SIKU JK ALIPOHUTUBIA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL05 Oct
9 years ago
VijimamboMSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Monica Laurent (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati akimkaribisha msemaji wa mkutano huo kuzungumza na waandishi.Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini, Sisty Nyahoza (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu ambavyo ninastahili kushiriki uchaguzi mkuu. Kulia ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu,...
5 years ago
Michuzi9 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Oct
Sauti:Mkutano wa baraza la vyama vya siasa — Zanzibar
Sikiliza repoti ya Salma Said,
The post Sauti:Mkutano wa baraza la vyama vya siasa – Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
MichuziMKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA TANZANIA.ZANZIBAR.
Viongozi wa Meza Kuu wakiwa wamesimama wakati wa kuomba Dua Mkutano huo wa Baraza la Viongozi wa Vyama vya Siasa Tanzania uliovikutanisha Viongozi wa Vyama 22 vya Siasa Tamzania uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya bwawani Zanzibar.wa kwanza Jaji Lubuva Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Mzirai na Msajili Msaidi wa Vyama vya Siasa Tanzani Mhe Ibrahim Mkwawa.Mmoja wa Viongozi wa Vyama vya Siasa Tanzania akiuombea Mkutano huo wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania uliofanyika katika...
9 years ago
VijimamboMKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA WAFANYIKA ZANZIBAR.
Viongozi wa Meza Kuu wakiwa wamesimama wakati wa kuomba Dua Mkutano huo wa Baraza la Viongozi wa Vyama vya Siasa Tanzania uliovikutanisha Viongozi wa Vyama 22 vya Siasa Tanzania uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Bwawani Zanzibar, wa kwanza Jaji Lubuva Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Mzirai na Msajili Msaidi wa Vyama vya Siasa Tanzani Mhe Ibrahim Mkwawa.Mmoja wa Viongozi wa Vyama vya Siasa Tanzania akiuombea Mkutano huo wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania uliofanyika katika...
9 years ago
GPLKIFO CHA MTIKILA; BARAZA LA VYAMA VYA SIASA LAAHIRISHA KIKAO
Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Baraza la Vyama Vya Siasa nchini, Peter Kuga Mziray, Msajili Msaidizi vyama vya Siasa, Sist Nyahoza, na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Monica Laurent. Mwenyekiti Baraza la Kamati ya Bunge na Siasa na rais wa TADEA , John Lifachipaka (kushoto), Peter Kuga Mziray (akisoma taarifa yake), Msajili Msaidizi wa Vyama Vya Siasa na Sist Nyahoza. Wanahabari wakichukua tukio. Isome habari yote hapa===>PRESS...
11 years ago
Michuzi06 Feb
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania