Serikali yaendeleza jitihada ya kudhibiti Mmomonyoko
Vikosi vya Jeshi la Ulinzi, Magereza, Polisi na wataalamu wengine wanaendelea na kazi ya kuthibiti mmomonyoko wa ardhi uliotokea hivi karibuni katika kijiji cha Msimbati, Mkoani Mtwara kufuatia mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga alipotembelea eneo ambalo limeathirika na mmomonyoko wa ardhi uliotokana na mvua iliyoambatana na upepo mkali
Eneo la ardhi ambalo limemomonyoka na kuzama baharini.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dKaApxVQAd4/VOcmkmCo5lI/AAAAAAAHExI/EJSmaRLDkFc/s72-c/unnamed.jpg)
Mtwara yaishukuru Wizara ya Nishati na Madini kwa jitihada kudhibiti mmomonyoko wa ardhi Mnazi Bay
![](http://1.bp.blogspot.com/-dKaApxVQAd4/VOcmkmCo5lI/AAAAAAAHExI/EJSmaRLDkFc/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Sh9uo37DlmU/VOcmk9B16cI/AAAAAAAHExM/8piWTv4IUp0/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
Athari ya mmomonyoko wa ardhi katika eneo la MnaziBay inavyoonekana pichani. Mmomonyoko huo umetishia usalama wa Kiwanda cha kufua umeme unaotumiwa na wakazi wa Lindi na Mtwara cha Maurel & Prom.
Na Veronica Simba aliyekuwa Mtwara Mkuu wa Mkoa wa Mtwara,...
10 years ago
Habarileo23 Feb
Wanafunzi SUA wasifu jitihada za serikali
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), wameipongeza Serikali ya Awamu ya Nne ya Rais Jakaya Kikwete kwa kuendelea kuboresha elimu katika nyanja mbalimbali, ikiwemo ujenzi wa maabara za masomo ya sayansi kwenye shule za sekondari nchini.
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Serikali yaunga mkono jitihada za wadau wa Michezo
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu makocha wa Timu ya Barcelona kutoka nchini Hispania ambao wako nchini kwa ajili ya mafunzo ya makocha yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili, wa kwanza kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, mafunzo hayo yanatolewa kwa ushirikiano na Kiwanda cha Bia cha Tanzania Breweries.
Na Genofeva...
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Jitihada za Serikali ‘kuwapika’ walimu wa sayansi na hesabu
10 years ago
Dewji Blog23 Sep
Ugonjwa wa Ebola na jitihada za Serikali katika kupambana nao
Rais Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akisalimiana na Wauguzi waliovalia mavazi maalumu tayari kutoa huduma kwa abiria atayekutwa na ugonjwa wa Ebola mara atapowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM
Ebola ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vya homa ya hemoraji ikimaanisha ugonjwa wa kumwagika damu bila kuganda (Viral Haemorrhagic Fevers).
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali, ugonjwa huu ni hatari na unasababishwa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y2rVtjU9ziw/XmoeczA4OII/AAAAAAALiuc/g7SLG3gmjmkPj7Kz4vOW_6x9g_TVANXlgCLcBGAsYHQ/s72-c/8de392a2-fbdf-4daa-852c-4db5fb536ace.jpg)
SERIKALI YAFURAHISHWA NA JITIHADA ZA WILAYA YA CHATO KATIKA KUWEKEZA KWENYE ELIMU
Mweli ameyasema hayo wakati alipotembelea Wilaya hiyo na kukutana na Menejimenti, Walimu pamoja na kukagua ujenzi wa shule mbalimbali zilizoboreshwa na zinazoendelea kuboreshwa Wilayani hapo.
Mweli amesema anatambua jitihada kubwa zinazofanywa katika eneo hili la Elimu ikiwa ni pamoja na kuanzisha ...
5 years ago
MichuziWADAU WA MAZINGIRA WAPONGEZA JITIHADA ZA SERIKALI KATIKA KUENDELEZA MATUMIZI YA NIHATI JADIDIFU NCHINI
Wadau wa mazingira kutoka Shirika la FORUMCC wakiendelea na majadiliano leo Juni 25,2020 Mjini Morogoro ambao wamekutana kujadilia bajeti ya Wizara ya Nishati pamoja na jitihada zinazofanywa katika kuhamasisha matumizi ya nishati mbadala ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.
Sehemu ya wanachama wa FORUMCC wakiwa makini kufuatilia majadiliano wakati wa mkutano wa kujadili matumizi ya nishati jadidifu pamoja na jitihada za Serikali katika kuendeleza sekta hiyo...
5 years ago
MichuziFORUMCC WAIPONGEZA SERIKALI KWA JITIHADA ZAKE ZA UJENZI WA MITAMBO YA KUZALISHA UMEME UNAOTOKANA NA JOTO ARDHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-lA6YwFEPjJQ/XvLngUGiOFI/AAAAAAALvIY/bmbuu9N7EhsbovmJky9r2GbW5PHZhSHiQCLcBGAsYHQ/s640/04.jpg)
Mratibu wa Miradi wa Shirika la ForumCC Henry Kazula(kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa shirika hilo Rebecca Muna wakisikiliza maswali ya...
10 years ago
MichuziSERIKALI KILIMANJARO YAPONGEZA JITIHADA ZA WAFANYABIASHARA KUTANGAZA HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO