Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali zasisitizwa umakini kwenye mifumo ya utabiri

WATAALAMU wa masuala ya tabia nchi na mabadiliko ya hali ya hewa waliokutana mjini Dar es Salaam kwa siku 3 wameshauri serikali mbalimbali kuwa makini katika kuhakikisha mifumo ya utambuzi wa hali ya hewa inafanya kazi iliyokusudiwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAJIVUNIA VIWANGO VYA UTABIRI WA TMA

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam


KILA ifikapo tarehe 23 Machi, ya kila mwaka Jumuiya ya
kimataifa ya hali ya hewa duniani kote inaadhimisha Siku ya Hali ya Hewa
Duniani. Siku hii ni kumbukumbu ya kuanzishwa kwa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO), lililoanzishwa mwezi Machi 23, 1950.


Tanzania ni miongoni mwa nchi wanachama wa WMO, mbayo imeendelea
kutekeleza maridhiano ya kimataifa katika sekta ya hali ya hewa kwa kuhakikisha Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) inatoa huduma
za hali ya hewa...

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali ibuni mifumo bora ya utendaji kazi

Tangu kuanza kazi kwa Baraza la Mawaziri la Serikali ya Awamu ya Tano, likiwa na kaulimbiu ya ‘Hapa Kazi Tu’, mengi yameonekana kutoka kwa mawaziri hao.

 

9 years ago

Mwananchi

JK : Maadili kwenye mifumo ya maendeleo Ni njia ya kuchochea ukuaji wa uchumi

Makamu wa Rais wa Marekani Joe Biden aliwahi kusema kuwa kushinda vita dhidi ya rushwa siyo  kunadhihirisha uwapo wa utawala bora, bali ujasiri na uzalendo wa viongozi wa nchi husika.

 

10 years ago

Michuzi

Viongozi Watendaji wa Serikali wakutana kujadili mifumo ya ufuatiliaji na tathmini

Mkutano wa faragha wa Makatibu Wakuu, Naibu Makatibu Wakuu na Makatibu Tawala wa Mikoa umeandaliwa na ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi ikishirikiana na UONGOZI Institute yenye lengo kuu ya viongozi hawa kujadiliana kuhusu mada kuu ya Mifumo ya Ufuatiliaji na Tathmin, pamoja na maswala mbali mbali za kitaifa. Mkutano huu wa siku mbili ulifanyika tarehe 27-28 Oktoba, 2014 mjini Dodoma.
“Napenda kuishukuru sana Taasisi ya Uongozi, na Mtendaji wake Mkuu, Prof. Joseph Semboja, kwa mchango wao mkubwa...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI: SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA NA KUBORESHA MIFUMO NA MIUNDOMBINU YA UTOAJI HUDUMA YA AFYA NCHINI


RAIS Dkt. John Magufuli amesema katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake, Serikali imeweza kuajiri watumishi wapya 13479 wa sekta ya afya sambamba na kuimarisha na kuboresha miundombinu ya huduma za afya za ikiwemo ujenzi na ukarabati wa zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya katika maeneo mbalimbali nchini.

Akizungumza leo Alhamisi (Februari 20, 2020) Jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Madaktari Tanzania, Rais Magufuli alisema Serikali ya Awamu ya Tano...

 

9 years ago

Habarileo

Mwisho wa utabiri

RAIS John Magufuli leo anatarajiwa kukata mzizi wa fitina wakati jina la mteule wake kwa nafasi ya Waziri Mkuu litakaposomwa bungeni na Spika wa Bunge, Job Ndugai na kisha kuthibitishwa kwa kura na wabunge.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utabiri wa mwaka 2014

UFUATAO ni utabiri wa Shehe, Maalim, Nguli, Ustaadh, Alhaj, Dk., Profesa Mpayukaji Msemahovyo mjukuu wa Msemakweli wa Waambie Waelewe katika kile ambacho wataalamu wa nyota huita al khabar mutawatir. Kwa...

 

11 years ago

GPL

UTABIRI MZITO TENA!

Hamida Hassan na Gladness Mallya
HUKU makovu ya maumivu ya kuondokewa mfululizo na mastaa wanne wa filamu za Kibongo katika kipindi cha mwezi mmoja yakiwa hayajapona nabii naye ameibuka na kuweka wazi utabiri wake mzito kuhusu wasanii nchini hivyo kuwa sanjari na Maalim Hassan Yahya Hussein. Maalim Hassan Yahya Hussein akiwa kwenye ofisi za Global Publishers. Hata hivyo, kabla ya kusonga mbele, tujikumbushe kwamba mastaa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Je, Sumaye kutimiza utabiri wa Nyerere?

KATIKA la Raia Mwema, toleo namba 376, Oktoba mwaka 2014, Mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kija

Kitila Mkumbo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani