Kuagwa mwili wa Marehemu Lt. Col. Mstaafu Maurice Noel Singano na mazishi
![](http://1.bp.blogspot.com/-BssFeRECJnI/U5SxGXYLKgI/AAAAAAAFpEc/xylMaXK1JeI/s72-c/unnamed+(79).jpg)
Dada za Marehemu wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu wakati wa kuuaga Mikocheni B jijini Dar.
![](http://1.bp.blogspot.com/-wAYtREOKsIQ/U5SxG3aJOvI/AAAAAAAFpEk/c13DhKl-ReM/s1600/unnamed+(81).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NcrJm5j6r68/U5SyUtETXuI/AAAAAAAFpFA/a4z2hQALTLc/s1600/unnamed+(82).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8gDWcI7g188/U5SyUh8QHMI/AAAAAAAFpFE/VyqqDyGngY8/s1600/unnamed+(83).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IU2eTF-UEjc/U7bZzCTjKvI/AAAAAAAFu-c/9yHBUNFJK4g/s72-c/image001.jpg)
SHUKURANI/APPRECIATION FROM THE FAMILY OF THE LATE Lt. Col (Rtd) Maurice Noel Singano
10 years ago
Vijimambo21 Feb
MWILI WA MAREHEMU SALMIN AWADH UKIINGIZWA BARAZA LA WAWAKILISHI KWA KUAGWA
mwili wa marehemu Salimin Awadh ukiwa ndani ya jeneza, ukipelekwa mbele ya wajumbe wa baraza la wawakilishi na viongozi wa serikali kwa ajili ya kuagwa
![IMG_7793](http://mzalendo.net/wp-content/uploads/2015/02/IMG_7793-564x272.jpg)
ukiwa tayari umewekwa katika meza kuu mbele ya ukumbi wa baraza, jeneza likiwa na bendera ya baraza la wawakilishi
viongozi wa serikali na wajumbe wa baraza la wawakilishi wakiwa wamesimama wakitoa heshima zao za mwisho marehemu Salmin Awadh
Sala ya kusalia maiti ikiendelea, pamoja dua na mawaidha yaliokuwa yakisikilizwa kwa makini na viongozi...
9 years ago
MichuziHATIMA YA MWILI WA MAREHEMU MAWAZO KUAGWA JIJINI MWANZA KUAMULIWA KESHO NA MAHAKAMA
Na George Binagi - GB Pazzo wa Binagi Media Group
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema leo kimefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, ili kuiomba Mahakama hiyo kutengua zuio la kuuaga mwili wa aliekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Geita Marehemu Alphonce Mawazo, lililotolewa na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mjCUb-qEQpI/VW2inlnF2OI/AAAAAAAHbOk/Sj-gH18sfCc/s72-c/20150602051217.jpg)
MWILI WA MAREHEMU EUGEN ELISHIRINGA MWAIPOSA KUAGWA LEO KATIKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mjCUb-qEQpI/VW2inlnF2OI/AAAAAAAHbOk/Sj-gH18sfCc/s640/20150602051217.jpg)
Marehemu EUGEN ELISHIRINGA MWAIPOSA
TANZIA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anasikitika kutangaza kifo cha Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Dar es Salaam, Mhe. EUGEN ELISHIRINGA MWAIPOSA kilichotokea usiku wa kuamkia tarehe 2 June 2015 nyumbani kwake Dodoma ambako amekuwepo kushiriki Mkutano wa Bunge la Bajeti.
Mwili wa Marehemu unaagwa leo tarehe 3 Juni 2015 kuanzia saa 4 asubuhi katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma, na baadaye mwili kupelekwa nyumbani kwake Ukonga, Dar es...
5 years ago
Michuzi01 May
PICHA MBALIMBALI ZA KUAGWA KWA MWILI WA MAREHEMU JAJI RAMADAHANI LEO KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/FC4A8307AA-1024x682.jpg)
Mke wa aliyekuwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Marehemu Augustino Ramadhani, Saada Ramadhani (katikati) ambaye ni Luteni Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa mumewe leo kwenye viwanja vya Karimjee vilivyoko Jijini Dar es Salaam wakati wa Mazishi ya Kitaifa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/FC4A8341AA-1024x682.jpg)
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Mazishi ya Dk.Emmanuel Makaidi kufanyika makaburi ya Sinza, mwili wake kuagwa leo asubuhi Viwanja vya Karimjee jijini Dar
Mjane wa aliyekuwa Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Dk. Emmanuel Makaidi, Modesta Ponela Makaidi akiwa katika huzuni baada ya kuondokewa na mpendwa wake.
Mtoto wa kwanza wa Dk. Makaidi, Hilda Emmanuel Makaidi akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).
Mtoto wa marehemu Mhandisi Emmanueli Makaidi (kulia), akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ratiba ya mazishi ya baba yake.
Ndugu, jamaa, marafiki na waombolezaji wakiwa msibani nyumbani kwa Dk.Makaidi...
9 years ago
VijimamboMAZISHI YA DK.EMMANUEL MAKAIDI KUFANYIKA MAKABURI YA SINZA, MWILI WAKE KUAGWA KESHO ASUBUHI VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QvwTzNsr0EU/VETsex_LK0I/AAAAAAAGsCo/Ax8VLRnTZK8/s72-c/New%2BPicture.png)
TAARIFA YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI (MSTAAFU) ROLAND MAKUNDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QvwTzNsr0EU/VETsex_LK0I/AAAAAAAGsCo/Ax8VLRnTZK8/s1600/New%2BPicture.png)
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIAKURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO Simu ya Upepo : “N G O M E” Makao Makuu ya Jeshi,Simu ya Mdomo : DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203,Telex : 41051 DAR ES SALAAM, 20, October, 2014Tele Fax : 2153426Barua pepe : ulinzimagazine@yahoo.co.ukTovuti : www.tpdf.mil.tz Taarifa kwa Vyombo vya Habari Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda...
10 years ago
Vijimambo04 Aug
MWILI WA MAREHEMU MZEE FRANCIS KITIME WASAFIRISHWA KWA MAZISHI
![Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wa familia ya marehemu Mzee Francis Raphael Kitime wakiwa katika ibada ya kumuombea jana jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_0024.jpg)
![Padre wa Kanisa Katoliki Parokia ya Huruma ya Wagonjwa Muhimbili akizunguka kulibariki jeneza lenye mwili wa Marehemu Mzee Francis Raphael Kitime kwenye ibada ya kumuombea iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana kabla ya kusafirishwa kwenda Iringa kwa Mazishi.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_0004.jpg)
![Familia ya marehemu Mzee Francis Raphael Kitime (mbele) wakiwa kwenye ibada ya kumuombea marehemu.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_0008.jpg)