Serikali: Nishati ya gesi asilia itaipaisha nchi kiuchumi
Utafiti wa mafuta na gesi asilia ulianza miaka ya 1950, lakini kutokana na teknolojia duni na hali ya uchumi wa taifa wakati huo, zoezi hilo lilisitishwa. Taarifa za kupatikana kwa rasilimali hiyo muhimu kulifufua matumaini ya Serikali kuimarisha uchumi wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dYII21Uqif8/XnMAHvwogiI/AAAAAAALkYI/-YKDqoR8_HwWBBvm34O6N1cOjsRB71_2ACLcBGAsYHQ/s72-c/1-50.jpg)
MGALU- VIWANDA VIPYA 50 KUNUFAINIKA NA HUDUMA YA NISHATI YA UMEME WA GESI ASILIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dYII21Uqif8/XnMAHvwogiI/AAAAAAALkYI/-YKDqoR8_HwWBBvm34O6N1cOjsRB71_2ACLcBGAsYHQ/s640/1-50.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-46.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gdKiWC9cycQ/XtZkt3COQBI/AAAAAAALsV8/nIa_wulaWZ4qZsKoh7kSwGphxLQQJFVQgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B%2B%2B1.jpg)
Katibu Mkuu Nishati akagua uzalishaji wa gesi asilia Lindi na Mtwara
![](https://1.bp.blogspot.com/-gdKiWC9cycQ/XtZkt3COQBI/AAAAAAALsV8/nIa_wulaWZ4qZsKoh7kSwGphxLQQJFVQgCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B%2B%2B1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PIC-4.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Zena Said( mwenye wa pili kulia) akitoa maelekezo kwa msimamizi...
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
Taasisi ya UONGOZI yaandaa warsha ya wadau wa Serikali katika usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw. Johansen Bukwali akisoma hotuba ya ufunguzi wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia kwa niaba ya mgeni rasmi Waziri wa Nchi -TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia katika ukumbi wa hoteli ya NAF Beach mkoani Mtwara.
Mkuu wa Idara ya Utafiti na Sera kutoka Taasisi ya UONGOZI Bw. Dennis Rweyemamu akizungumza kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI Profesa Joseph Semboja wakati wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na...
10 years ago
Dewji Blog06 May
Balozi Sefue azindua timu ya wataalam wa serikali wa kufanya mazungumzo katika mikataba ya gesi asilia na mafuta
Afisa Mtendaji Mkuu wa UONGOZI Institute...
10 years ago
Mwananchi16 Dec
‘Serikali ipunguze bei ya nishati ya gesi’
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--u5DKkxHrcQ/VD1CE99uESI/AAAAAAAGqgQ/b8tHu9tKYwQ/s72-c/unnamed.jpg)
UNDP “yaipiga jeki” Serikali namna ya kuandaa, kujadili na kusimamia miradi mikubwa na mikataba ya gesi asilia Nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/--u5DKkxHrcQ/VD1CE99uESI/AAAAAAAGqgQ/b8tHu9tKYwQ/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b8bK2UAAHgs/VUsWwt7jYQI/AAAAAAAHV0o/WIeSq-jwVto/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue azindua timu ya wataalam wa serikali wa kufanya mazungumzo katika mikataba ya gesi asilia na mafuta
10 years ago
Vijimambo28 Oct
Wabunge wacharukia mikataba ya gesi asilia
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Zitto-Kabwe-October28-2014.jpg)
Usiri katika mikataba 26 ya utafiti na uchimbaji wa gesi umezidi kuigubika nchi, baada ya menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kukaidi maagizo ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) na hivyo kuzua mvutano mkubwa kati yake na kamati hiyo kikaoni.
Maagizo hayo ambayo yalitolewa na PAC mwaka jana, yaliitaka menejimenti ya TPDC kuwasilisha taarifa ya mapitio ya mikataba hiyo pamoja na mikataba...
10 years ago
Habarileo09 Jan
Bomba la gesi asilia litaokoa trilioni 1.6/-
MRADI wa ujenzi wa bomba la gesi asilia, utaleta manufaa makubwa kwa taifa na wananchi wake, ikiwemo utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2015 na utasaidia kuokoa Sh trilioni 1.6 kwa mwaka.