SHINDANO LA KAIZEN LIWE CHACHU YA MAENDELO YA UCHUMI WA VIWANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-oe2qU1YWr-o/XkxCoJae48I/AAAAAAALeGQ/NsMQPt_9q94F2B8PYb40J036ioUw37H2gCLcBGAsYHQ/s72-c/4-23-2048x1365.jpg)
Wawakilishi kutoka kiwanda cha Shelly’s Pharmaceutical Tanzania,
wakipokea tuzo kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara,
Prof.Riziki Shemdoe, baada ya kutangazwa washindi wa kwanza katika programuya KAIZEN kundi la viwanda vikubwa katika hafla ya kukabidhi tuzo kwa washindiwa programu hiyo iliyofanyika katika Kituo Cha Mikutano Cha Kimataifa JuliusNyerere Jijini Dar es Salaam leo Februari 18, 2020.
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Prof.Riziki Shemdoe, akiwa
kwenye picha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MBFbhAzGgg0/Xkv-ssOToQI/AAAAAAALeEg/QhZOYbv2I5YtnVod0ew3yUQiYXJxLEYJgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200218_152305_8.jpg)
KIWANDA cha Sherlys pharmaceutical LTD chaibuka kidedea kwenye shindano la KAIZEN, kuwakilisha katika shindano la KAIZEN Afrika
Akizungumza wakati wa kuwapa tuzo za ushindi wa kiwanda bora za KAIZEN jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa wizara ya Viwanda na Biashara, Riziki Shemdoe amesema kuwa kiwanda kilichoshinda kitatuwakilisha katika mashindano ya KAIZEN kwa nchi za Afrika zitakazofanyika Mwakani 2020 nchini Afrika Kusini.
"Sisis kama Sherlys...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ElSwMzscT84/XkakvaHnobI/AAAAAAALdYE/sPUaTlBm64omHwUYBLDFRERL20r1hDxcQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-14%2Bat%2B4.37.04%2BPM.jpeg)
MASHINDANO YA KAIZEN KUFANYIKA JIJINI DAR, WAZIRI WA VIWANDA MGENI RASMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ElSwMzscT84/XkakvaHnobI/AAAAAAALdYE/sPUaTlBm64omHwUYBLDFRERL20r1hDxcQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-14%2Bat%2B4.37.04%2BPM.jpeg)
MASHINDANO ya nne ya KAIZEN kufanyika jijini Dar es Salaam huku mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Wizara ya Viwanda na biashara, Innocent Bashungwa.
Mashindano ya KAIZEN kwa hapa nchini yamekuwa yakifanyika kila mwaka ifikapo Februali, 18, kwa mwaka huu yanalengo la kubadilishana uzoefu na kuhamasisha...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
TPSC Tanga chachu ya ukuaji wa uchumi
“MAFUNZO haya ni muhimu sana kwa viongozi wetu katika kuhakikisha wanasimamia fedha za walipa kodi ipasavyo.” Hiyo ni kauli ya Mkurugenzi wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) tawi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LblDlfspEBY/XlQHV2Ax4DI/AAAAAAALfLw/jtVRmfySSmYGdnnw8hxVyqfH-IuUUmj2QCLcBGAsYHQ/s72-c/3.png)
Majadiliano Sekta ya Umma na Binafsi Chachu Ukuaji wa Uchumi
![](https://1.bp.blogspot.com/-LblDlfspEBY/XlQHV2Ax4DI/AAAAAAALfLw/jtVRmfySSmYGdnnw8hxVyqfH-IuUUmj2QCLcBGAsYHQ/s640/3.png)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge Kazi, Vijana Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge (kulia) pamoja na Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara la Taifa, Dkt. Godwill Wanga (kushoto) baada ya uzinduzi wa Muongozo wa majadiliano kati ya sekta ya Umma na Binafsi katika ngazi ya Mikoa na Wilaya uliofanyika leo jijini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5KxBn45DbjY/XtN0SgSYYLI/AAAAAAALsGo/W05-OZvzmbMBAtQ-zpm7oMv4ZMmfuD_MQCLcBGAsYHQ/s72-c/AAAAA-768x432.jpg)
SERIKALI YATAKA MIKOPO YA TADB KUWA CHACHU KWA WAVUVI KUANZISHA VIWANDA VIDOGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-5KxBn45DbjY/XtN0SgSYYLI/AAAAAAALsGo/W05-OZvzmbMBAtQ-zpm7oMv4ZMmfuD_MQCLcBGAsYHQ/s640/AAAAA-768x432.jpg)
Walioshika mfano wa hundi: Kutoka kushoto, Mkurugenzi Mkuu wa TADB Bw. Japhet Justine, Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega, Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika Zilagula Bw. Joram Yuda na Mratibu wa Dawati la Sekta Binafsi Bw. Steven Michael
……………………………………………………………………………………..
Na. Edward Kondela
Serikali imesema inataka kuona uanzishwaji wa viwanda vidogo vidogo vya wafugaji na wavuvi kupitia mikopo inayotolewa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) ili kuyaongezea...
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Rungwe aahidi uchumi wa viwanda Kigoma
10 years ago
Habarileo09 Jul
Tanzania yasifiwa kwa uchumi wa viwanda
TANZANIA imesifiwa kwa kuonesha nia ya kuelekea kwenye uchumi wa viwanda baada ya kufanya jitihada za uboreshaji wa miundombinu tofauti, ikiwemo barabara na ujenzi wa bomba ya gesi kwa ajili ya matumizi ya viwandani na majumbani.
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Kuingia uchumi wa viwanda si lelemama, tupunguze misamiati
MIAKA 53 iliyopita, mwaka 1962, mwaka mmoja tu baada ya Uhuru wa Tanganyika; Baba wa Taifa, Mwali
Joseph Mihangwa
10 years ago
Habarileo08 Jun
Membe kupeleka nchi kwenye uchumi wa viwanda
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ametangaza rasmi kuwania urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM}, huku akitamba ataipeleka nchi katika uchumi wa viwanda unaobebwa na kilimo na kuahidi kujenga serikali ya waadilifu.