Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shabiby: Pay us if we work

>Constituent Assembly members should not be paid allowances when sessions are adjourned prematurely, a member said yesterday.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHABIBY: NAYAJUA VIZURI MATATIZO YA WANANCHI WANGU

Mheshimiwa Ahmed Mabhut Shabiby. Stori: Dustan Shekidele
Gairo ni miongoni mwa wilaya mpya nchini Tanzania ambayo ilianzishwa rasmi mwaka 2012 katika eneo ambalo awali lilikuwa ni Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro. Gairo inapatikana Kaskazini Magharibi mwa mkoa huo. Wiki iliyopita, Uwazi lilichanja mbuga hadi katika jimbo hilo linaloongozwa na Mheshimiwa Ahmed Mabhut Shabiby kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambapo...

 

10 years ago

TheCitizen

Scandal: Pay up or pay the price, says minister

>Legislators wound up a heated debate on the Tegeta escrow account scam yesterday, with Deputy Finance Minister Mwigulu Nchemba directing the taxman to collect all money due from those linked with the scandal through Mkombozi and Stanbic banks.

 

10 years ago

Vijimambo

DEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA

Gari lenye namba za usajili T 607 CVL likiwa limeegeshwa pembezoni mwa barabara baada ya kuharibika.

Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani