SERIKALI YAMWAGA AJIRA 610 ZA MADAKTARI, WAKURUGENZI WAONYWA KUWABADILISHIA VITUO

Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imewataka Madaktari wapya 610 ambao wameajiriwa kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi walivyopangiwa kuanzia Mei 11 hadi 25 Mwaka huu wakiwa na nyaraka zao zote muhimu.
Agizo hilo limetolewa leo jijini Dodoma na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo wakati akitangaza ajira hizo za madaktari kwa Hospitali za Wilaya, Vituo vya Afya na Zahanati nchini.
Tangazo la ajira za madaktari hao zilitolewa Machi mwaka huu ambayo mchakato wa kuwapata ulifanyika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog
SERIKALI YAMWAGA AJIRA KKWA MADAKTARI 610
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imewataka Madaktari wapya 610 ambao wameajiriwa kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi walivyopangiwa kuanzia Mei 11 hadi 25 Mwaka huu wakiwa na nyaraka zao zote muhimu.
Agizo hilo limetolewa leo jijini Dodoma na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo wakati akitangaza ajira hizo za madaktari kwa Hospitali za Wilaya, Vituo vya Afya na Zahanati nchini.
Tangazo la ajira za madaktari hao zilitolewa Machi mwaka huu ambayo mchakato wa kuwapata ulifanyika...
5 years ago
CCM Blog
11 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Zanchick yamwaga ajira Zanzibar
ZAIDI ya Wazanzibari 300 wamepata ajira katika Kampuni ya Zanchick, inayojishughulisha na uingizaji malighafi ya nyama ya kuku Zanzibar kutoka Marekani. Akizungumza na Waandishi wa Habari waliotembelea kampuni hiyo hivi...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Uhamiaji yamwaga ajira kindugu
IDARA ya Uhamiaji imekumbwa na kashfa nyingine ya kuajiri watoto na ndugu wa vigogo wa idara hiyo. Hayo yalibainika baada ya idara hiyo kutoa matangazo katika vyombo mbalimbali vya habari...
10 years ago
Habarileo11 Nov
Kampuni ya simu yamwaga ajira 2,000
KAMPUNI ya simu ya Viettel ya Vietnam inayokua kwa kasi duniani ambayo sasa inahamishia nguvu zake katika soko la Tanzania, imetangaza ajira kwa wasomi wa Tanzania zaidi ya 2,000.
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Waliovamia vituo vya BRT waonywa
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik, amewataka watu wanaoishi mabondeni, waliokimbia mafuriko na kuvamia vituo vya mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT), kama sehemu ya makazi...
9 years ago
Michuzi
KAMPUNI YA MSAMA PROMOTIONS YAMWAGA MISAADA VITUO 10 VYA YATIMA



10 years ago
Habarileo14 Feb
Watumishi wasioripoti vituo vya kazi waonywa
WATUMISHI wa Serikali katika kada mbalimbali wilayani Kaliua Mkoa wa Tabora wanaokwepa kuripoti katika vituo vyao vipya vya kazi kwa visingizio mbalimbali, wametakiwa kuacha tabia hiyo mara moja, kwani kama mtumishi wa serikali unatakiwa kuwa tayari kutumika sehemu yoyote ile.
5 years ago
Michuzi
TAASISI YA BENJAMIN MKAPA YAMWAGA AJIRA 307 ZA WATUMISHI WA AFYA.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akieleza jambo wakati wa kikao na Waandishi wa habari, kilichofanyika Jinjini Dodoma.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiongea na Waandishi wa habari.

Mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya Benjamin Mkapa Dkt. Ellen Mkondya akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari, katika Mkutano ulioongozwa na Waziri wa Afya leo Jijini Dodoma.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,...