SIKU OBAMA NA MKEWE WALIPOPATA TASWIRA NA VIONGOZI WA AFRIKA WHITE HOUSE
![](http://2.bp.blogspot.com/-xrPhenEPSc8/U-kEPwrnZ-I/AAAAAAAF-nA/DpVYq1qirg0/s72-c/600x600.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa na Rais Barack Obama na mkewe Michelle Obama katika picha ya kumbukumbu katika Ikulu ya nchi hiyo (White House) wakati wa dhifa ya kitaifa aliyowaandalia Viongozi wa nchi za Afrika aliowaalika katika mkutano wa Marekani na Wakuu wa nchi za Afrika jijini Washington DC wiki iliyoipita. Rais Obama na mkewe walipiga picha na kila kiongozi aliyehudhuria. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
Obama amzoma mwanaharakati White House
Rais Barack Obama alilazimika kumzima mwanaharakati aliyekatiza hotuba yake katika dhifa aliloandaa katika ikulu ya White House
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-tKN1Abv2rMA/VYr3J0Dls3I/AAAAAAADtYI/328nXznC7JA/s72-c/10014665_421838638001244_903348894355653106_n.jpg)
RAIS OBAMA AFUTURISHA WHITE HOUSE
![](http://2.bp.blogspot.com/-tKN1Abv2rMA/VYr3J0Dls3I/AAAAAAADtYI/328nXznC7JA/s640/10014665_421838638001244_903348894355653106_n.jpg)
President Obama hosted an Iftar dinner celebrating Ramadan at the White House on Monday. He put at his table two Somali women from Minnesota: Kadra Mohamed (sitting fourth from Obama's left) and Munira Khalif (sitting third from Obama's right).
Kadra is St. Paul's first female Somali police officer, and Munira was accepted to all 8 Ivy League universities and campaigns for girls' education.
10 years ago
Vijimambo12 Dec
10 years ago
Vijimambo15 Oct
RAIS OBAMA AKUTANA NA WAFANYAKAZI KITENGO CHA AFYA WHITE HOUSE
![](https://lh6.googleusercontent.com/-pftp0CqOaKE/VDxU9KCBXyI/AAAAAAACmdY/nLGIDNHDpAg/w1299-h866-no/P101314PS-0206.jpg)
9 years ago
Bongo514 Sep
Rais Obama abandika picha aliyopiga na Sauti Sol wakicheza ‘Sura Yako’ kwenye ukuta wa White House
Mafanikio kwa bendi ya Sauti Sol ya Kenya yanazidi kuonekana siku hadi siku. Kwa mujibu wa Sauti Sol, Rais Obama amebandika picha aliyopiga na bendi hiyo wakicheza hit song yao ‘Sura Yako’, kwenye ukuta wa White House ya Marekani. Picha hiyo ilipigwa wakati wa ziara ya Obama nchini Kenya miezi miwili iliyopita ambapo Sauti Sol […]
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Obama awaonya viongozi wa Afrika
Rais wa Marekani Barrack Obama,amewasuta viongozi wa Afrika ambao wanaendelea kusalia madarakani hata baada ya katiba kutowaruhusu kuendelea kuwania tena wadhfa wa urais.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6Ixhbro1Fc0/Vl3rBvN39SI/AAAAAAAIJo0/VdWUOtsDS7I/s72-c/ma.png)
MHE. BALOZI WILSON M. MASILINGI AKUTANA NA BI. CATHY BYRNE, MKURUGENZI MWANDAMIZI WA MASUALA YA AFRIKA, IKULU YA MAREKANI (WHITE HOUSE) TAREHE 30 NOVEMBA 2015
Mhe. Wilson M. Masilingi, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani, akifuatana na Bw. Paul Mwafongo alihudhuria mkutano na Bw. Louis Rene Peter Larose, Mkurugenzi Mtendaji, Benki ya Dunia, Kundi la Nchi za Afrika. Wengine waliohudhuria ni pamoja na Bw. Andrew Ndaamunhu Bvumbe, Mkurugenzi Mtendaji Mbadala Benki ya Dunia, Kanda ya Afrika, na Bw. WilsonToninga Banda, Mshauri, Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji. Shabaha ya Mkutano ilikuwa ni kufuatilia mazungumzo yaliyofanyika Lima,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7bdOJXJ6Ff4/U2HZrsurrsI/AAAAAAAFeNs/bv7BQlLp7Bc/s72-c/unnamed+(22).jpg)
Taswira za Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Jumuiya ya afrika mashariki jijini Arusha
![](http://1.bp.blogspot.com/-7bdOJXJ6Ff4/U2HZrsurrsI/AAAAAAAFeNs/bv7BQlLp7Bc/s1600/unnamed+(22).jpg)
11 years ago
Michuzi03 Aug
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania