Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHOW YA OMMY DIMPOZ WASHINGTON DC IMEHAIRISHWA HADI SPRING/SUMMER


KUTOKANA NA MGONGANO WA RATIBA TUNGEPENDA KUWAARIFU KUWA ILE SHOW YA OMMY DIMPOZ ILIYOKUWA IFANYIKE WASHINGTON DC TAREHE 22 MWEZI WA PILI IMEHAIRISHWA HADI SPRING/SUMMER ILI KUZIPISHA SHEREHE ZA KUHADHIMISHA MIAKA 37 TANGU KUZALIWA KWA CHAMA TAWALA CHA CCM ZIFANYIKE BILA KIKWAZO TAREHE HIYO HIYO YA 22 MWEZI WA PILI.
TUNAOMBA SAMAHANI KWA USUMBUFU UTAKAOTOKEA KWANI KWA HESHIMA ZOTE TUMEKIPA CHAMA TAWALA NAFASI YAKE ! SWALI AU MAELEZO ZAIDI TUPIGIE 3016616207

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ALICHOKISEMA OMMY DIMPOZ BAADA YA KUSHINDWA KUUZURIA SHOW YA RUGBY NA SHEREHE ZA MIAKA 38 YA CCM

Wakaniambia sasa hii show ndio tunatatizo nayo kwasababu ni show ambayo inahusisha chama cha kisiasa na kama uliona hata kwenye promotion yangu nilikuwa nimeandika kuwa nitakuwa na show ya miaka 38 ya CCM Marekani, unajua vyama cha siasa hivi Chadema, CCM wanamatawi yao kule Marekani watu wanaoishi nje mara nyingi uwa wanafanya sherehe sherehe za Annivesary , kwa hiyo wakaniambia kuwa hii visa yako haikuruhusu wewe kuperform kuna aina ya Visa ya inayoruhusu msanii ku perform kwasababu show...

 

9 years ago

Dewji Blog

Washington DC habari ya mujini ni Shilole na Ommy Dimpoz Live Jumapili hii Sept 6 sikukuu ya Labor Day

SHOW HII INAWAUNGANISHA WASANII WATATU KUTOKA TANZANIA NA SOUTH AFRICA YAANI PATA SHOW TATU KWA BEI YA SHOW MOJA.

 

 

5 years ago

CNET

Every upcoming phone available this spring and summer of 2020

Every upcoming phone available this spring and summer of 2020  CNETXiaomi Mi 10 vs Samsung Galaxy S20  TechRadarHands on with One UI 2.1 on the Samsung Galaxy S10 series  Notebookcheck.netCan we stop it with the comically big phones now?  Android AuthoritySamsung rolls out Android 10 with One UI 2.1 to the Galaxy Tab S6  XDA DevelopersView Full coverage on Google News

 

10 years ago

CloudsFM

Picha za Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kimahaba zilipigwa usiku ‘mnene’,Dimpoz adai hakuwa na fahamu.

Zile picha za mahaba zilizosambaa kwenye mitandao zikimuonyesha Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kitandani zimezidi kuzua utata baada ya Ommy kusema hakujua alipigwa saa ngapi kwani hakuwa na fahamu bali aulizwe Wema.Ommy amezungumza na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda upi zilipigwa picha hizo.Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz ameamua kujiweka kwa Wema baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani