TRACY MORGAN ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI
![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CqR8ZLO1Y0souc5bCwmupgd*j*iL9nYZJWL-*LiUCkZ70-4PG90rBTGcY3bUpKwKV6i5GaHoyGyXcp48bLMmXir/tracy.jpg)
Tracy Morgan. STAA wa vichekesho nchini Marekani, Tracy Morgan, ameruhusiwa kutoka hospitali baada ya kukaa wiki tano tangu alipopata ajali iliyomuua mwenzake Jimmy Mack. Morgan alivunjika mguu na mbavu baada ya gari alilokuwa akiendesha kugongwa kwa nyuma huko New Jersey, Marekani Juni 7 mwaka huu. Katika ajali hiyo, mchekeshaji James McNair, maarufu kwa jina la Jimmy Mack alifariki dunia huku mchekeshaji Ardley Fuqua na abiria...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSpMAZDiXdENJ3j7zksV6VNsO5FF6PA0wS3j5MlSpym40NCdCtRtJFVypx7TvqHUxr3BNWKhgKQlZEQiNH*jKy*H/Knight.jpg)
SUGE KNIGHT ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Shabiki aruhusiwa kutazama filamu mapema
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Mansour aruhusiwa kwenda India, Ujerumani
MAHAKAMA ya Mkoa,Vuga imetoa ruhusa ya kwenda nje ya nchi kwa aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Kiembe Samaki Mansour Yusuf Himidi, baada ya kuridhika na vielelezo alivyotakiwa aviwasilishe. Akisoma uamuzi...
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Mfungwa aruhusiwa kuoa nchini Marekani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQjUYqnyc59bK3jvz7aRL6P2LN7YbSy0JmXHJGy-HemGqP*EK-QbDLwM2GCHPX9-keO0OV69WelXq7r4611MRbNr/hospital.png?width=650)
USHUHUDA WA KUTISHA KUTOKA HOSPITALI YA SERIKALI
11 years ago
Michuzi11 Jun
Live interview with Brian Tracy!
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/303vNAywgxQuZLpZcOSXC2qbmc1yfiNhhA0jGbBN0r49Tc7kuJgOqZgZHicwtk2QDejJux5WUXN7oZI4Fu2f4Wx-yUt3PYUM5VnjTWvFoVJj-tmml3Isoi12s2Wg10ldTABaYluESouovyOeuAkiRw=s0-d-e1-ft#http://mikonofocus.img-us3.com/admin/full_page4_33cm_by_26cm_brian_azim_print-page-001.jpg)
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Mengine kutoka Hospitali ya Muhimbili kuhusu mashine za CT Scan..
Agizo la Rais Magufuli la kupatikana kwa mashine mpya ya CT Scan katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili limeonekana kuzaa matunda baada ya Serikali kununua mashine mpya ambayo imegharimu dola za Kimarekani milioni 1.7. Kutokana na mashine ya awali kuharibika kila wakati Serikali imegharamia mashine mpya ambayo imeelezwa kuwa na uwezo mkubwa wa kufanya kazi […]
The post Mengine kutoka Hospitali ya Muhimbili kuhusu mashine za CT Scan.. appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
GPL07 May
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
Hospitali ya Apollo yafanikiwa kutenganisha mapacha kutoka Tanzania walioungana
Watanzania waendelea kufaidika kutoka kwa hospitali ya Apollo iliyoko nchini India. Hii ni kufuatia hosiptali hiyo kufanikiwa kuwatenganisha mapacha wa kike Abriana na Adriana waliokuwa wameunganika chini ya kifua na tumboni kutoka nchini Tanzania katika upasuaji uliofanyika tarehe 17 Novemba 2014 nchini India. Mapacha waliounganika kwa mtindo huu hujulikana kwa watalaam kama Thoraco Omphalopahus na upasuaji uliofanyika na hospitali Apollo ulikuwa wenye mafanikio na wa aina yake.
Mapacha...