Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHUKURANI/APPRECIATION FROM THE FAMILY OF THE LATE Lt. Col (Rtd) Maurice Noel Singano

Familia ya Bibi Mary Singano wa Sahare Tanga, inapenda kumshukuru Mungu kwa baraka na rehema zake katika kipindi cha msiba wa Marehemu Lt. Col (Rtd) Maurice Noel Singano kilichotokea tarehe 31/05/2014 Chennai, India .  Tunawashukuru Wizara ya Afya kwa msaada Wakati wa ugonjwa ,tunatoa shukrani za kipekee kwa Mganga Mkuu wa Serikali Dr Donan Mmbando,Dr Goloka Muambata wa Tanzania nchini india na wote waliojitoa kuokoa maisha ya mpendwa wetu .  Tunamshukuru Dr. Jayashree ,Madaktari na wauguzi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Kuagwa mwili wa Marehemu Lt. Col. Mstaafu Maurice Noel Singano na mazishi

 Dada za Marehemu wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu wakati wa kuuaga Mikocheni B jijini Dar.


Maafisa wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kikosi cha 37 Tanga, wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu wakati wa kuuaga nyumbani kwa Mjane wa Marehemu, Bi. Maria Singano akilia kwa uchungu wakati akiuaga mwili wa mpendwa  mume wake, nyumbani kwao katika eneo la Sahare mkoani Tanga.
Mtoto wa Marehemu, ambaye ni Mkuu wa Mahusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya...

 

11 years ago

Michuzi

appreciation note from the family of the late George Tyson

The family of Mr and Mrs Okumu would like to thank you  all who came out in kind to assist in the funeral of the late Art Director George Tyson. To you all in Tanzania and here in Kenya we say ASANTE SANA, MUNGU NA AWALIPE KWA YOTE We buried the late George Tyson last weekend and  it went on well. May the Almighty God bless you  all and  may the soul of our late brother rest in eternal peace - Amen Yours  Benson Okumu Brother to the Deceased.

 

10 years ago

Michuzi

Lt.Col PASCAL STEPHEN HAULE (Rtd) WA KILUVYA GOGONI AFARIKI DUNIA

Familia ya Haule wa Kiluvya Gogoni Inasikitika kutangaza kifo cha Mpendwa wao Lt. Col. Pascal Stephen Haule(mstaafu)  Kilichotokea tarehe 10/4/2015 katika Hospitali ya Jeshi Lugalo.Mazishi yatafanyika nyumbani kwa marehemu Kiluvya Gogoni siku ya jumanne 14/4/2015 Habari ziwafikie Ndugu  jamaa majirani na marafiki Popote pale walipo.
Bwana Ametoa Bwana Ametwa Jina la Bwana Lihimidiwe

 

11 years ago

GPL

APPRECIATION

The family of The Late Mr. D.S Mashiku would like to take this opportunity to express our deepest and heartfelt gratitude for the love, care and support you have provided throughout the difficult and emotional events of the funeral and burial of our beloved dad. Special thanks goes to Mosinyorre Deogratius Mbiku, Fr.Cosmas Mogella, St Don  Bosco & Augustino Choir, Jumuiya ya Mt.Augustino na Monica for their spiritual support...

 

5 years ago

The Guardian

‘Noel Edmonds seemed to radiate calm': how a gameshow changed my life

‘Noel Edmonds seemed to radiate calm': how a gameshow changed my life  The Guardian

 

10 years ago

Michuzi

appreciation from Deogratius Kilawe

It has been a while now since we introduced this NEW and unique concept of Conscious Leadership across Africa, a concept that really challenges the way we as Africans think about leadership. The response from the public across East Africa for our Conscious Leadership Summit have been nothing short of amazing; we already have more than  100 East African companies and 5 from outside Africa entirely who have confirmed their attendance to this unique program. This could not have been possible...

 

11 years ago

Michuzi

1st Anniversary/Appreciation

The Late Peter Samuel Mbilinyi  January 11th, 1938 to April 13th, 2013
Days, weeks and months have turned into one year since you suddenly and painfully departed from us on 13th April 2013. The sorrow and grief is enormous.
Dad, not a single day passes without fond memories of you. Thanks you for teaching us to follow your steps of love, dialogue, humility, honesty, diligence and zeal for life. If today we would have a lifetime wish, one would pray to God with all our years to see you...

 

10 years ago

Michuzi

NOEL OLE VAROYA CHADEMA ATANGAZA KUWANIA KITI CHA UBUNGE ARUSHA

NOEL PIC
Katika picha ni Noel Olevaroya akihutubia Maelfu ya wananchi katika moja ya harakati zake katika mkutano wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Aliyewahi kuwa mwenyekiti wa vijana na mjumbe Wilaya ya Arusha kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Noel Olevaroya (37) ametangaza rasmi kupeperusha bendera ya chama hicho kwa kuwania nafasi ya ubunge katika jimbo la Arusha mjini
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha Noel Olevaroya alisema kuwa nia yake ya...

 

5 years ago

Africanjam.Com

VIDEO: FERGUSON WAITING FOR RONALDO JUST TO SHOW HIS APPRECIATION



Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into service. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani