Serikali zasisitizwa umakini kwenye mifumo ya utabiri
WATAALAMU wa masuala ya tabia nchi na mabadiliko ya hali ya hewa waliokutana mjini Dar es Salaam kwa siku 3 wameshauri serikali mbalimbali kuwa makini katika kuhakikisha mifumo ya utambuzi wa hali ya hewa inafanya kazi iliyokusudiwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QaOChkaplKc/XnyRJQE-OlI/AAAAAAAAars/USwzN2Q0PXIIk1XDkbP_PS0KHqI9TCAsgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2019-09-05%2Bat%2B18.00.58.jpeg)
SERIKALI YAJIVUNIA VIWANGO VYA UTABIRI WA TMA
KILA ifikapo tarehe 23 Machi, ya kila mwaka Jumuiya ya
kimataifa ya hali ya hewa duniani kote inaadhimisha Siku ya Hali ya Hewa
Duniani. Siku hii ni kumbukumbu ya kuanzishwa kwa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO), lililoanzishwa mwezi Machi 23, 1950.
Tanzania ni miongoni mwa nchi wanachama wa WMO, mbayo imeendelea
kutekeleza maridhiano ya kimataifa katika sekta ya hali ya hewa kwa kuhakikisha Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) inatoa huduma
za hali ya hewa...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Serikali ibuni mifumo bora ya utendaji kazi
9 years ago
Mwananchi27 Aug
JK : Maadili kwenye mifumo ya maendeleo Ni njia ya kuchochea ukuaji wa uchumi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OTy09JC_XMI/VFDpSW1SzsI/AAAAAAAGuE8/eP1dVxC5XSM/s72-c/UntitledO1.png)
Viongozi Watendaji wa Serikali wakutana kujadili mifumo ya ufuatiliaji na tathmini
“Napenda kuishukuru sana Taasisi ya Uongozi, na Mtendaji wake Mkuu, Prof. Joseph Semboja, kwa mchango wao mkubwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s72-c/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS MAGUFULI: SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA NA KUBORESHA MIFUMO NA MIUNDOMBINU YA UTOAJI HUDUMA YA AFYA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s640/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS Dkt. John Magufuli amesema katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake, Serikali imeweza kuajiri watumishi wapya 13479 wa sekta ya afya sambamba na kuimarisha na kuboresha miundombinu ya huduma za afya za ikiwemo ujenzi na ukarabati wa zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya katika maeneo mbalimbali nchini.
Akizungumza leo Alhamisi (Februari 20, 2020) Jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Madaktari Tanzania, Rais Magufuli alisema Serikali ya Awamu ya Tano...
9 years ago
Habarileo19 Nov
Mwisho wa utabiri
RAIS John Magufuli leo anatarajiwa kukata mzizi wa fitina wakati jina la mteule wake kwa nafasi ya Waziri Mkuu litakaposomwa bungeni na Spika wa Bunge, Job Ndugai na kisha kuthibitishwa kwa kura na wabunge.
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Utabiri wa mwaka 2014
UFUATAO ni utabiri wa Shehe, Maalim, Nguli, Ustaadh, Alhaj, Dk., Profesa Mpayukaji Msemahovyo mjukuu wa Msemakweli wa Waambie Waelewe katika kile ambacho wataalamu wa nyota huita al khabar mutawatir. Kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC3aE9wzLRqJiW1EvOkQul1Jd3Dg8g14H8JnFXdrepalab3jR811dljxUdfm9b1s*swe9e7TTACy3ylPkhvSylXA/UTABIRI.jpg)
UTABIRI MZITO TENA!
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Je, Sumaye kutimiza utabiri wa Nyerere?
KATIKA la Raia Mwema, toleo namba 376, Oktoba mwaka 2014, Mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kija
Kitila Mkumbo