Simona Halep aendeleza vipigo
Baada ya Simona Halep kumshushia kichapo cha seti 6-0 6-2 Serena Williams amezinduka na kumbamiza mcanada Eugenie Bouchard.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSHILOLE AENDELEZA VIPIGO KWA NUH
Shani ramadhani/mchanganyiko
MWANADADA anayefanya vizuri katika muziki na filamu nchini, Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole, ameendeleza tabia yake ya kumpa vipigo vya mara kwa mara mpenzi wake, Naftar Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ ambaye pia ni msanii. Mwanadada anayefanya vizuri katika muziki na filamu nchini, Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole akiwa na mpenzi wake Nuhu Mziwanda. Habari kutoka vyanzo vya kuaminika...
5 years ago
Galus Australis12 Mar
Global PETG Market 2017-2026| EASTMAN, SK, Simona, LSB (Artenius), Liaoyang Petrochemical
Global PETG Market 2017-2026| EASTMAN, SK, Simona, LSB (Artenius), Liaoyang Petrochemical Galus Australis
10 years ago
GPLJACK PATRICK AENDELEZA MITINDO GEREZANI CHINA
Imelda Mtema
Mwanamitindo wa Kibongo, Jacqueline Patrick ameendeleza fani yake ya mitindo akiwa gerezani huko Macau nchini China na kuwa kivutio kikubwa kwa wafungwa wenzake. Mwanamitindo wa Kibongo, Jacqueline Patrick. Chanzo chetu ambacho kinadili na masuala ya urembo na mitindo kilisema kuwa, licha ya Jack kuwa gerezani amekuwa akifuatilia mitindo mipya iliyoingia mjini kisha kuwafanyia wenzake. Chanzo hicho kilisema kazi...
11 years ago
GPLVAN GAAL AENDELEZA FURAHA MAN UNITED
Shinji Kagawa (kushoto), Darren Fletcher (katikati) na Tom Cleverley (kulia), wakishangilia baada ya kuifunga Inter Milan kwa penalti 5 -3. Fletcher na David De Gea wakishangilia kwa pamoja.…
9 years ago
MichuziMAGUFULI AENDELEZA KAMPENI WILAYA YA MBOZI MKOANI MBEYA
Mgombea Uras wa CCM Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Mbalizi mkoani Mbeya mapema leo asubuhi katika mkutano wa kampeni maeneo ya Mbalizi wilaya ya Mbozi. Wanakijiji cha Kanga wakitazama picha ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi Dkt Jonh Pombe Magufuli wakati mgombea huyo akielekea Chunya kwenye mkutano wa kampeni.Wananchi wa Mbalizi wakiwa wamekusanyika wakimsikiliza mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia...
10 years ago
VijimamboLOWASSA AENDELEZA MAFURIKO SHINYANGA SASA AFIKISHA WADHAMINI 7,114
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akisalimiana na motto mwenye ulemavu wa ngozi, Kabula Zacharia, anayetunzwa kwenye kituo cha kulea watu wenye ulemavu wa ngozi cha Buhangija mkoani Shinyanga, mara baada ya kupata wana CCM wa kumdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba chama kimteue kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. . Mh. Lowassa amabaye yuko kanda ya ziwa kutafuta wadhamini, alivunja rekodi ya kupatya...
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Vipigo vyatawala:Ligi ya Europa
Michuano ya ligi ya Europa imeendelea kutimua vumbi kwenye viwanja kadhaa barani Ulaya usiku wa kuamkia leo.
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Vinara La Liga waambulia vipigo
Timu vinara wa ligi kuu ya Hispania za Barcelona na Real Madrid zimeambulia vipigo katika mechi zao za mwishoni mwa wiki.
9 years ago
Habarileo04 Jan
Yanga ni vipigo mpaka Mapinduzi
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga, jana walianza vema michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mafunzo ya mjini hapa katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Amaan.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania