Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali, wanaharakati kuongeza kasi vita ya unyanyasaji kijinsia

SERIKALI wilayani Moshi, mkoani Kilimanjaro imesema itasaidiana na wanaharakati wilayani na mkoani humo kuhakikisha takwimu za watoto wenye ulemavu zinapatikana kwa haraka ili wapate huduma zinazostahili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Tapsea: Toeni taarifa za unyanyasaji kijinsia

CHAMA cha Makatibu Mahsusi Tanzania (Tapsea), kimetaka wanachama wake kutoa taarifa sehemu husika pale wanaponyanyaswa kijinsia katika ofisi zao bila kuhofia kupoteza ajira zao.

 

10 years ago

Mwananchi

Imani za kishirikina zinavyochangia unyanyasaji wa kijinsia

“Mama yangu ameshanitoa mimba mara tatu akidai kuwa mimi ni mgonjwa wa akili sitaweza kumnyonyesha mtoto wala kumtunza, lakini napenda kuwa na mtoto,” anasema binti wa umri wa miaka 16 (jina linahifadhiwa), anayeishi eneo la Iyunga mkoani Mbeya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Misri mashakani kwa unyanyasaji wa kijinsia

Shirika la haki za binaadamu lenye makao yake mjini Paris linasema kuwa vikosi vya usalama nchini Misri vinatumia unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wale wanaokomatwa

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Pombe chanzo cha unyanyasaji wa kijinsia’

MRATIBU wa Kituo cha Usuluhishi (CRC) kinachoratibiwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa), Elizabeth Muhangwa, amesema unywaji wa pombe unasababisha unyanyasaji wa kijinsia katika familia. Muhangwa alitoa...

 

11 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kumwepusha mtoto na unyanyasaji kijinsia

HARAKATI mbalimbali zimefanywa ili kuwanusuru watoto na wimbi la unyanyaswaji wa kijinsia, lakini kila siku vyombo vya habari vinaripotiwa habari mpya kuhusu jambo hilo.

 

11 years ago

Michuzi

Watumishi Sheria waaswa kupinga unyanyasaji kijinsia

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Fanuel Mbonde akifungua mafunzo kuhusu uzingatiwaji na uelewa wa masuala ya jinsia kwa watumishi wa Wizara hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Mkufunzi wa Masuala ya Jinsia na Rais wa Chama cha Majaji Wanawake Duniani (TAWJA) Jaji Mstaafu Eusebia Munuo akiongea wakati wa mafunzo kuhusu uzingatiwaji na uelewa wa masuala ya jinsia kwa watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria jijini Dar es Salaam mwishoni mwaka wiki. Mkufunzi wa...

 

10 years ago

Michuzi

POLISI WAJIPANGA KUKOMESHA UKATILI NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

Na Demetrius Njimbwi - Jeshi la Polisi,Dodoma
Mkuu wa Dawati la Jinsia Nchini, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Adolfina Chialo, amewataka askari wote nchini hususan wale waliopo katika dawati la jinsia kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi ili kukomesha vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto.
Hayo aliyasema jana wakati akifunga semina ya mafunzo ya siku tano yaliyotolewa  kwa Maafisa na askari wa Jeshi la Polisi pamoja na wadau wa Jeshi hilo katika mkoa wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Watumishi Sheria waaswa kupinga unyanyasaji wa kijinsia

Jinsia 1

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Fanuel Mbonde akifungua mafunzo kuhusu uzingatiwaji na uelewa wa masuala ya jinsia kwa watumishi wa Wizara hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. 

Jinsia 2

Mkufunzi wa Masuala ya Jinsia na Rais wa Chama cha Majaji Wanawake Duniani  (TAWJA) Jaji Mstaafu Eusebia Munuo akiongea wakati wa mafunzo kuhusu uzingatiwaji na uelewa wa masuala ya jinsia kwa watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria jijini Dar es Salaam mwishoni mwaka wiki.

Jinsia 4

Mkufunzi wa...

 

9 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA WANAHARAKATI WA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

Bendi ya Jeshi la Polisi wakiongoza maandamano ya wanaharakati.  Wanaharakati kutoka Taasisi mbalimbali wakiwa na mabango yaokwenye maandamano yaliyoanzia Uzuri Sinza na kuishia katika ukumbi wa ubungo plaza jijini Dar es salaam leo.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani