Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siku 120 za mapambano ya dawa za kulevya

>Huenda mwaka huu ukavunja rekodi ya kuwakamata watu wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya kwani ndani ya siku 120, Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kimekamata kilo 238 za aina mbalimbali za dawa hizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

TMF wajitosa mapambano ya dawa za kulevya

Mfuko wa Habari Tanzania (TMF) umeanzisha programu ya uandishi wa habari za uchunguzi kuhusu mapambano ya dawa za kulevya nchini.

 

11 years ago

Habarileo

Mapambano dawa za kulevya yazaa matunda

USHIRIKIANO na nchi washirika katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya umetajwa kuzaa matunda kutokana na kupungua kwa uingizaji wa dawa hizo tofauti na kipindi cha miaka ipatayo miwili iliyopita.

 

10 years ago

Dewji Blog

Sera, sheria dhaifu, rushwa ni kikwazo katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini

drug injection

 

Mtumiaji wa kujinduga akitumia dawa hizo.

mtumiaji 2

Baadhi ya watumiaji wa dawa za kulevya wakihudhuria moja semina zinazoendeshwa nchini.

Na Damas Makangale, Makangale Satellite Blog

“Kila mwaka idadi ya watumiaji wa dawa za kulevya nchini hasa kwa vijana wenye umri mdogo kabisa kati ya miaka 15 mpaka 25 inakadiliwa kufika 10,000 hadi 11,000 kila mwaka nchini ni idadi kubwa na hali inatisha,’ anasema Afisa kutoka Kitengo cha Kudhibiti dawa za kulevya nchini, Moza Makumbuli

Wiki iliyopita Kitengo...

 

5 years ago

Michuzi

Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria

Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Madawa ya Kulevya Bw.james Kaji akiwasilisha hotuba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) kuhusu utekelezaji wa mikataba mbalimbali ya Kimataifa ya Madawa ya Kulevya. Tanzania katika mkutano huu, unaofanyika Vienna, Austria,imekuwa ni mfano bora wa namna ambavyo wameweza kujiimarisha katika Mapambano Dhidi ya...

 

10 years ago

Habarileo

JK mgeni siku ya dawa za kulevya

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani, yatakayo fanyika kitaifa kesho, wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.

 

5 years ago

CCM Blog

SIKU YA KUPINGA VITA DAWA ZA KULEVYA

   Wakati Tanzania ikiadhimisha siku ya kimataifa ya kupiga vita dawa za Kulevya, kwa kipindi cha takribani miaka mitano Tanzania imefanikiwa kupunguza uingizwaji wa dawa za kulevya kwa asilimia 90 huku zaidi ya watuhumiwa elfu 70 wakikamatwa.
Akizungumizia maadhimisho hayo na mafanikio yaliyopatikana Waziri wa nchi ofisi ya waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na wenye ulemavu Jenista Mhagama anasema mafanikio hayo yamepatikana baada ya kubaini na kuvunja mitandao hiyo hapa nchini...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wasafirishaji na wauzaji dawa za kulevya siku zako zinahesabika — JK

FSA_8754

Rais Jakaya Kikwete akisalimia na Waziri wa Uchukuzi, Dkt Harrison Mwakyembe wakati  akiingia katika uwanja wa Julius Nyerere International Airport (JNIA) kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa jengo la tatu la abiria jijini Dar es Salaam.

.asema kama Rais wa nchi inamuuma sana kwa taifa kuwa uchochoro wa dawa hizo

.Rais asema watumishi wanaojihusisha na dawa za kulevya kuondolewa mara moja

.TAA watengeneza jengo jipya la abiria lenye mifumo ya kimataifa

Na Damas Makangale,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Zanzibar yadhimisha siku ya kupambana, usafirishaji na matumizi ya dawa za kulevya duniani

01

Waandamanaji katika maadhimisho ya siku ya kupambana na usafirishaji na matumizi ya dawa za kulevya Duniani wakipita mbele ya mgeni rasmi katika kiwanja cha Kombawapya. (Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).

02

Rais wa watoto Tanzania  Ameir Haji Khamis akitoa ujumbe wa watoto na dawa za kulevya kwenye sherehe za siku ya kupambana na usafirishaji na matumizi ya dawa za kulevya Duniani katika kiwana cha Kombawapya.

03

Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Fatma Abdulhabib...

 

10 years ago

Michuzi

ZANZIBAR YADHIMISHA SIKU YA KUPAMBANA NA USAFIRISHAJI NA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA DUNIANI

Na Rahma Khamis Maelezo Zanzibar Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais Mhe. Fatma Abdulhabib Fereji amesema dawa za kulevya ni janga  la Kidunia linalopigwa vita  na Mataifa yote Duniani.
Hayo ameyaeleza huko Kiwanja cha Kombawapya Zanzibar katika Maaadhimisho ya kupiga vita  Utumiaji na Usafirishaji pamoja na  Udhalililshaji wa Dawa za kulevya Duniani.
Amesema Zanzibar inakadiriwa kuwa na watumiaji wa dawa za kulevya zaidi ya 9000 idadi ambayo ni kubwa ukilinganisha na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani