Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shein: Vijana lindeni Mapinduzi

Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amewataka vijana kuendelea kulinda misingi ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuwa tukio hilo ni mchakato uliotokana na madhila waliyofanyiwa wazawa wakati wa utawala wa Sultani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Dk Shein apongeza maandalizi sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar

Rais wa Zanzibar, Dk Mohamed Ali Shein.MWENYEKITI wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein ameipongeza Halmashauri ya Sherehe na Maadhimisho ya Kitaifa kwa kusimamia vyema maandalizi na kufanikisha maadhimisho ya sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba ya Rais, Dk Shein kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi

Viongozi wa juu wa kitaifa wakiongozwa na Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohammed Shein, wakishuhudia gwaride likipita mbele ya jukwaa kuu
Mheshimiwa Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;

Mheshimiwa Dk. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;

Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;

Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar;

Mheshimiwa Balozi...

 

9 years ago

Vijimambo

DR. SHEIN AZINDUA MNARA WA MIAKA 50 YA MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBAR

Haiba ya Mnara wa Kumbukumbu ya Miaka Hamsini ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Mwaka 1964 inavyoonekana baada ya kumalizika kujengwa hapo katika Majumba ya Maendeleo Michenzani Mjini Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein akikata utepe kuashirika kuufungua Rasmi Mnara wa Kumbu kumbu ya Miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Mwaka 1964 hapo Michenzani Mjini Zanzibar. Mshauri wa Ujenzi wa Mnara wa wa Kumbu kumbu ya Miaka 50 ya...

 

10 years ago

GPL

VIJANA WAZUNGUMZIA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

Msanii Kala Jeremiah akiwa kwenye pozi baada ya kuzungumzia Mapinduzi ya Zanzibar. KIWA leo ni sherehe ya maadhimisho ya miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar, baadhi ya vijana katika jiji la Dar es Salaam wametoa maoni yao kuhusu sherehe hizo. Msanii wa muziki Kala Jeremiah ni miongoni mwao ambapo alisema: “Mapinduzi hayo ni sherehe ambayo inatukumbusha jitihada walizofanya viongozi wetu kwa kuikomboa Zanzibar kutoka kwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Dkt. Shein azindua Sherehe za Mapinduzi kwa Usafi wa Mazingira

IMG_3011Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizoa taka katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa Sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

IMG_3016Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akibeba taka katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani