Serikali yajikita kusimamia mpango, dira ya taifa
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imeelekeza zaidi nguvu zake katika kutekeleza na kusimamia mpango wa dira ya taifa ya maendeleo 2020 pamoja na mpango wa kukuza uchumi Mkuza kama ndiyo njia pekee ya kupiga hatua kubwa ya maendeleo na kupambana na umasikini kwa wananchi wake.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania