Shilole Ampigisha Dj Tass ‘Sorry For That’ Mia Kidogo, Mitusi Live !
MWIGIZAJI na mwanamuziki wa kizazi kipya Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amemzingua Dj Tass mtangazaji wa kipindi cha Kwetu Fleva baada ya kushusha matusi hewani akihojiwa na mtangazaji huyo na kumfanya aombe msamaha kwa wasikilizaji kwa kutamka Sorry for That mara mia.
Tass alikatiza matangazo baada ya Shilole kuulizwa swali kuhusu mpenzi wake Shilole ambaye ametangaza kutengena naye hivi karibuni Mziwanda ambaye alitamba naye kwa muda mrefu na hata msanii huyu wa kiume kujichora picha ya Shilole...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68XgiKO9TGK8vK8cFtNEZVawXAL8bOkC*lDCrYNUvgUMk7oq3Q9Oo6kN2kLlE*xDkawo8WEar9YZjYUHZBcZA*qFVz/6.jpg?width=650)
PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI YA MASHINDANO YA DANSI MIA MIA
10 years ago
Bongo525 Feb
Niko sawa tu — asema Collo kwenye picha akiwa na noti za kutisha za dola mia mia!
10 years ago
GPLWASHINDI WA DANCE MIA MIA WATEMBELEA GLOBAL
10 years ago
Mwananchi19 Mar
Yanga mia mia, Simba ni shiida!
11 years ago
GPLMASHINDANO YA DANSI MIA MIA YAENDELEA
10 years ago
Vijimambo25 Dec
HII STORI NI YA MUDA KIDOGO LAKINI NIMEONELEA NIIWEKE HAPA NA WEWE UIPITIE KIDOGO
![](http://freemedia.co.tz/daima/wp-content/uploads/2014/12/marathon.jpg)
MBIO za Uhuru Marathon msimu wa pili zilizofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders Club, kwa kiasi fulani zilitiwa dosari kutokana na baadhi ya wanariadha kushutumiana kwa mambo ya kishirikina.
Tukio hilo la...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm5DilE9VqQujpxq-6-SKK9Qa1bVXFHKZQ0Bg9W9ZQKmoP6A6sALOea0mOS8KaQ*anWmSKIG1mR290mkVoEhn0i-/shilolelle.jpg)
SHILOLE LIVE CHUMBANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFW9NVQKpZD06LvSJChs338YQfKIptVmCDsPlo6OhZ0xi92Uzcw6Ava9aMvhRli8YcFgXPU8AG7ZSJXES8sWWQxL/FRONTAMANI.jpg)
AUNT, NICE CHANDE WATIFUANA KWA MITUSI!
5 years ago
CCN.Com24 Mar
Hantavirus: The Faux ‘Pandemic’ That’s Freaking Out All Your Friends