shirika la ndege la flydubai lakaribishwa rasmi visiwani Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-TMi_G0PCCp8/VEfzx0E6AWI/AAAAAAAGswc/LTESUYC-we8/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba mafungamano yaliyopo ya Kibiashara baina ya Zanzibar na Mataifa ya Ghuba na Mashariki ya mbali yatazidi kuimarika kufuatia kuongezeka kwa mawasiliano ya safari za anga kati ya pande hizo mbili. Balozi Seif alisema hayo wakati akizindua safari za anga kati ya Dubai na Zanzibar zilizoanzishwa rasmi na Kampuni ya Kimataifa ya usafiri wa ndege ya Flydubai hafla iliyofanyika katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Amani Abeid...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-b0K4qJXqQV8/VEedQiliB_I/AAAAAAACtUU/HoM5bgqrQ5k/s72-c/9.jpg)
Mh.Samia Suluhu mgeni rasmi uzinduzi wa njia mpya za shirika la ndege la Flydubai jijini Dar leo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-b0K4qJXqQV8/VEedQiliB_I/AAAAAAACtUU/HoM5bgqrQ5k/s1600/9.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-47WvdAejGqU/VEedP4oFoOI/AAAAAAACtUM/8aLvsYrTUwM/s1600/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z8h1sWm7dIY/VEedPUnMuXI/AAAAAAACtUA/olCPfaV_yM0/s1600/7.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o-1NtXzEejLTA6F1HIIZKheq7ipUfrco6*03A8ZYl0jDRgXizz7*833pammkZrBpXfOF9C57AJhpLcxw4tSIdxNVlp7MBChl/01.jpg?width=650)
MHE. SAMIA SULUHU MGENI RASMI UZINDUZI WA NJIA MPYA ZA SHIRIKA LA NDEGE LA FLYDUBAI JIJINI DAR LEO
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Shirika la ndege la flydubai wazindua safari zao nchini Tanzania
Makamu wa Rais mwandamizi katika shughuli za kibiashara wa shirika la ndege la FlyDubai, Bwa.Sudhir Sreedharan akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali jana kwenye uwanja wa kimataifa wa Jk Nyerere Kwenye Uzinduzi wa Shirika jipya la ndege la Fly Dubai.
Shirika Jipya la Ndege la Fly Dubai Jana Wamezindua safari zao nchini kwa gharama za bei nafuu,pia ndege hiyo itakuwa ikiruka moja kwa moja pia kutokea Zanzibar kwenda Dubai
Balozi mdogo wa Tanzania nchini Dubai Mh. Omar Mjenga...
9 years ago
Dewji Blog25 Aug
Shirika la Habari la Marekani la Inernews laendesha mafunzo ya siku tano kwa wanahabari Visiwani Zanzibar juu ya kuripoti habari za uchaguzi mkuu
Mhadhiri wa Sheria, Kitivo cha Sheria Zanzibar University, Ali Uki akionyesha kitabu cha Sheria cha Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na kitabu cha Sheria cha Tanzania na cha Zanzibar ambavyo vinawapasa waandishi wa habari kuvisoma na kuzitumia sheria hizo katika kuandika habari za Uchaguzi Mkuu kwa usahihi.
Mkufunzi na Mwandishi Mkongwe wa Tasnia ya Habari Zanzibar Salim Said Salim akitoa mada katika mafunzo ya siku tano juu ya kuandika Habari za Uchaguzi Mkuu yaliyoandaliwa na...
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Karibu Zanzibar Fashion Festival 2015 ilivyofana Visiwani Zanzibar
Mmoja wa waanzilishi wa Karibu Zanzibar Fashion, Joseph Alban (mwenye suti nyeusi) akiongea machache kwa niaba ya wenzake wakati wa kuhitimisha tukio hilo usiku wa jana…(Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com)
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Zanzibar) Usiku wa Julai 20 ulikuwa ni wa kipekee kwa viunga vya Unguja Kisiwani Zanzibar kutokana na tukio moja tu la kipekee la onesho la mavazi lijulikanalo kama KARIBU ZANZIBAR FASHION FESTIVAL 2015 lililoteka umati wa wadau wa fani hiyo na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mWR5AJF1938/VnqJZmD9A2I/AAAAAAAIOM4/oePQsgqdK0E/s72-c/1.jpg)
SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LAZINDUA MFUMO MPYA WA KISASA WA USIMAMIZI WA MIZIGO KWENYE VIWANJA VYA NDEGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-mWR5AJF1938/VnqJZmD9A2I/AAAAAAAIOM4/oePQsgqdK0E/s640/1.jpg)
Kupitia mfumo wa kisasa wa Baggage Management System (BMS) unaosimamiwa na kampuni ya Luggage Logistics, shirika la ndege la Etihad litaweza kuboresha usimamizi ikiwemo kusafirisha mizigo ya wasafiri kwa wakati. Mfumo huo pia utawezesha kufuatilia kwa urahisi...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)