Shule ya Viziwi Buguruni yapatiwa vifaa vya Tehama
WIZARA ya Sayansi na Teknolojia imeutaka uongozi wa Shule ya Msingi Viziwi Buguruni kuhakikisha vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) walivyokabidhiwa kwa ajili ya wanafunzi vinatumika kama vilivyokusudiwa....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar20 Sep
Shule ya msingi Mtemani Wingwi yapatiwa vifaa vya kisasa vya maktaba
Na: Moh’d Said Shule ya msingi ya mtemani Wingwi iliyoko Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, imekabidhiwa vifaa vya kisasa kwa ajili ya ujenzi na uanzishaji wa maktaba ya kisasa (Digital Library) inayaotarajiwa kufunguliwa hivi […]
The post Shule ya msingi Mtemani Wingwi yapatiwa vifaa vya kisasa vya maktaba appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X1g_HQs6Fg4/Vf6O4AuSV5I/AAAAAAAH6O0/RsIH21gJx2M/s72-c/Picha%2B4.jpg)
SHULE YA MSINGI MTEMANI WINGWI MKOA WA KASKAZINI PEMBA YAPATIWA VIFAA VYA KISASA VYA MAKTABA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RV5aRuCwMDs/VlTbpGnPIZI/AAAAAAAIISc/fy8M9AN7zyg/s72-c/viewer.png)
Muhimbili yapatiwa msaada wa vifaa vya kuokoa maisha ya watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-RV5aRuCwMDs/VlTbpGnPIZI/AAAAAAAIISc/fy8M9AN7zyg/s640/viewer.png)
Vifaa hivyo vina thamani ya Dola za Kimarekani Laki moja sawa na zaidi Sh milioni 2 vimetolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF),kwa lengo la kupunguza vifo vya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.
Baadhi ya vifaa vilivyotolewa ni Ventilator, medical, adult –child ,w/access pamoja na Warmer system , newborn,...
5 years ago
Ykileo![](https://1.bp.blogspot.com/-v9cvm3QrKRo/WxPB85eheDI/AAAAAAAACRU/cjUfTeHkUtATUg4KoTLQNS2xg64gglRBwCLcBGAs/s72-c/001.jpg)
NAMNA BORA YA KULINDA VIFAA VYA TEHAMA VYA WATOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-v9cvm3QrKRo/WxPB85eheDI/AAAAAAAACRU/cjUfTeHkUtATUg4KoTLQNS2xg64gglRBwCLcBGAs/s640/001.jpg)
KWA UFUPI: Kutokana na ukuaji wa teknolojia pamoja na muunganiko wa vitu vingi katika mtandao (IoT) vifaa vingi vya watoto vimekua mhanga mkubwa wa uhalifu mtandao – Hii imepelekea kuchukuliwa kwa hutua mbali mbali za kulinda watoto mitandaoni. Andiko hili lina angazia namna bora ya kulinda vifaa vya watoto vya TEHAMA.-----------------------------------------
Kumekua na matukio kadhaa yaliyo husisha kuingiliwa kimtandao (kudukuliwa) kwa vifaa vinavyo tumiwa na watoto huku wahalifu mtandao...
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Zingatia haya ununuapo vifaa vya Tehama
10 years ago
Vijimambo14 Jan
FLAVIANA MATATA FOUNDATION YATOA VIFAA VYA SHULE SHULE YA MSINGI MSINUNE
5 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA SHULE VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 15 KWA SHULE TATU ZA SEKONDARI JIJINI DAR
Hafla ya kukabidhi msaada huo ilifanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Kibamba, ambako Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Badru Idd alimkabidhi msaada huo Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kisare Makori (aliyekuwa mgeni rasmi).
Alisema Kibamba Sekondari yenye...
5 years ago
CCM BlogNMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA SHULE VYA SH. MIL 15 WILAYA YA UBUNGO