Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuingia uchumi wa viwanda si lelemama, tupunguze misamiati

MIAKA 53 iliyopita, mwaka 1962, mwaka mmoja tu baada ya Uhuru wa Tanganyika; Baba wa Taifa, Mwali

Joseph Mihangwa

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Tanzania kuingia nchi zenye uchumi wa kati.

Na Grace Semfuko,

Dar Es Salaam,

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Mohammed Gharib Bilal amesema Tanzania inakusudia kuingia katika jumuiya ya nchi zenye uchumi wa kati huku ikiwa na vijana wenye uwezo wa kushindana kwenye soko la ajira barani Afrika.

 

Alisema ili kufikia hayo, mashirika binafsi yanatakiwa kuanza kutoa elimu kwa vijana ambao ndio taifa la sasa, kujiandaa katika kukabiliana na changamoto hiyo.

 

Katika uzinduzi wa mkakati wa utekelezaji wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Rungwe aahidi uchumi wa viwanda Kigoma

Mgombea urais wa Chaumma, Hashimu Rungwe amesema wananchi wakimpatia ridhaa ya kuongoza Tanzania, ataubadili Mkoa wa Kigoma kwa kuleta maendeleo kupitia viwanda.

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania yasifiwa kwa uchumi wa viwanda

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda.TANZANIA imesifiwa kwa kuonesha nia ya kuelekea kwenye uchumi wa viwanda baada ya kufanya jitihada za uboreshaji wa miundombinu tofauti, ikiwemo barabara na ujenzi wa bomba ya gesi kwa ajili ya matumizi ya viwandani na majumbani.

 

10 years ago

Habarileo

Membe kupeleka nchi kwenye uchumi wa viwanda

Waziri wa Mambo ya Nje, Bernad Membe, akihutubia wananchi mkoani Lindi wakati akitangaza nia.WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ametangaza rasmi kuwania urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM}, huku akitamba ataipeleka nchi katika uchumi wa viwanda unaobebwa na kilimo na kuahidi kujenga serikali ya waadilifu.

 

5 years ago

Michuzi

SHINDANO LA KAIZEN LIWE CHACHU YA MAENDELO YA UCHUMI WA VIWANDA

Wawakilishi kutoka kiwanda cha Shelly’s Pharmaceutical Tanzania,
wakipokea tuzo kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara,
Prof.Riziki Shemdoe, baada ya kutangazwa washindi wa kwanza katika programuya KAIZEN kundi la viwanda vikubwa katika hafla ya kukabidhi tuzo kwa washindiwa programu hiyo iliyofanyika katika Kituo Cha Mikutano Cha Kimataifa JuliusNyerere Jijini Dar es Salaam leo Februari 18, 2020.
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Prof.Riziki Shemdoe, akiwa
kwenye picha...

 

5 years ago

Michuzi

TARI- NALIENDELE MTWARA KUFANIKISHA MPANGO WA UJENZI WA UCHUMI WA VIWANDA

Na Mwandishi Wetu, MAELEZOSERIKALI ya Awamu ya Tano kupitia Wizara ya Kilimo imeendelea kuweka mazingira rafiki kwa wakulima na wafanyabiashara na pia kuboresha miundombinu ili kuwezesha upatikanaji wa chakula na masoko ya mazao ya kilimo, mifugo na uvuvi katika maeneo yote nchini.
Dhamira hiyo inatokana na ukweli kuwa sekta ya kilimo  kuwa mhimili muhimu  katika  maendeleo  ya uchumi wa taifa letu ambapo Pato la Taifa linalotokana na kilimo, kwa kutumia bei za mwaka 2015 limeongezeka  kwa ...

 

5 years ago

Michuzi

WANAWAKE MKOANI TANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA YA UCHUMI WA VIWANDA


Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga Specioza Owure akizungumza na waandishi wa habari wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo kimkoa ilifanyika kwenye viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini...

 

10 years ago

Vijimambo

WABUNGE WA KAMATI YA UCHUMI VIWANDA NA BIASHARA WATEMBELEA KIWANDA CHA KONYAGI

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited 'KONYAGI' Bw. David Mgwassa wa pili kulia akiwaongoza wabunge wa kamati ya uchumi viwanda na biashara kutembelea kiwanda hicho kilichopo Dar es salaamMkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited 'KONYAGI' Bw. David Mgwassa kushoto akifafanua jambo mbele ya wabunge wa kamati ya uchumi viwanda na biashara walipotembelea kiwanda hicho kilichopo Dar es salaamOfisa wa Kampuni ya Konyagi Bw, Alex Sanamba kulia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani