Rungwe aahidi uchumi wa viwanda Kigoma
Mgombea urais wa Chaumma, Hashimu Rungwe amesema wananchi wakimpatia ridhaa ya kuongoza Tanzania, ataubadili Mkoa wa Kigoma kwa kuleta maendeleo kupitia viwanda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Rungwe aahidi kuteua mawaziri wasiozidi 20
9 years ago
Mwananchi05 Sep
Lowassa aahidi bandari ya kisasa Kigoma
9 years ago
Habarileo08 Oct
Zitto aahidi barabara za lami Kigoma
KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Kabwe Zitto amesema kama wananchi wakiwachagua wagombea wa ubunge katika majimbo manane wa mkoa wa Kigoma kutoka chama hicho, watahakikisha barabara kutoka mji wa Nyakanazi yenye urefu wa kilometa 340 inajengwa kwa kiwango cha lami.
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Magufuli aahidi makubwa Tabora na Kigoma
10 years ago
Habarileo09 Jul
Tanzania yasifiwa kwa uchumi wa viwanda
TANZANIA imesifiwa kwa kuonesha nia ya kuelekea kwenye uchumi wa viwanda baada ya kufanya jitihada za uboreshaji wa miundombinu tofauti, ikiwemo barabara na ujenzi wa bomba ya gesi kwa ajili ya matumizi ya viwandani na majumbani.
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Mghwira aahidi Kigoma kuwa ghala la chakula
9 years ago
StarTV21 Oct
Anna Mgwila aahidi maendeleo ya uchumi Tarime
MGOMBEA uraisi kwa tiketi ya chama cha ACT wazalendo mama Anna Mgwila amesema kwamba kama wananchi watampatia ridhaa ya kuwaongoza katika kipindi cha miaka mitano ijayo atahakikisha wananchi wa Tarime wananufaika kutokana na wilaya hiyo kuwa na mgodi mkubwa wa kuchimba madini ya dhahabu uliopo Nyamongo .
Mgwila ameyasema hayo katika mIkutano ya kampeni aliyo ifanya katika mji wa nyamongo na Tarime mjini
Mama anna mgwila mgombea uraisi kwa tiketi ya Act wazalendo amesema, kama atapewa...
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Kuingia uchumi wa viwanda si lelemama, tupunguze misamiati
MIAKA 53 iliyopita, mwaka 1962, mwaka mmoja tu baada ya Uhuru wa Tanganyika; Baba wa Taifa, Mwali
Joseph Mihangwa
10 years ago
Habarileo08 Jun
Membe kupeleka nchi kwenye uchumi wa viwanda
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ametangaza rasmi kuwania urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM}, huku akitamba ataipeleka nchi katika uchumi wa viwanda unaobebwa na kilimo na kuahidi kujenga serikali ya waadilifu.