Kikuu cha Tiba na Teknolojia (IMTU) kilichopo Mbezi eneo la Interchiki kwa muda usiofahamika.
Hospitali hiyo imefungiwa kutokana na kukosa sifa, ambapo imebainika kuwa maabara pamoja na wauguzi wake hawana vigezo vya kutoa huduma za kitabibu.
Hatua ya kuifungia hospitali hiyo imekuja siku chache tangu chuo hicho kilipokumbwa na tuhuma nzito za kuhusika na utupaji wa...