Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wauwaga mwili wa marehemu Salmin Awadh Salmin Baraza la Wawakilishi

DSC_0157

Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Edward Lowassa akiingia katika ukumbi wa baraza la wawakilishi kuuwaga mwili wa aliekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni Marehemu Salmin Awadh Salmin aliefariki ghafla jana. (Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).

DSC_0176

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Makamu wa Pili wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakiingia katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi  kuuwaga mwili wa Marehemu Salimn Awadh.

DSC_0201

Mwili wa Marehemu...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI MBALI MBALI WAUWAGA MWILI WA MAREHEMU SALMIN AWADH SALMIN BARAZA LA WAWAKILISHI,ZANZIBAR LEO

Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Edward Lowasa akiingia katika ukumbi wa baraza la wawakilishi kuuwaga mwili wa aliekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni Marehemu Salmin Awadh Salmin aliefariki ghafla jana.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Makamu wa Pili wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakiingia katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi kuuwaga mwili wa Marehemu Salimn Awadh.Mwili wa Marehemu Salmin Awadh ukiingizwa katika Ukumbi wa Baraza la...

 

10 years ago

Vijimambo

MWILI WA MAREHEMU SALMIN AWADH UKIINGIZWA BARAZA LA WAWAKILISHI KWA KUAGWA


Displaying IMG_0724.JPG
mwili wa marehemu Salimin Awadh ukiwa ndani ya jeneza, ukipelekwa mbele ya wajumbe wa baraza la wawakilishi na viongozi wa serikali kwa ajili ya kuagwa

IMG_7793
ukiwa tayari umewekwa katika meza kuu mbele ya ukumbi wa baraza, jeneza likiwa na bendera ya baraza la wawakilishi
Displaying IMG_0725.JPG
viongozi wa serikali na wajumbe wa baraza la wawakilishi wakiwa wamesimama wakitoa heshima zao za mwisho marehemu Salmin Awadh
Displaying IMG_0723.JPG
Sala ya kusalia maiti ikiendelea, pamoja dua  na mawaidha yaliokuwa yakisikilizwa kwa makini na viongozi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Bernard Membe ahani msiba wa marehemu Salmin Awadh Salmin mjini Unguja

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akimpa mkono wa pole Bi. Mwaka Mohamed ambaye ni mjane wa aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni (CCM), marehemu Salmin Awadh Salmin aliyefariki mapema Februari mwaka huu, wakati alipokwenda kuhani msiba nyumbani kwake, Mkoa wa Mjini Unguja, Zanzibar.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akitoa mkono kwa familia ya aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni (CCM), marehemu Salmin Awadh...

 

10 years ago

Michuzi

DKT.SHEIN, DKT. BILAL WAONGOZA MAZISHI YA MWAKILISHI WA JIMBO LA MAGOMENI SALMIN AWADHI SALMIN, MAKUNDUCHI ZANZIBAR

Baadhi ya Viongozi wa juu wa Serikali, wakiwa ni miongoni mwa waliohudhuria maziko ya aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni Mjini Zanzibar, marehemu Salmin Awadh Salmin, huko Makunduchi mjini Zanzibar. Marehemu Salmin amezikwa leo Feb, 20, 2015 kijijini kwake Makunduchi Zanzibar.Rais wa Zanzibar, Dkt. Mohamed Ali Shein, akiweka udongo katika kaburi la marehemu Salmin Awadh Salmin, wakati wa shughuli za maziko yake zilizofanyika katika kijiji cha Makunduchi mjini Zanzibar jana Feb, 2015.

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA ZA MAZIKO YA MAREHEMU SPIKA MSTAAFU WA BARAZA LA WAWAKILISHI MAREHEMU ALI KHAMIS ABDALLAH

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akishiriki katika kumswalia Marehemu Ali Khamis Abdallah, Spika mstaafu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,  katika Masjid Makhfoudh ulioko Mazizini Nje ya Mji wa Zanzibar jana Makamanda wa jeshi la Polisi Zanzibar wakilibeba jeneza la Marehemu Ali Khamis  Abdalla Spika mstaafu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar aliyezikwa Fuoni jana,maziko yake yaliyoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la...

 

10 years ago

TheCitizen

Salmin buried at Makunduchi

A Member of the House of Representatives for Magomeni Constituency (CCM), Mr Salmin Awadhi Salmin, who died abruptly, while attending a Chama Cha Mapinduzi (CCM) meeting on Thursday, was buried at his home Village Makunduchi, in the southern tip of Unguja, yesterday.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Salmin: Nilimpenda Gadaffi

Rais wa Awamu ya Tano wa Zanzibar, Dk Salmin Amour ametoa ya moyoni akisema Kiongozi wa Libya, marehemu Muamar Gadaffi ni miongoni mwa viongozi wa Afrika ambao walikuwa na upeo wa kuona mbali.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Salmin na deko la kisiasa Zanzibar

INASHANGAZA  kwamba mpaka sasa bado kuna watu wanaoendekeza deko la kisiasa katika bara la Afrika wakati huu wa karne ya kistaarabu! Deko linalotokana na mtu kuzitegemea nguvu za dola alizozishikilia na...

 

10 years ago

Habarileo

Wana-CCM Micheweni wamtaka Dk Salmin

WANACHAMA na wakereketwa wa CCM Wilaya ya Micheweni wamekiomba Chama Cha Mapinduzi kumpeleka Rais mstaafu wa Awamu ya Tano Zanzibar, Dk Salmin Amour Juma `Komandoo’ kisiwani Pemba ili akafungue maskani waliyoijenga na kuipa jina lake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani