SERIKALI YAJIVUNIA VIWANGO VYA UTABIRI WA TMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QaOChkaplKc/XnyRJQE-OlI/AAAAAAAAars/USwzN2Q0PXIIk1XDkbP_PS0KHqI9TCAsgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2019-09-05%2Bat%2B18.00.58.jpeg)
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KILA ifikapo tarehe 23 Machi, ya kila mwaka Jumuiya ya
kimataifa ya hali ya hewa duniani kote inaadhimisha Siku ya Hali ya Hewa
Duniani. Siku hii ni kumbukumbu ya kuanzishwa kwa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO), lililoanzishwa mwezi Machi 23, 1950.
Tanzania ni miongoni mwa nchi wanachama wa WMO, mbayo imeendelea
kutekeleza maridhiano ya kimataifa katika sekta ya hali ya hewa kwa kuhakikisha Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) inatoa huduma
za hali ya hewa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Feb
TMA yatetea utabiri wake
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema asilimia 87 ya utabiri wa hali ya hewa, uliotolewa mwaka jana, ulikuwa sahihi. Aidha, imeeleza kuwa ili kuweza kuwafikia watu zaidi mamlaka hiyo, inatarajia kuanzia kituo cha Redio, ambacho kitatoa utabiri pekee.
9 years ago
MichuziTMA yatangaza Utabiri wa msimu wa vuli
Msimu wa...
10 years ago
Habarileo04 Oct
TMA kuweka maboya baharini kuboresha utabiri
MAMLAKA ya Hali ya Hewa(TMA) imesema inaendelea kuboresha huduma za utabiri wa baharini kwa kuweka maboya maalumu katika ukanda wa bahari ya Hindi.
10 years ago
Habarileo24 Mar
TMA yasisitiza usikivu utabiri Na Francisca Emmanuel wa hali ya hewa
MAKAMPUNI yenye dhamana katika sekta ya usafiri wa anga yametakiwa kuzingatia taarifa za hali ya hewa zitolewazo mara kwa mara ili kujiepusha na matatizo kadhaa yanayoweza kujitokeza.
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU ASEMA SERIKALI HAIJARIDHIA VIWANGO VIPYA VYA NAULI YA MABASI YAENDAYO KASI.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizunguza na Waandishi wa Habari kwenye uwanja wa Ngege wa Julius Nyerere baada ya kuwasili akitoka Songea Januari 6, 2016. Kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Geoge Simbachawene. na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es slaam Meck Sadiki.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X9uFhmcosWo/UwzIrQwpkjI/AAAAAAAFPg0/Gbj5sZTYs-c/s72-c/unnamed+(38).jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA (TMA) YAKUTANA NA WADAU WA SEKTA MBALI MBALI KUJADILI UTABIRI WA MVUA ZA MSIMU KWA MWEZI MACHI MPAKA MEI (MASIKA)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X9uFhmcosWo/UwzIrQwpkjI/AAAAAAAFPg0/Gbj5sZTYs-c/s1600/unnamed+(38).jpg)
Kila mwaka mwezi Februari kabla ya kutoa utabiri wa msimu Mamlaka hukutana na wadau wa sekta mbali mbali nchini ili kujadili utabiri wa msimu huo wa mvua za MASIKA kwa kipindi cha miezi ya Machi hadi Mei na kuwapa wadau nafasi ya...
10 years ago
Habarileo18 Oct
Serikali zasisitizwa umakini kwenye mifumo ya utabiri
WATAALAMU wa masuala ya tabia nchi na mabadiliko ya hali ya hewa waliokutana mjini Dar es Salaam kwa siku 3 wameshauri serikali mbalimbali kuwa makini katika kuhakikisha mifumo ya utambuzi wa hali ya hewa inafanya kazi iliyokusudiwa.
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Viwango vya juu vya joto vitakumba Dunia