USHUHUDA WA KUTISHA KUTOKA HOSPITALI YA SERIKALI

Siku za hivi karibuni niliwahi kumuuguza rafiki yangu wakati akitibiwa katika hospitali ya serikali. Nilichoshuhudia huko kinasikitisha na kustaajabisha sana. Kimenipelekea niamini kwamba hospitali za umma ni makaburi ya kuzikia roho za watanzania wasiokuwa na hatia. Huyu jamaa yangu alikuwa hospitalized kwa ajili ya tatizo la kutapika na kuharisha damu. Alifikishwa hospitalini hapo takribani saa 2:00 za asubuhi lakini kutokana...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
TRACY MORGAN ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI
11 years ago
GPL
SUGE KNIGHT ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI
5 years ago
Michuzi
Serikali yapokea vifaakinga vya shilingi milioni 700/- kutoka serikali ya China
Msaada huo umetoleowa leo katika Bohari ya Dawa (Medical Stores Department) na kupokelewa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof. Mabula Mchembe.
Prof. Mchembe amesema kwamba msaada huo umekuja wakati mzuri kwani utawasaidia watumishi wa afya katika mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona...
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Mengine kutoka Hospitali ya Muhimbili kuhusu mashine za CT Scan..
Agizo la Rais Magufuli la kupatikana kwa mashine mpya ya CT Scan katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili limeonekana kuzaa matunda baada ya Serikali kununua mashine mpya ambayo imegharimu dola za Kimarekani milioni 1.7. Kutokana na mashine ya awali kuharibika kila wakati Serikali imegharamia mashine mpya ambayo imeelezwa kuwa na uwezo mkubwa wa kufanya kazi […]
The post Mengine kutoka Hospitali ya Muhimbili kuhusu mashine za CT Scan.. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
Hospitali ya Apollo yafanikiwa kutenganisha mapacha kutoka Tanzania walioungana
Watanzania waendelea kufaidika kutoka kwa hospitali ya Apollo iliyoko nchini India. Hii ni kufuatia hosiptali hiyo kufanikiwa kuwatenganisha mapacha wa kike Abriana na Adriana waliokuwa wameunganika chini ya kifua na tumboni kutoka nchini Tanzania katika upasuaji uliofanyika tarehe 17 Novemba 2014 nchini India. Mapacha waliounganika kwa mtindo huu hujulikana kwa watalaam kama Thoraco Omphalopahus na upasuaji uliofanyika na hospitali Apollo ulikuwa wenye mafanikio na wa aina yake.
Mapacha...
11 years ago
Mwananchi19 Oct
Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba-2
11 years ago
Mwananchi26 Oct
Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba-3
11 years ago
Mwananchi12 Oct
Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba
10 years ago
Michuzi
Wataalamu wa Magonjwa ya Figo kutoka Hospitali ya Apollo India Watembelea Tanzania


