Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sherehe za TANZANIA DAY 2014 Sweden

Jumuia ya watanzania Sweden inawakaribisha WaTanzania wote waishio nchini Sweden na nchi za skandinavia kuhudhuria kwenye Sherehe za TANZANIA DAY 2014 .
Sherehe itafanyika Stockholm  tarehe 27th Sept 2014 kufanyika katika Ukumbi utakua wa Bergshamra: Adress ni Bergshamra Skola, Hjortstigen 1, Bergshamra, Solna.Kuanzia saa 15:00 jioni mpaka saa 03:00 Usiku. Kutakuwa na Nyama choma itayoambatana na viburudishi mbalimbali kuanzia 15:00 jioni mpaka saa 20:00 usiku.
Saa 20:00 mpaka 03:00 usiku Dj...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Taswira za Sherehe ya WaTanzania nchini Sweden na mkutano wa kumkaribis​ha balozi Dora Msechu

Mama Dora Msechu Mheshimiwa Balozi wa Tanzania nchi za Nordic na Baltic alipokelewa kwa shangwe mwihoni mwa juma ambapo  Watanzania kibao walifika kutoka karibia kila kona ya Sweden. Siku ilianza kwanza na mkutano na Mama Dora Msechu kujitambulisha rasmi kwawatanzania. Baada ya mkutano kulikua na chakula na Dansi kusherekea Tanzania day. Kivutio kingine kikubwa ni umahiri wa maDJ wakali hapa Sweden wakitambulika kwa majina ya Dj Richie na Dr Erick Kalebi ambao walitumbuiza mziki wa...

 

10 years ago

Michuzi

World AIDS Day When: December 1, 2014 Time: 8am-4:30pm Where: Tanzania and Uganda




Theme: Prevention Beyond Mother-to- Child Transmission (PbMTCT)
Collaborating with: Mildmay Uganda and Profam Royal Domiciliary Clinic
Description: In order to achieve " Getting To Zero", CSI joins the global community in the fight against HIV and AIDS by strengthening efforts to prevent future mother-to child transmissions and reaching out to adolescents and youth with educational materials and information to protect themselves. 
The CSI theme "PbMTCT" is to engage more parents, guardians,...

 

10 years ago

Vijimambo

DICOTA 2014 CONVENTION DAY 3 SATURDAY OCT 4, 2014

   

Broadcast live streaming video on Ustream
   

Broadcast live streaming video on Ustream
   

Broadcast live streaming video on Ustream

 

10 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA NYERERE DAY ZAFANA SANA JIJINI LUSAKA, ZAMBIA

TAREHE 12/10/2014, UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA UKISHIRIKIANA NA UONGOZI WA WATANZANIA WANAOISHI NA KUFANYA KAZI, BIASHARA NA KUSOMA NCHINI ZAMBIA ULIANDAA MICHEZO MBALIMBALI, CHAKULA NA VINYWAJI KATIKA KUSHEREHEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA KIFO CHA BABA WA TAIFA HAYATI MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE (NYERERE DAY) INAYOANGUKIA TAREHE 14/10 KILA MWAKA. KATIKA MAADHIMISHO HAYO MICHEZO YA KUVUTA KAMBA, KUFUKUZA KUKU KWA AKINA MAMA, DRAFT, BAO NA MPIRA WA MIGUU ILIFANYIKA ILI KUMUENZI...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sweden yafurahishwa na ukuaji wa uchumi wa Tanzania

IMGL1963

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo alipotembelea kiwanda cha METSO cha  kutengenezea vipuli vya mitambo ya gesi na mafuta katika jiji la Helsinki, Finland.(Picha na IKULU).

Serikali ya Sweden inaridhishwa na kiwango cha maendeleo ya kiuchumi ya Tanzania kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita na inadhamiria  kuinua ushirikiano  baina yake na Tanzania  ili kuleta maana zaidi katika maendeleo na kukua kwa uchumi kwa ujumla.

Waziri Mkuu wa Sweden Stefan Lofven amesema hayo  tarehe 4, Juni,...

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA NA SWEDEN ZAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John Haule akisalimiana na Mhe. Tanja Rasmusson, Waziri wa Ushirikiano wa Maendeleo wa Kimataifa wa Sweden alipofika Wizarani leo. Mhe. Rasmusson yupo nchini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. Katika mazungumzo yao waligusia masuala ya kuimarisha ushirikiano katika nyanja za biashara, uwekezaji, elimu, haki za binadamu na vita dhidi ya rushwa. Mhe. Rasmusson akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili...

 

10 years ago

Habarileo

Sweden, Tanzania kukuza ushirikiano kibiashara

Rais Jakaya Kikwete.NCHI ya Sweden imedhamiria kuukuza ushirikiano wake na Tanzania kwa Awamu mpya ambayo itaongeza uwekezaji na biashara zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani