Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ommy Dimpoz kusindikiza Redd’s Miss Tanzania Talent Show Oktoba 3 ndani ya New Maisha Club

IMG-20140928-WA0012

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MISS DAR CITY CENTRE 2014 TALENT SHOW KUTIKISA MAISHA CLUB



 Warembo wanaowania taji la Miss Dar City Center 2014 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mkutano na waandishi wa Habari hii leo. Mratibu wa shindano hilo, Judith Michael akizungumza na wanahabari, pamoja nae ni Mkufunzi wa warembo hao.   ********* Na Father Kidevu Blog  WANYANGE 20 wanao wania taji la Miss Dar City Center kesho Mei 16 mwaka huu watawasha moto vikali katika ukumbi wa Maisha Clab wakati wa shindano lao la Vipaji.
Shindano hilo litaongozwa na wasanii, Rich...

 

11 years ago

Dewji Blog

Miss Dar City Centre 2014 Talent Show kutikisha Maisha Club Ijumaa hii

Dar city 2

Mratibu wa shindano hilo, Judith Michael akizungumza na wanahabari, pamoja nae ni Mkufunzi wa warembo hao.

Dar city 1

Warembo wanaowania taji la Miss Dar City Center 2014 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mkutano na waandishi wa Habari hii .

Na Father Kidevu Blog

WANYANGE 20 wanao wania taji la Miss Dar City Center kesho Mei 16 mwaka huu watawasha moto vikali katika ukumbi wa Maisha Club wakati wa shindano lao la Vipaji.

Shindano hilo litaongozwa na wasanii, Rich Mavoko, Bonge la Nyau na TID...

 

10 years ago

Michuzi

NICOLE FRANKLYN SARAKIKYA NDIYE REDD'S MISS TANZANIA TALENT 2014

Nicole Franklyn Sarakikya ambaye ni mwakilishi kutoka Shinyanga 2014  usiku wa kuamkia leo alifanikiwa kuwabagwa warembo wenzake 26 kati ya 30 wanao wania taji la Miss Tanzania mwaka huu na kufanikiwa kuwa mrembo wa 3 kuingia Nusu Fainali ya Mashindano hayo baada ya kutwaa taji la miss talent. Shindano hili limefanyika New Maisha Club jijini Dar es Salaam. (Picha na Pamoja Blog)Tano bora ilikuwa hii

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

GPL

NICOLE FRANKLYN SARAKIKYA NDIYE REDD'S MISS TANZANIA TALENT 2014

Nicole Franklyn Sarakikya ambaye ni mwakilishi kutoka Shinyanga 2014  usiku wa kuamkia leo alifanikiwa kuwabagwa warembo wenzake 26 kati ya 30 wanao wania taji la Miss Tanzania mwaka huu na kufanikiwa kuwa mrembo wa 3 kuingia Nusu Fainali ya Mashindano hayo baada ya kutwaa taji la miss talent. Shindano hili limefanyika New Maisha Club jijini Dar es Salaam.
Tano bora ilikuwa hii.… ...

 

10 years ago

TheCitizen

REDD’S miss tanzania-the show goes on

>The Redd’s Miss Tanzania 2014 final show will go on as scheduled, this was after an earlier court injunction was quashed on Tuesday afternoon.

 

10 years ago

Michuzi

Redd's Miss Temeke kujulikana ijumaa ndani ya TCC Club,Chang'ombe, jijini Dar es Salaam.

 Warembo watakaoshiriki mashindano ya Redd's  Miss Temeke, wakiwa katika picha ya pamoja na Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Khalid Mohamed (TID), anayemiliki bendi ya  Top in Town,itakayotoa burudani katika mashindano hayo.Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Khalid Mohamed (TID), anayemiliki bendi ya  Top in Town, akielezea katika mkutano na waandishi wa habari, katika  klabu ya City Sports & Lounge jinsi alivyojiandaa kutoa burudani katika mashindano ya Redd's Miss Temeke yatakayofanyika...

 

11 years ago

Michuzi

SHOW YA OMMY DIMPOZ WASHINGTON DC IMEHAIRISHWA HADI SPRING/SUMMER


KUTOKANA NA MGONGANO WA RATIBA TUNGEPENDA KUWAARIFU KUWA ILE SHOW YA OMMY DIMPOZ ILIYOKUWA IFANYIKE WASHINGTON DC TAREHE 22 MWEZI WA PILI IMEHAIRISHWA HADI SPRING/SUMMER ILI KUZIPISHA SHEREHE ZA KUHADHIMISHA MIAKA 37 TANGU KUZALIWA KWA CHAMA TAWALA CHA CCM ZIFANYIKE BILA KIKWAZO TAREHE HIYO HIYO YA 22 MWEZI WA PILI.
TUNAOMBA SAMAHANI KWA USUMBUFU UTAKAOTOKEA KWANI KWA HESHIMA ZOTE TUMEKIPA CHAMA TAWALA NAFASI YAKE ! SWALI AU MAELEZO ZAIDI TUPIGIE 3016616207

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani