Kuingia uchumi wa viwanda si lelemama, tupunguze misamiati
MIAKA 53 iliyopita, mwaka 1962, mwaka mmoja tu baada ya Uhuru wa Tanganyika; Baba wa Taifa, Mwali
Joseph Mihangwa
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV17 Jan
Tanzania kuingia nchi zenye uchumi wa kati.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam,
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Mohammed Gharib Bilal amesema Tanzania inakusudia kuingia katika jumuiya ya nchi zenye uchumi wa kati huku ikiwa na vijana wenye uwezo wa kushindana kwenye soko la ajira barani Afrika.
Alisema ili kufikia hayo, mashirika binafsi yanatakiwa kuanza kutoa elimu kwa vijana ambao ndio taifa la sasa, kujiandaa katika kukabiliana na changamoto hiyo.
Katika uzinduzi wa mkakati wa utekelezaji wa...
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Rungwe aahidi uchumi wa viwanda Kigoma
10 years ago
Habarileo09 Jul
Tanzania yasifiwa kwa uchumi wa viwanda
TANZANIA imesifiwa kwa kuonesha nia ya kuelekea kwenye uchumi wa viwanda baada ya kufanya jitihada za uboreshaji wa miundombinu tofauti, ikiwemo barabara na ujenzi wa bomba ya gesi kwa ajili ya matumizi ya viwandani na majumbani.
10 years ago
Michuzi10 Feb
10 years ago
Habarileo08 Jun
Membe kupeleka nchi kwenye uchumi wa viwanda
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ametangaza rasmi kuwania urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM}, huku akitamba ataipeleka nchi katika uchumi wa viwanda unaobebwa na kilimo na kuahidi kujenga serikali ya waadilifu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oe2qU1YWr-o/XkxCoJae48I/AAAAAAALeGQ/NsMQPt_9q94F2B8PYb40J036ioUw37H2gCLcBGAsYHQ/s72-c/4-23-2048x1365.jpg)
SHINDANO LA KAIZEN LIWE CHACHU YA MAENDELO YA UCHUMI WA VIWANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-oe2qU1YWr-o/XkxCoJae48I/AAAAAAALeGQ/NsMQPt_9q94F2B8PYb40J036ioUw37H2gCLcBGAsYHQ/s640/4-23-2048x1365.jpg)
wakipokea tuzo kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara,
Prof.Riziki Shemdoe, baada ya kutangazwa washindi wa kwanza katika programuya KAIZEN kundi la viwanda vikubwa katika hafla ya kukabidhi tuzo kwa washindiwa programu hiyo iliyofanyika katika Kituo Cha Mikutano Cha Kimataifa JuliusNyerere Jijini Dar es Salaam leo Februari 18, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/9-6-scaled.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Prof.Riziki Shemdoe, akiwa
kwenye picha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G2HiKbs4EEM/XvMKr9QGCBI/AAAAAAALvMU/jkbKtH5GrakycSZ8UXayooaeluNijey_ACLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%252822%2529.jpeg)
TARI- NALIENDELE MTWARA KUFANIKISHA MPANGO WA UJENZI WA UCHUMI WA VIWANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-G2HiKbs4EEM/XvMKr9QGCBI/AAAAAAALvMU/jkbKtH5GrakycSZ8UXayooaeluNijey_ACLcBGAsYHQ/s640/images%2B%252822%2529.jpeg)
Dhamira hiyo inatokana na ukweli kuwa sekta ya kilimo kuwa mhimili muhimu katika maendeleo ya uchumi wa taifa letu ambapo Pato la Taifa linalotokana na kilimo, kwa kutumia bei za mwaka 2015 limeongezeka kwa ...
5 years ago
MichuziWANAWAKE MKOANI TANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA YA UCHUMI WA VIWANDA
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga Specioza Owure akizungumza na waandishi wa habari wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo kimkoa ilifanyika kwenye viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini...
10 years ago
Vijimambo24 Oct
WABUNGE WA KAMATI YA UCHUMI VIWANDA NA BIASHARA WATEMBELEA KIWANDA CHA KONYAGI