Shamra shamra za maandamano ya sherehe za maadhimisho ya siku ya Wakunga Duniani zilivyofana mjini Musoma
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya uuguzi mkoani Mara wakijiaanda kuanza maandamano kutoka Hospitali Hospitali ya Rufaa mkoa wa Mara wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya Wakunga Duniani ambapo kitaifa yamefanyika wilayani Musoma.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya uuguzi wilayani Musoma wakiwa wamekusanyika nje ya Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mara kwa ajili ya maandamano ya kuadhimisha Siku ya Wakunga Duniani ambapo kitaifa yamefanyika mjini...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi06 May
MAADHIMISHO YA SIKU YA WAKUNGA DUNIANI YALIVYOFANA MJINI MUSOMA
![DSC_0056](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0056.jpg)
![DSC_0060](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0060.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Kj1fQOLmiVY/VUjcDNOxuYI/AAAAAAAHVik/VSS8Hoqt5IA/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
MH. PINDA AHUDHURIA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAKUNGA MJINI MUSOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Kj1fQOLmiVY/VUjcDNOxuYI/AAAAAAAHVik/VSS8Hoqt5IA/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-brzVCXzxZkA/VUjb-NGlpNI/AAAAAAAHViU/TSM2g5iKKPc/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
11 years ago
Dewji Blog14 Jun
Shamra shamra za ufunguzi wa ZIFF 2014 ndani Ngome Kongwe Unguja
Jukwaa litakalotumika kwa masuala ya burudani kuanzia leo Juni 14 hadi 22 ndani ya Ngome Kongwe katika ukumbi wa Mambo Club linavyoonekana muda huu kwenye hatua ya mwisho kuelekea ufunguzi rasmi saa moja jioni.(Picha na Zainul Mzige modewjiblog)
Opening Night: Mandela: Long Walk to Freedom
June 14th 20:20 Old Fort Ampitheatre
Opening Night Concert:
June 14th Mambo Club
Tamaduni Music (Tanzania) followed by BODY, MIND & SOUL (Malawi)
Mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima, Andrew Chale...
10 years ago
VijimamboShamra shamra za Mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salum Mwalimu
10 years ago
Dewji Blog25 Jun
Komredi Kinana alakiwa kwa shamra shamra za sungusungu jimbo la Kwimba
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa na Kikundi cha Ulinzi wa Jadi cha Sungusungu, alipowasili katika Kijiji cha Hungumalwa njaia panda ya Mwamashinga alipoanza ziara Jimbo la Kwimba, mkoani Mwanza, ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
Komredi Kinana akivishwa kofia ya jadi ya Sungusungu wakati wa mapokezi wilayani Kwimba.
10 years ago
VijimamboShamra Shamra za Kusherehekea Ushindi wa Majimbo ya Wilaya ya Amani Unguja
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cFwJ0lt4rsw/VDwenNkP-5I/AAAAAAAGp7M/GrE_xEv8Kl0/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Shamra shamra za Mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu CHADEMA Zanzibar Salum Mwalimu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-cFwJ0lt4rsw/VDwenNkP-5I/AAAAAAAGp7M/GrE_xEv8Kl0/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
10 years ago
GPLKOMREDI KINANA ALAKIWA KWA SHAMRA SHAMRA ZA SUNGUSUNGU JIMBO LA KWIMBA
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_00021.jpg)
SHAMRA SHAMRA ZA UFUNGUZI WA ZIFF 2014 NDANI NGOME KONGWE UNGUJA