Sherehe za kubarikiwa kwa Mchungaji Dickson Kiwori zafana huko Masama, Moshi
![](http://3.bp.blogspot.com/-vK8KlXZnolU/VKGduHYd85I/AAAAAAAG6gE/hP2W2dsmXag/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Mchungaji Dickson Kiwori akifurahia na mkewe baada ya kubarikiwa rasmi kuwa mchungaji katika Ibada iliyofanyika Jumamosi katika Kanisa LA KKKT usharika wa Sonu Masama katika Ibadan iliyoongozwa na Askofu Dkt.Martin Shao
Mke Wa Mchungaji mpya Dickson Kiwori Hilder Akimlisha mumewe kipande cha ndafu wakati Wa Sherehe ya kumpongeza iliyofanyika Huko Usharika Wa Sufi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro
Mchungaji mpya Dickson Kiwori akipongezwa wakati Wa Sherehe ya kumpongeza iliyofanyika Huko...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Sherehe za Miaka 50 ya uhai wa Bendi Msondo Ngoma zafana Jijini DarMsondo Ngoma zafana Jijini Dar
Bendi Kongwe ya Muziki wa Dansi hapa nchini iliyodumu kwa miaka 50 toka kuanzishwa kwake mwaka 1964,Msondo Ngoma Music Band imesherehekea Jubilei yake hiyo iliyofanyika Novemba 1,2014 katika viwanja vya TCC Club,Chang’ombe jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha mashabiki wake lukuki kutoka sehemu mbali mbali.
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo ya kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-s0ahwxSkHZ4/VJ-uOHCeLPI/AAAAAAAANt8/X8AFZN3Pv8M/s72-c/1.jpg)
Sherehe za Ubatizo wa Dickson Jr zafanyika Houston
![](http://1.bp.blogspot.com/-s0ahwxSkHZ4/VJ-uOHCeLPI/AAAAAAAANt8/X8AFZN3Pv8M/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RUiWLb-KonA/VJ-uOBO6CrI/AAAAAAAANuA/lGttWjPO3mE/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rdDbQxXpmac/VJ-uOL-4vFI/AAAAAAAANuE/R3ygu148gQw/s640/3.jpg)
11 years ago
Dewji Blog01 May
Sherehe za Mei Mosi Mwanza zafana
![](http://2.bp.blogspot.com/-JsrEeTfDbLU/U2IxC4BfoYI/AAAAAAAANag/PS3xkcMjofY/s1600/6.jpg)
Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakipita ya mgeni wa heshima Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Eng.Evarist Welle Ndikilo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza ,matembezi hayo yalihitimishwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-i7_trS066Qg/U2IxFBOPR1I/AAAAAAAANao/9qv17vIqEYo/s1600/7.jpg)
Wafanyakazi wa Mkemia Mkuu wa Serikali wakiingia uwanjani CCM Kirumba Mwanza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza.
Wafanyakazi wa Idara ya Maliasili wakiingia uwanjani CCM Kirumba katika kuhitimisha siku ya wafanyakazi..
![](http://1.bp.blogspot.com/-1p8-b1YZ7Vs/U2IxHtcOgvI/AAAAAAAANaw/tDDF-BNWwkk/s1600/10.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JsrEeTfDbLU/U2IxC4BfoYI/AAAAAAAANag/PS3xkcMjofY/s72-c/6.jpg)
SHEREHE ZA MEI MOSI ZAFANA JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-JsrEeTfDbLU/U2IxC4BfoYI/AAAAAAAANag/PS3xkcMjofY/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-i7_trS066Qg/U2IxFBOPR1I/AAAAAAAANao/9qv17vIqEYo/s1600/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4cZhAhBJhFk/U2IxH7iroKI/AAAAAAAANa0/bi03qK-xBPo/s1600/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1p8-b1YZ7Vs/U2IxHtcOgvI/AAAAAAAANaw/tDDF-BNWwkk/s1600/10.jpg)
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Sherehe za Muungano zafana, majeshi yawa kivutio
Patricia Kimelemeta na Jonas Mushi, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete jana aliongoza maelfu ya Watanzania kuadhimisha sherehe za miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, huku vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama vikiwa kivutio kikubwa.
Tofauti na ilivyozoelekea miaka yote ambako vikosi vya ulinzi na usalama huwa vinakuwa kundi moja tu vikiwa vimevalia sare maalumu za sherehe, jana kulikuwa na makundi mawili tofauti yakiwa na zana nyingi na za kisasa zinazotumika katika utendaji wa...
11 years ago
Dewji Blog27 Apr
Sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi zafana Uwanja wa Taifa
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia wananchi wakati alipokuwa anaingi uwanja wa Uhuru leo katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.Pembeni ni Mkuu wa majeshi Jenerali Davis Mwamunyange.
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua vikosi vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete...
10 years ago
Dewji Blog24 Oct
Sherehe za UN zafana: TZ yataka utekelezaji mfuko wa GCF
Kapteni Emmanuel Kukula (aliyenyoosha kidole) wa Jeshi la Wananchi Tanzania akiwa na baadhi ya maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa pamoja na Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu wakishauriana masuala ya Protokali kabla ya kuanza kwa sherehe za maadhimisho ya miaka 69 ya Umoja wa Mataifa tangu kuanzishwa kwake zilizofanyika leo jijini Dar es Salaam kwenye viwanja vya Karimjee. (Picha na Zainul Mzige)
Na Mwandishi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cTTy3jB8nC4/VFYMCXRwthI/AAAAAAAGvDk/Hsw_ah9u5Hw/s72-c/7.jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA BENDI YA MSONDO NGOMA ZAFANA SANA
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo za kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...
10 years ago
Michuzi25 Oct
SHEREHE ZA UN ZAFANA: TANZANIA YATAKA UTEKELEZAJI MFUKO WA GCF
![IMG_2656](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_2656.jpg)
![IMG_2657](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_2657.jpg)
![IMG_2672](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_2672.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10