Shein: Vijana lindeni Mapinduzi
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amewataka vijana kuendelea kulinda misingi ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuwa tukio hilo ni mchakato uliotokana na madhila waliyofanyiwa wazawa wakati wa utawala wa Sultani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Apr
Dk Shein apongeza maandalizi sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar
MWENYEKITI wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein ameipongeza Halmashauri ya Sherehe na Maadhimisho ya Kitaifa kwa kusimamia vyema maandalizi na kufanikisha maadhimisho ya sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uFaMLR2rPes/VLPfcdW0O7I/AAAAAAAAPDg/VzvItL9UAz0/s72-c/IMG_8764.jpg)
Hotuba ya Rais, Dk Shein kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi
![](http://1.bp.blogspot.com/-uFaMLR2rPes/VLPfcdW0O7I/AAAAAAAAPDg/VzvItL9UAz0/s640/IMG_8764.jpg)
Mheshimiwa Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Mheshimiwa Dk. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar;
Mheshimiwa Balozi...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-bVhudCm9ifg/Vebo80K_mFI/AAAAAAABGoc/_dCc_v3o1MU/s72-c/046.jpg)
DR. SHEIN AZINDUA MNARA WA MIAKA 50 YA MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-bVhudCm9ifg/Vebo80K_mFI/AAAAAAABGoc/_dCc_v3o1MU/s640/046.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hU1XZNBODiI/Vebo9OzgfpI/AAAAAAABGos/MgvbQMZLGt0/s640/047.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TG6uv20dei8/Vebo9BJAS5I/AAAAAAABGok/trEKS0l1fiM/s640/065.jpg)
10 years ago
GPLVIJANA WAZUNGUMZIA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
9 years ago
Global Publishers03 Jan
Dkt. Shein azindua Sherehe za Mapinduzi kwa Usafi wa Mazingira
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizoa taka katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa Sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akibeba taka katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa...