SHULE YA SEKONDARI LOYOLA YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA KIKE
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/01/IMG_5069.jpg)
Sehemu ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Loyola wakiwa katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Shuleni hapo. Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Loyola wakiwa katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Shuleni hapo. Mgeni rasmi wa na Mwakilishi kutoka Kituo cha Maendeleo ya Uchumi, Rukia Shauri akikata keki maalumu ya kuchangisha… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKUELEKEA SIKU YA HEDHI DUNIANI, MTANDAO WA HEDHI SALAMA WAENDESHA SEMINA SHULE YA SEKONDARI ST. ANTHONY
10 years ago
Habarileo10 Oct
Tamwa kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike
CHAMA cha Wanahabari Wanawake (Tamwa) kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Duniani (UNFPA) na mashirika mengine yasiyo ya kiserikali kitaadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike duniani kwa kufanya mjadala mpana juu ya kukomesha ndoa za utotoni hapa Tanzania.
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA KWA KUTUMIA AKAUNTI YA JUNIOR JUMBO
Benki ya CRDB imetoa misaada mbalimbali kwa watoto wasiojiweza katika kituo cha Msimbazi centre.
Hatua hiyo imetokana na maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika yenye kauli mbiu ya elimu bora kwa wote.
Akizungumza Jana jijini Dar es salaam Meneja wa benki hiyo Tawi la Premier, Fabiola Mussula, alisema kuwa benki hiyo imeadhimisha siku ya mtoto wa Afrika kwa kupitia akaunti ya Junior Jumbo.
Alisema kuwa akaunti ya mtoto humsaidia mzazi kuhakikisha anahifadhi ada na...
9 years ago
GPLTAMASHA LA MTOTO KIKE LAFANA, LATOA KAULI NZITO
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB TAWI LA MLIMANI CITY YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA NA JUMBO JUNIOR ACCOUNT
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2jekBNKxw4do1Rnz29peZA4biDsG5sZTxXB9tNJRF44T*rIvPFrjfY2sOFnlheHYsTuZUejWAGffALi7i*VzkW1/mbaga2.jpg?width=650)
AIRTEL YATOA MSAADA WA VITABU SHULE ZA SEKONDARI MBEYA
11 years ago
Michuzi28 Feb
MTOTO WA KIKE ABURUZWA NA BABA YAKE MTAA MZIMA KWENYE PIKIPIKI KWA KUTOKWENDA SHULE
Mtoto Anastazia Jumanne akiwa amefungwa mikono yake kwenye pikipiki kwa mpira
Na Valence Robert-Geita
Mtoto Anastazia Jumanne (12) ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi katika wilaya na mkoa wa Geita amefanyiwa ukatili wa kutisha baada kufungwa mpira kwenye pikipiki na baba yake mzazi na kisha kuanza kumburuza mtaani. Tukio hilo la kusikitisha limetokea jana majira ya sa tatu asubuhi katika moja ya mitaa ya mjini humo ambapo inadaiwa kuwa binti huyo anayesoma darasa la nne katika shule...