SERIKALI YATAKA KILA KAYA KUWA NA CHOO BORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-O5fIIlaw_F4/VmCqvVVIbAI/AAAAAAAIKFg/hdvo0Hnwi6A/s72-c/donan-Mmbando27.jpg)
SERIKALI imewaagiza maafisa wa afya nchini kuhakikisha kila kaya inakuwa na choo bora ikiwa ni hatua ya kuhakikisha jamii inaepekana na magonjwa yanayotokana na uchafu mazingira , sambamba na suala la usafi wa mazingira kuwa endelevu kama ilivyoagizwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.Aidha Serikali imepiga marufuku ulaji wa matunda yaliyomenywa barabarani.
Kauli hiyo imetolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5KxBn45DbjY/XtN0SgSYYLI/AAAAAAALsGo/W05-OZvzmbMBAtQ-zpm7oMv4ZMmfuD_MQCLcBGAsYHQ/s72-c/AAAAA-768x432.jpg)
SERIKALI YATAKA MIKOPO YA TADB KUWA CHACHU KWA WAVUVI KUANZISHA VIWANDA VIDOGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-5KxBn45DbjY/XtN0SgSYYLI/AAAAAAALsGo/W05-OZvzmbMBAtQ-zpm7oMv4ZMmfuD_MQCLcBGAsYHQ/s640/AAAAA-768x432.jpg)
Walioshika mfano wa hundi: Kutoka kushoto, Mkurugenzi Mkuu wa TADB Bw. Japhet Justine, Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega, Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika Zilagula Bw. Joram Yuda na Mratibu wa Dawati la Sekta Binafsi Bw. Steven Michael
……………………………………………………………………………………..
Na. Edward Kondela
Serikali imesema inataka kuona uanzishwaji wa viwanda vidogo vidogo vya wafugaji na wavuvi kupitia mikopo inayotolewa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) ili kuyaongezea...
9 years ago
Michuzi01 Sep
MO DEWJI FOUNDATION YAKABIDHI MATUNDU NANE YA CHOO BORA KWENYE SHULE YA MSINGI KIBAONI
![DSC01579](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC01579.jpg)
Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kibaoni mjini Singida, Sundi Samike, akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi choo bora chenye matundu nane chenye thamani ya zaidi ya shilingi 16 milioni zilizotolewa na MO Dewji Foundation (shilingi 14 milioni) na Doris Mollel Foundation shilingi 2.3 milioni).
![DSC01583](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC01583.jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Mo Dewji Foundation yakabidhi matundu nane ya Choo bora kwenye shule ya Msingi Kibaoni Singida
Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kibaoni mjini Singida, Sundi Samike, akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi choo bora chenye matundu nane chenye thamani ya zaidi ya shilingi 16 milioni zilizotolewa na MO Dewji Foundation (shilingi 14 milioni) na Doris Mollel Foundation shilingi 2.3 milioni).
Mwakilishi wa Mo Dewji Foundation mkoani Singida, Duda Mughenyi, akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi choo bora chenye matundu nane shule ya msingi Kibaoni mjini Singida, chenye thamani ya zaidi ya...
10 years ago
Habarileo24 Feb
UVCCM yataka wanaoua albino wasakwe kila kona
BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoa wa Lindi limeitaka Serikali kuendelea kuchukua hatua kali kwa watakaobainika kuhusika na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) nchini.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
PDB yataka mazingira bora ya biashara
KAIMU Mkurugenzi wa Taasisi ya President’s Deliver Bureau (PDB), Peniel Lyimo, ameitaka serikali kujenga mazingira bora kwa wafanyabiashara na watu walio katika sekta binafsi. Alisema ikiwa serikali itaondoa baadhi ya...
9 years ago
MichuziNHIF YAJA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA KAYA KWA KAYA
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Kaya 19 zilizopo katika mpango wa kunusuru kaya maskini zakosa malipo yao Manyoni
Baadhi ya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini wa Kijiji cha Sukamahela, tarafa ya Kilimatinde waliokosa malipo yao licha ya kuwa na taarifa na fomu za kupokelea malipo hayo, na kujikuta wakikaa kwa muda wa zaidi ya saa tano wakisubiri kuitwa wakapokee malipo hayo.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Stephen Chilewa Mgusi (wa kwanza kutoa kulia), Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Ernesti Gyunda Kitundu (wa pili kutoka kulia) na Mwezeshaji wa TASAF wilaya ya...
11 years ago
Habarileo05 Apr
Taasisi ya Kiislamu yataka serikali 2
TAASISI ya Amani kwa Waislamu ya Islamic Peace Foundation (TIPF) imesema muundo wa serikali unaofaa kwa sasa ni Serikali mbili, kinachotakiwa ni kuongeza juhudi katika kurekebisha kasoro zilizopo na siyo kuongeza mzigo kwa kuwa na serikali tatu.
9 years ago
Habarileo29 Nov
Serikali yataka vigogo wajipime
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ametoa ufafanuzi mpya kuhusu maagizo ya Rais John Magufuli, kwa watendaji wakuu na maofisa masuhuli wote wa wizara, idara na taasisi za Serikali, katika suala zima la kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ya fedha za umma. Katika ufafanuzi huo uliotumwa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Balozi Sefue ametaka kila mtendaji wa Serikali kujihoji mwenyewe, kwamba endapo Rais Magufuli ataamua kufika katika eneo lake la kazi, ni kwa kiasi gani atakuta...