Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALICHOKISEMA OMMY DIMPOZ BAADA YA KUSHINDWA KUUZURIA SHOW YA RUGBY NA SHEREHE ZA MIAKA 38 YA CCM

Wakaniambia sasa hii show ndio tunatatizo nayo kwasababu ni show ambayo inahusisha chama cha kisiasa na kama uliona hata kwenye promotion yangu nilikuwa nimeandika kuwa nitakuwa na show ya miaka 38 ya CCM Marekani, unajua vyama cha siasa hivi Chadema, CCM wanamatawi yao kule Marekani watu wanaoishi nje mara nyingi uwa wanafanya sherehe sherehe za Annivesary , kwa hiyo wakaniambia kuwa hii visa yako haikuruhusu wewe kuperform kuna aina ya Visa ya inayoruhusu msanii ku perform kwasababu show...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TEMBAPHOTO OFFICIAL PHOTOGRAPHER SIKU YA SHEREHE ZA CCM NEW YORK OMMY "DIMPOZ" NDIYO HABARI YA MJINI

 Ukumbi wa sherehe za CCM New York  tarehe 21 mwezi wa 2, Tembaphoto ndani ya mjengo kukuletea ukodak wa kiwango.

Ukiwa na shughuli yeyote inayohusu ukodak basi ni tembaphoto ndiyo suluhisho ya yote. Tembelea web site ya tembaphoto hili kujionea ubora wa picha.
http://tembaphoto.com/


 

11 years ago

Michuzi

SHOW YA OMMY DIMPOZ WASHINGTON DC IMEHAIRISHWA HADI SPRING/SUMMER


KUTOKANA NA MGONGANO WA RATIBA TUNGEPENDA KUWAARIFU KUWA ILE SHOW YA OMMY DIMPOZ ILIYOKUWA IFANYIKE WASHINGTON DC TAREHE 22 MWEZI WA PILI IMEHAIRISHWA HADI SPRING/SUMMER ILI KUZIPISHA SHEREHE ZA KUHADHIMISHA MIAKA 37 TANGU KUZALIWA KWA CHAMA TAWALA CHA CCM ZIFANYIKE BILA KIKWAZO TAREHE HIYO HIYO YA 22 MWEZI WA PILI.
TUNAOMBA SAMAHANI KWA USUMBUFU UTAKAOTOKEA KWANI KWA HESHIMA ZOTE TUMEKIPA CHAMA TAWALA NAFASI YAKE ! SWALI AU MAELEZO ZAIDI TUPIGIE 3016616207

 

9 years ago

Bongo5

Usome ujumbe wa pongezi wa mrembo wa Ommy Dimpoz baada ya kushinda tuzo ya Afrimma

Unapofanya jambo la kishujaa zaidi, ukitoa wazazi mtu wa kwanza kusherehekea nawe kwa ukaribu ni mpenzi wako. Ommy Dimpoz hana tofauti. Muimbaji huyo wa ‘Wanjera’ Jumamosi iliyopita alishinda tuzo ya ‘Best New Comer’ kwenye tuzo za Afrimma zilizofanyika, Dallas, Texas, Marekani. Mpenzi wake aitwaye Zerthun ambaye kwa wanaowafollow Instagram wawili hao wanajua kuwa uhusiano wao […]

 

9 years ago

Vijimambo

SIKILIZA WALICHOKISEMA STANSLAUS MABULA (CCM) BAADA YA USHINDI PAMOJA NA EZEKIEL WENJE (CHADEMA) BAADA YA KUSHINDWA.

Stanslaus Shing'oma Mabula akiongea na wanahabari usiku wa kuamkia jana Octoba 27,2015 muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa Ubunge Jimbo la Nyamagana (CCM)

BONYEA PLAY HAPA CHINI KUSIKILIZA Ezekiel Dibogo Wenje (Chadema) akiongea na wanahabari muda mfupi kabla ya matokeo kutangazwa usiku wa Kuamkia jana.Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Jijini Mwanza ambae pia ni Kaimu Mkurugenzi wa Jiji hilo Titho Mahinya akitangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu Jimboni Nyamagana.

 

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEEEEEEWWZZZZ OMMY DIMPOZ BIRTHDAY BASH YA CCM NEW YORK FEB 21

             JE NI MSANII GANI ATAKAYE WARUSHA ROHO KWENYE BIRTHDAY BASH YA CCM NEW YORK FEB 21?????..                     
""AIN'T NO PARTY LIKE A NEW YORK PARTY""                                                   Tuungane Tuiline Tanzania Yetu


                          
                                         UKUMBI WA RICHI RICH PALACE KWA NJE                          
                                     UKUMBI UNAVYOONEKANA KWA NDANI
                          
                               ...

 

11 years ago

Bongo5

Adam Juma: Vifaa tutanunua Inshallah, ila nasisi tutaanza kutangaza bei mnazotulipa. Ni baada ya kauli aliyoitoa Ommy Dimpoz

Kauli ya Ommy Dimpoz aliyoitoa siku mbili zilizopita akishauri wadau wajitokeze na kuwekeza zaidi katika kununua vifaa vya kisasa ili wasanii wasipate sababu ya kwenda kushoot video zao nje, imewafanya madirector nao kutoa yao ya moyoni. Kauli ya Ommy Dimpoz imetokana na maswali ambayo watu wengi wamekua wakihoji kwanini wasanii wengi sasa hivi wanaamua kwenda […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani