Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba take on URA in friendly duel

>Simba SC square off against Uganda Revenue Authority (URA) in a friendly match scheduled for the National Stadium this evening.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Simba SC confirm friendly duel against Zambian side

Simba SC have confirmed a friendly match against Zambian heavyweights, Zesco FC, at the National Stadium on August 9.

 

10 years ago

GPL

Simba rasmi wateja wa URA

Kikosi cha timu ya Simba. Na Martha Mboma
WIKI moja kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara, Kocha wa Simba, Patrick Phiri, amepata changamoto ya kwanza baada ya kukutana na kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa URA ya Uganda katika mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, jana. Simba ambayo imekuwa ‘bize’ kuunda kikosi chao baada ya kutokuwa na mwelekeo mzuri kwa misimu miwili iliyopita, ilishindwa...

 

10 years ago

Michuzi

URA YAIZIMA SIMBA, YAIFUNGA 1-0

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Amri Kiemba (katikati),  akiwatoka  mabeki wa timu ya URA ya Uganda  katika mchezo wa Kimataifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. URA imeshinda 1-0. (Picha na Francis Dande)

 

10 years ago

Mwananchi

URA yaichapa Simba kwa mbwembwe

Simba imekubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa URA katika mchezo wa kirafiki uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba kujipima kwa URA leo

Simba na URA zinashuka uwanjani leo katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba, KCC vitani leo .Azam yaua 2-0, Chuoni vs URA sare

c WEKUNDU wa Msimbazi, Simba baada ya juzi kuanza vema michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kuifunga AFC Leopards ya Kenya kwa bao 1-0, leo inajitupa tena dimba la Amaan...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya kutoa sare mechi ya kwanza, hivi ndivyo Simba ilivyowaadhibu URA ya Uganda (+Pichaz)

Bado hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar inazidi kushika kasi kila kukicha, baada ya mchana wa January 6 kupigwa mchezo wa tatu wa Kundi A lenye timu za URA, JKU, Jamuhuri na Simba, usiku wa January 6 ukapigwa mchezo wa nne wa kundi hilo kwa kuzikutanisha timu za URA ya Uganda […]

The post Baada ya kutoa sare mechi ya kwanza, hivi ndivyo Simba ilivyowaadhibu URA ya Uganda (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Matokeo ya mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA dhidi ya JKU, kabla ya Simba kushuka dimbani (+Pichaz)

Jumatatu ya January 4 ni siku ambayo Kombe la Mapinduzi liliendelea tena kwa mchezo wa kwanza wa Kundi A kuchezwa katika uwanja wa Amani Zanzibar. Huu ulikuwa ni mchezo wa tatu wa mashindano na wa kwanza kwa Kundi A ambalo lina timu za Simba, Jamuhuri, JKU na URA ya Uganda. Hivyo timu ya URA dhidi […]

The post Matokeo ya mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA dhidi ya JKU, kabla ya Simba kushuka dimbani (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

TheCitizen

Simba SC play Zesco in friendly

Simba SC lock horns with Zambia’s Zesco FC in a friendly match at 60,000-seater National Stadium today.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani