Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rungwe aahidi kuteua mawaziri wasiozidi 20

Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe amesema iwapo atachaguliwa katika uchaguzi mkuu Oktoba 25, ataunda baraza la mawaziri dogo lenye watu wasiozidi 20.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Rungwe aahidi uchumi wa viwanda Kigoma

Mgombea urais wa Chaumma, Hashimu Rungwe amesema wananchi wakimpatia ridhaa ya kuongoza Tanzania, ataubadili Mkoa wa Kigoma kwa kuleta maendeleo kupitia viwanda.

 

10 years ago

Habarileo

Kila kituo kuhudumia wapigakura wasiozidi 500

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeandaa vituo vya kupigia kura 64,736. Kati ya hivyo, Tanzania Bara ina vituo 63,156 na Zanzibar 1,580 na kila kituo kimepangwa kuwa na uwezo wa kuhudumia wapiga kura 450 na wasiozidi 500.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli kuteua wabunge punde

Rais John Magufuli anatarajiwa, wakati wowote kuanzia sasa, kuwateua baadhi ya watu wenye sifa kuwa wabunge ili aweze kuwapa majukumu ya kuongoza wizara atakapopanga safu ya Baraza la Mawaziri, hivi karibuni.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM haiwezi kuteua mgombea urais muadilifu

Wagombea urais kupitia CCM wanachukua fomu za chama hicho. Baadhi yao wamefanya kufuru za matumizi ya mbwembwe za kutangaza nia ya kugombea urais.

 

9 years ago

StarTV

Rais Magufuli aombwa kuteua Mbunge atakayewakilisha wafanyabiashara wadogowadogo

Wamachinga mkoani Mbeya wamuomba Rais John Magufuli kutenga nafasi moja kati ya viti kumi vya wabunge wa kuteuliwa vilivyo chini ya mamlaka yake kwa ajili ya mwakilishi mmoja wa kundi la vijana wanaofanya biashara ndogondogo kote nchini.

Wamachinga hao wamemuomba Rais Magufuli kumteua Mbunge wa kundi hilo maalum nchini ili kuwapa fursa ya kufikisha kero na mapendekezo yao serikalini kwa lengo la kuondoa changamoto zinazowakabili katika shughuli zao na misuguano iliyopo baina yao na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kim anatumia vigezo vipi kuteua nyota Taifa Stars?

TANZANIA imekuwa ikifananishwa na kichwa cha mwendawazimu katika soka kutokana na kufanya vibaya kwa timu zake; iwe katika mashindano ya ngazi ya klabu hadi timu za taifa. Kwa upande wa...

 

10 years ago

GPL

MARA BAADA YA MUHONGO KUJIUZULU NA JK KUTEUA WAPYA, ZITTO ATOA YA MAYONI!

Hiki ndicho alichokiandika Mhe. Zitto Kabwe kwenye ukurasa wake wa Face Book mara baada ya Waziri wa Nishati na Madini, Sospeter muhongo kutangaza kujiuzulu mapema leo. Na hiki ndicho alichokiandika mara baada ya uteuzi wa Mawaziri na manaibu Mawaziri…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani