Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shabiki aruhusiwa kutazama filamu mapema

Shabiki sugu wa filamu za Star Wars, ambaye anaugua saratani, amepewa fursa ya kutazama filamu mpya ya msururu huo wa filamu kwa jina The Force Awakens wiki sita mapema.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Aliyeruhusiwa kutazama Star Wars mapema afariki

Shabiki sugu aliyeruhusiwa kutazama filamu mpya ya Star Wars ya The Force Awakens mapema, amefariki akiwa na umri wa miaka 32.

 

11 years ago

Mwananchi

FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema

Mimba kwa wasichana wadogo ni miongoni mwa sababu zinazowakatisha masomo wasichana wengi hapa Tanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mansour aruhusiwa kwenda India, Ujerumani

MAHAKAMA ya Mkoa,Vuga imetoa ruhusa ya kwenda nje ya nchi  kwa aliyekuwa  Mwakilishi wa Jimbo la Kiembe Samaki Mansour Yusuf Himidi, baada ya kuridhika na vielelezo alivyotakiwa aviwasilishe. Akisoma uamuzi...

 

11 years ago

GPL

SUGE KNIGHT ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI

Prodyuza Suge Knight wakati akiwasili katika klabu ya usiku ya 1Oak ambapo baadaye alishambuliwa kwa kuigwa risasi 6. PRODYUZA Suge Knight ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Cedars-Sinai, Los Angeles nchini Marekani alipokuwa amelazwa baada ya kujeruhiwa kwa risasi katika klabu ya usiku ya 1Oak kwenye pati ya utangulizi wa utoaji Tuzo za VMA Jumamosi usiku. Mmoja wa majeruhi katika shambulio hilo akipatiwa huduma ya… ...

 

11 years ago

GPL

TRACY MORGAN ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI

Tracy Morgan. STAA wa vichekesho nchini Marekani, Tracy Morgan, ameruhusiwa kutoka hospitali baada ya kukaa wiki tano tangu alipopata ajali iliyomuua mwenzake Jimmy Mack. Morgan alivunjika mguu na mbavu baada ya gari alilokuwa akiendesha kugongwa kwa nyuma huko New Jersey, Marekani Juni 7 mwaka huu. Katika ajali hiyo, mchekeshaji James McNair, maarufu kwa jina la Jimmy Mack alifariki dunia huku mchekeshaji Ardley Fuqua na abiria...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mfungwa aruhusiwa kuoa nchini Marekani

Charles Manson, mfungwa muuaji mwenye umri wa miaka 80, ameruhusiwa kuoana na mwanamke mwenye umri wa miaka 26.

 

10 years ago

Michuzi

Bodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.

Lorietha Laurence -Maelezo.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo  ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa  kwa kupata kibali cha kuingia sokoni  kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza  katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza  kampuni ya Al-Riyamy Production  ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za  TRA...

 

10 years ago

Vijimambo

BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.

Katibu Bodi ya Filamu Tanzania, Bi. Joyce Fissoo akiongea na wahusijka wa Kampuni ya Kajala Entertainment wakati alipofanya nao mkutano leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuwapa Sheria na Kanuni zilizokiukwa katika filamu ya Mbwa Mwitu.Mkurugenzi wa Kampuni ya Kajala Entertainment, Kajala Masanja akijitetea mbele ya Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania wakati aliitikia wito wa Ofisi ya Bodi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuelezwa juu ya Sheria na Kanuni zilizokiukwa...

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI

 Mwenyekiti wa kikosi kazi kutoka chama cha wasambazaji wa filamu Tanzania,Bw Moses Mwanyilu akionyesha baadhi ya filamu ambazo zinauzwa nchini bila kupata kibali kutoka bodi ya filamu Tanzania na kutokuwa na stika za ushuru za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati wa mkutano na waandishi wa habari wakielezea changamoto zao kuhusiana na filamu za kitanzania kulazimishwa kukaguliwa na bodi ya filamu na kuwekwa stika za TRA ilhali filamu za nje hazifanyiwi hivyo na kupelekea filamu za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani