Serikali ya Tanzania ya Ufaransa zimesaini mkataba wa sh. bilioni 223
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Hamisi Mwinyimvua (kushoto) akisaini mkataba wa mkopo wa sh. Biloni 223 kwa niaba ya Serikali Tanzania ambapo makubaliano hayo yamefanyika leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Balozi Ufaransa nchini Malika Berak.
Balozi Ufaransa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziUFARANSA YAIPATIA SERIKALI MKOPO NAFUU WA SH.BILIONI 175.6 KUJENGA MRADI WA MAJI MJINI MOROGORO
Na Farida Ramadhani-WFM, Dodoma
Serikali ya Tanzania na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) zimetiliana saini mkataba wa mkopo wenye masharti nafuu wa Euro milioni 70, sawa na takriban shilingi za Tanzania bilioni 175.6 kwa ajili ya kugharamia Mradi wa Maji Safi na Usafi wa Mazigira Mjini Morogoro (MORUWASA).
Mkataba wa mkopo huo umesainiwa Jijini Dodoma na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Doto James kwa upande wa Serikali na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la...
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Serikali yasaini mkataba wa zaidi ya Sh. Bilioni 422 kuimarisha sekta ya afya nchini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akisaini hati ya makubaliano ya mkopo nafuu kati ya Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia ili kuimarisha sekta ya afya nchini katika hafla iliyofanyika jana jijini Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akibadilishana hati ya makubaliano ya mkopo nafuu na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7JcyW5fAGTg/VItHiJvazxI/AAAAAAACwYQ/UP6Gyi5p-1g/s72-c/01.jpg)
Tanzania yasaini mkataba wa Sh. bilioni 15.5 kutoka benki ya ADB kuboresha kituo cha utafiti MUHAS.
![](http://2.bp.blogspot.com/-7JcyW5fAGTg/VItHiJvazxI/AAAAAAACwYQ/UP6Gyi5p-1g/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LXDjioyJfts/VItHlPvYdlI/AAAAAAACwYg/41byjXYvSRk/s1600/02.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NDHXJ8gmeaE/XmDz14bsRhI/AAAAAAALhM0/V8YhOkFpQpkOH3Mz__aDTpwlcDdesR2eACLcBGAsYHQ/s72-c/1-16.jpg)
SERIKALI YA TANZANIA KUSHIRIKIANA NA UFARANSA KATIKA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NDHXJ8gmeaE/XmDz14bsRhI/AAAAAAALhM0/V8YhOkFpQpkOH3Mz__aDTpwlcDdesR2eACLcBGAsYHQ/s640/1-16.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-14.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/3-12.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Serikali ya Tanzania yapokea zaidi ya Sh. Bilioni 10
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi. Doroth Mwanyika (kushoto) akitia saini mkataba wa ushirikiano wa Mpango wa Mageuzi ya Usimamizi wa Fedha za Umma (PFM) Awamu ya IV kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Balozi wa Finland nchini Bi. Sanikka Antila.
Na Eleuteri Mangi –MAELEZO
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea Sh. Bilioni 10.1 ambazo ni sawa na EURO milioni 4.8 kutika Serilkali ya Finland ikiwa kwa lengo la ushirikiano wa Mpango wa Mageuzi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gj8ZN9WOYRI/VD_eFr2DKYI/AAAAAAACRss/EDwLFAF_HQI/s72-c/01%2B(1).jpg)
SERIKALI YA TANZANIA YAPOKEA ZAIDI YA SH. BILIONI 10 KUTOKA FINLAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-gj8ZN9WOYRI/VD_eFr2DKYI/AAAAAAACRss/EDwLFAF_HQI/s1600/01%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RFtYcx6n_wk/VD_eGVb_wKI/AAAAAAACRs0/AXKAQucroXs/s1600/02.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-A4SE0SHIxow/U6Aidn5X7XI/AAAAAAAFrNs/VyibP6tRO6A/s72-c/unnamed+(39).jpg)
TANZANIA YAPATA BILIONI 24.1 TOKA JAPAN KUSAIDIA BAJETI YA SERIKALI
9 years ago
Vijimambo29 Aug
MKATABA KUHUSU MAHITAJI NA MATARAJIO YA WAZEE TANZANIA KUTOKA KATIKA SERIKALI YA AWAMU YA TANO 2015
KWAMBA, sisi wazee wa Tanzania ambao tumewakilisha wazee wenzetu, kutoka mikoa yote nchini, tuliokutana kuanzia tarehe 24 hadi 26 Juni 2015, hapa Dar es Salaam tumechangia mawazo yetu katika kuandaa Mkataba huu na kuuridhia. Lengo la Mkataba huu ni kutambulisha umma wa Watanzania haki zetu, mahitaji yetu na changamoto tunazokumbana nazo ili ziweze kupatiwa ufumbuzi. KWAMBA, Mkataba huu ni nyenzo ya kuhakikisha kuwa wagombea wote katika nafasi mbalimbali za uongozi na Serikali kwa...