Serikali yatoa shillingi millioni 21 Nzega mikopo kwa Vijana
Mwenyekiti wa Vijana Saccoss Nzega Bw. Emmanuel Mambo (watatu kulia) akiishukuru serikali kwa kuwapatia kiasi cha shillingi millioni 21 kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, kwa ajili ya mikopo ya vikundi vya vijana,hivi karibuni maafisa hao kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo.(Picha zote na Anitha Jonas – Maelezo, Nzega).
Na Anitha Jonas – Maelezo,Nzega
Serikali imewataka vijana kuitumia vyema mikopo wanayopata katika kuteketeza miradi mbalimbali ya kimaendeleo ili...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Tigo yatoa msaada wa millioni 30 Tshs kwa waathirika wa mafuriko mjini Kahama
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw. Ally Maswanya(kulia) akimkabidhi baadhi ya vyakula, vilivyio gharimu milioni 30 , Mkuu wa wilaya ya Kahama Bw. Benson Mpesya (kushoto) kwa ajili ya waathirika wa mafuriko, katika kijiji cha Mwakata, wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.
Mkuu wa wilaya ya Kahama, Bw.Benson Mpesya akionyeshwa Baadhi ya vyakula na vifaa vilivyo gharimu milioni 30, na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw.Ally Maswanya, kama msaada kwa waathirika wa mafuriko, katika kijiji...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e5sA_VcXjHE/Ux9blGGkN9I/AAAAAAAFS-A/Rd2DwAlyix0/s72-c/unnamed+(54).jpg)
NMB YAWAKOMBOA VIJANA KIUCHUMI KWA KUWAPA MIKOPO NAFUU YA PIKIPIKI Ni mikopo kwa ajili ya pikipiki za miguu miwili na mitatu
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MM4mPixXl6Q/VZl7GQEH0kI/AAAAAAAHnJ0/YplgBei2Gac/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na michezo yahitimisha mafunzo kwa kutembelea miradi mbalimbali wilaya ya Nzega
![](http://1.bp.blogspot.com/-MM4mPixXl6Q/VZl7GQEH0kI/AAAAAAAHnJ0/YplgBei2Gac/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-g1gUM7lcqHQ/XtyWJVa4LbI/AAAAAAAC6_M/KW0ju0H3xR04NNrZUQeu0yAHSE-0HKFkACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KALIUA YATOA MIKOPO YA MILIONI 332 KWA VIKUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-g1gUM7lcqHQ/XtyWJVa4LbI/AAAAAAAC6_M/KW0ju0H3xR04NNrZUQeu0yAHSE-0HKFkACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mikopo hiyo imekabidhiwa jana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemani Jaffo kwa niaba ya uongozi wa Halmashauri hiyo.
Akizungumza katika hafla ya kukabidhi mikopo hiyo , Mkurugenzi Mtendaji Dkt. John Pima alisema kati ya fedha shilingi milioni 215 kwa vikundi 38.
Alisema wametoa pikipiki 10...
11 years ago
MichuziLAPF YATOA MIKOPO YA ELIMU KWA WANACHAMA WAKE
11 years ago
MichuziSido yatoa mikopo kwa wajasiliamali wa mkoa wa Lindi
jinsi shirika lake linavyowezesha wajasilamali wa mkoa huo kwa kuwapa
mikopo na elimu ya wajasiliamali katika hafla Fupi ya kukabidhi hundi
za mikopo kwa wajasiliamali 21,kutoka kushoto ni Bw Dickson
Kindole,Mhandisi Sido,Bi Salma Ally,Afisa mikopo na Mkuu wa Wilaya ya
Lindi Dr Nassor Hamid
wakimsikiliza Mkuu wa wilaya( hayupo pichani)Katika Hafla hiyo
iliyofanyika jana mjini Lindi
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Waziri Kabaka azinduwa mikopo ya elimu kwa vijana
![Waziri wa Kazi na Ajira nchini Tanzania, Gaudensia Kabaka akizungumza katika uzinduzi wa huduma ya mikopo ya elimu na kuanzia maisha kwa wanachama wa Mfuko wa PSPF jijini Dar es Salaam. Huduma hiyo inatekelezwa kwa ushirikiano na Benki ya Posta Tanzania (TPB) na Mfuko wa PSPF.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0212.jpg)
Waziri wa Kazi na Ajira nchini Tanzania, Gaudensia Kabaka akizungumza katika uzinduzi wa huduma ya mikopo ya elimu na kuanzia maisha kwa wanachama wa Mfuko wa PSPF jijini Dar es Salaam. Huduma hiyo inatekelezwa kwa ushirikiano na Benki ya Posta Tanzania (TPB) na Mfuko wa PSPF.
![Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi akizungumzia katika hafla ya uzinduzi wa huduma ya mkopo wa elimu kwa wanachama wa mfuko wa PSPF leo jiji ni Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0170.jpg)
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi akizungumzia katika hafla ya uzinduzi wa huduma ya mkopo wa elimu kwa wanachama wa mfuko wa PSPF leo jiji ni Dar es Salaam.
Waziri wa Kazi na Ajira...
11 years ago
Dewji Blog18 Jun
Vijana Babati wapata mafunzo kuhusu upatikanaji wa Mikopo kutoka Mfuko wa Vijana
Mkurugenzi Msaidizi Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Venerose Mtenga akisalimiana na Mkurugenzi wa Mji wa Babati Bw. Omari M. Mkombole alipomtembelea ofisini kwake wakati wa ziara ya Mafunzo ya Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati kuhusu Mikopo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana leo Mjini Babati.
Na Genofeva Matemu – Afisa Mawasiliano Serikalini – WHVUM
VIJANA wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati waaswa kuzingatia Sera ya Taifa ya...