MWILI WA MAREHEMU SALMIN AWADH UKIINGIZWA BARAZA LA WAWAKILISHI KWA KUAGWA
mwili wa marehemu Salimin Awadh ukiwa ndani ya jeneza, ukipelekwa mbele ya wajumbe wa baraza la wawakilishi na viongozi wa serikali kwa ajili ya kuagwa
ukiwa tayari umewekwa katika meza kuu mbele ya ukumbi wa baraza, jeneza likiwa na bendera ya baraza la wawakilishi
viongozi wa serikali na wajumbe wa baraza la wawakilishi wakiwa wamesimama wakitoa heshima zao za mwisho marehemu Salmin Awadh
Sala ya kusalia maiti ikiendelea, pamoja dua na mawaidha yaliokuwa yakisikilizwa kwa makini na viongozi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog20 Feb
Viongozi wauwaga mwili wa marehemu Salmin Awadh Salmin Baraza la Wawakilishi
Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Edward Lowassa akiingia katika ukumbi wa baraza la wawakilishi kuuwaga mwili wa aliekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni Marehemu Salmin Awadh Salmin aliefariki ghafla jana. (Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Makamu wa Pili wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakiingia katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi kuuwaga mwili wa Marehemu Salimn Awadh.
Mwili wa Marehemu...
10 years ago
MichuziVIONGOZI MBALI MBALI WAUWAGA MWILI WA MAREHEMU SALMIN AWADH SALMIN BARAZA LA WAWAKILISHI,ZANZIBAR LEO
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
Waziri Bernard Membe ahani msiba wa marehemu Salmin Awadh Salmin mjini Unguja
![](http://4.bp.blogspot.com/-rbEgICtgi28/VX3SzZMt4NI/AAAAAAABhsk/dpm_MklQsrA/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-y_ZVWfihWgc/VX3Td56qqTI/AAAAAAABhs0/9UQ1aYCvIzM/s640/2.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akitoa mkono kwa familia ya aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni (CCM), marehemu Salmin Awadh...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FsbI7diFASg/VA3Z4xuKHCI/AAAAAAAGiF4/y9o7GiRW89Y/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
TASWIRA ZA MAZIKO YA MAREHEMU SPIKA MSTAAFU WA BARAZA LA WAWAKILISHI MAREHEMU ALI KHAMIS ABDALLAH
![](http://2.bp.blogspot.com/-FsbI7diFASg/VA3Z4xuKHCI/AAAAAAAGiF4/y9o7GiRW89Y/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-h5GYcnFj-Ts/VA3Z57wOLKI/AAAAAAAGiGE/vZWMU8VnUH8/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
5 years ago
Michuzi01 May
PICHA MBALIMBALI ZA KUAGWA KWA MWILI WA MAREHEMU JAJI RAMADAHANI LEO KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/FC4A8307AA-1024x682.jpg)
Mke wa aliyekuwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Marehemu Augustino Ramadhani, Saada Ramadhani (katikati) ambaye ni Luteni Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa mumewe leo kwenye viwanja vya Karimjee vilivyoko Jijini Dar es Salaam wakati wa Mazishi ya Kitaifa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/FC4A8341AA-1024x682.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BssFeRECJnI/U5SxGXYLKgI/AAAAAAAFpEc/xylMaXK1JeI/s72-c/unnamed+(79).jpg)
Kuagwa mwili wa Marehemu Lt. Col. Mstaafu Maurice Noel Singano na mazishi
![](http://1.bp.blogspot.com/-BssFeRECJnI/U5SxGXYLKgI/AAAAAAAFpEc/xylMaXK1JeI/s1600/unnamed+(79).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wAYtREOKsIQ/U5SxG3aJOvI/AAAAAAAFpEk/c13DhKl-ReM/s1600/unnamed+(81).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NcrJm5j6r68/U5SyUtETXuI/AAAAAAAFpFA/a4z2hQALTLc/s1600/unnamed+(82).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8gDWcI7g188/U5SyUh8QHMI/AAAAAAAFpFE/VyqqDyGngY8/s1600/unnamed+(83).jpg)
9 years ago
MichuziHATIMA YA MWILI WA MAREHEMU MAWAZO KUAGWA JIJINI MWANZA KUAMULIWA KESHO NA MAHAKAMA
Na George Binagi - GB Pazzo wa Binagi Media Group
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema leo kimefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, ili kuiomba Mahakama hiyo kutengua zuio la kuuaga mwili wa aliekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Geita Marehemu Alphonce Mawazo, lililotolewa na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mjCUb-qEQpI/VW2inlnF2OI/AAAAAAAHbOk/Sj-gH18sfCc/s72-c/20150602051217.jpg)
MWILI WA MAREHEMU EUGEN ELISHIRINGA MWAIPOSA KUAGWA LEO KATIKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mjCUb-qEQpI/VW2inlnF2OI/AAAAAAAHbOk/Sj-gH18sfCc/s640/20150602051217.jpg)
Marehemu EUGEN ELISHIRINGA MWAIPOSA
TANZIA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anasikitika kutangaza kifo cha Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Dar es Salaam, Mhe. EUGEN ELISHIRINGA MWAIPOSA kilichotokea usiku wa kuamkia tarehe 2 June 2015 nyumbani kwake Dodoma ambako amekuwepo kushiriki Mkutano wa Bunge la Bajeti.
Mwili wa Marehemu unaagwa leo tarehe 3 Juni 2015 kuanzia saa 4 asubuhi katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma, na baadaye mwili kupelekwa nyumbani kwake Ukonga, Dar es...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Om9ReL4utVg/Vh9e9vZT7zI/AAAAAAAIABM/6WI-SQH_Tn8/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGWA MWILI WA MAREHEMU DKT. KIGODA KARIMJEE DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Om9ReL4utVg/Vh9e9vZT7zI/AAAAAAAIABM/6WI-SQH_Tn8/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lbcyLNat5q8/Vh9e9reA_UI/AAAAAAAIABE/UV-1qhAab-E/s640/02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0TgNQ23mXB4/Vh9e-dY-GiI/AAAAAAAIABU/2Zq8upR0UpY/s640/04.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-78BAPcbJjdY/Vh9e_3N2p_I/AAAAAAAIABw/7GZpUFoFbF4/s640/07.jpg)