Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shinikizo Somalia iwaachie wanahabari

Walitiwa mbaroni baada ya kituo cha habari Universal TV kupeperusha mjadala wenye utata unaohusu majeshi ya Kenya na Ethiopia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

SHINIKIZO LA DAMU (HYPERTENSION)-3

Leo nitaelezea mambo yanayosababisha shinikizo la damu ili uyafahamu na kujihadhari nayo.SHINIKIZO LA DAMU (HYPERTENSION)-3 MBO hayo ni uvutaji sigara, unene (visceral obesity) yaani unene wa sehemu za tumbo, unywaji pombe, upungufu wa madini ya potassium, upungufu wa vitamin D, kurithi, umri mkubwa, chumvi na madini ya sodium kwa ujumla, ongezeko la kemikali kwenye figo (renin) na kushindwa kufanya kazi kichocheo cha Insulin....

 

9 years ago

GPL

SHINIKIZO LA DAMU (HYPERTENSION) - 4

Leo nitaelezea mambo yanayosababisha shinikizo la damu ili uyafahamu na matibabu yake.Kama shinikizo lako la damu liko juu, ni muhimu kumuona daktari ili ufanyiwe uchunguzi wa kiafya. Kipimo kimoja cha shinikizo la damu hakimaanishi kupatikana au kuugua ugonjwa huo, inabidi upimwe zaidi ya mara mbili. Pima kwa kifaa maalum cha kupimia shinikizo la damu kinachoitwa Sphygmomanometer angalau mara tatu tofauti kwa wiki ili...

 

9 years ago

GPL

SHINIKIZO LA DAMU (HYPERTENSION)-2

Shinikizo la damu limegawanyika katika makundi mawili, aina ya kwanza ambalo kitaalam huitwa Primary au Essential Hypertension. Aina hii ya shinikizo la damu huwapata asilimia 90 hadi 95 ya wagonjwa, huku sababu zikiwa hazijulikani suala linalomaanisha kuwa wagonjwa huwa hawana sababu za wazi zinazosababisha tatizo hilo. Kesi zinazobakia za shinikizo la damu ambazo ni asilimia 5-10 za wagonjwa husababishwa na shinikizo la damu...

 

9 years ago

GPL

SHINIKIZO LA DAMU (HYPERTENSION)

WIKI hii tutazungumzia ugonjwa wa shinikizo la damu, au ambao wengi huuita presha na kitaalam huitwa Hypertension au High Blood Pressure.  Ieleweke kuwa shinikizo la damu ni muhimu kwa ajili ya kusukuma damu katika sehemu zote za mwili, lakini shinikizo la damu la juu huweza kuleta matatizo na madhara makubwa kwa mwanadamu. Shinikizo la damu kwa kawaida husababishwa na kuongezeka msukumo wa damu katika kuta za mishipa ya damu,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Shinikizo dhidi ya Rais wa CAR

Rais wa mpito Michel Djotodia, huenda akakabiliwa na shinikizo za kuanchia mamlaka kwenye mkutano wa viongozi wa kiafrika wanaokutana kujadili ghasia za kidini nchini humo

 

11 years ago

Mwananchi

Shinikizo la kusitishwa Bunge la Katiba

>Joto la kushinikiza kusitishwa kwa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), linazidi kupanda nchini baada ya wabunge na vyama vya siasa kuendelea kusisitiza kuwa Bunge hilo halina tija kwa taifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bensouda:Sikabiliwi na shinikizo zozote

Kiongozi wa mashitaka ICC, Fatou Bensouda amekanusha madai kuwa anakabiliwa na shinikizo za kisiasa kufutilia mbali kesi dhidi ya Uhuru na Ruto.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marikana:Shinikizo mkuu wa polisi afutwe kazi

Upinzani nchini Afrika Kusini unaitaka serikali imfute kazi mkuu wa polisi Riah Phiyega kufuatia mauaji ya wachimba migodi wa Marikana

 

9 years ago

Michuzi

KESHO NI SIKU YA MOYO DUNIANI:WANANCHI KUPIMWA SHINIKIZO LA DAMU BURE



 Daktari Bingwa wa magonwa ya moyo, Dk Tulizo Shemu (kulia) wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) akizungumza na waandishi wa habari katika taasisi hiyo kuhusu siku ya afya ya moyo duniani ambayo inafanyika Septemba 29, kila mwaka. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo nchini, Dk Tatizo Wane (kulia) wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) akizungumza na waandishi wa habari katika taasisi hiyo kuhusu siku ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani