Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simu kanisani? tafakari tena

Kasisi mmoja nchini Italia, ameweka kifaa kanisani mwake kinachoweza kubana mawasiliano ya simu baada ya kuchoka kuwaomba waumini kuzima simu zao kila wakati alipokuwa anahubiri.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Blackberry na Sony kusalimu amri? Huenda wakaacha kutengenza tena simu

Katika vita vikali vya smartphones, washindani wawili wamepanga kuweka silaha chini. Wenyeviti watendaji wa Sony na BlackBerry kwa nyakati tofauti wote wamekubali kuwa mwaka 2016 unaweza kuwa mwaka wa kuachana na biashara ya simu. Sony imedai kuwa itafikiria mbadala mwingine kama kitengo chake cha simu kitashindwa kuwapa faida, wakati BlackBerry ikidai haiwezi kusema kuwa itafunga […]

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Mwananchi

Mungu hatafutwi mtandaoni, tafakari

Mtoto aliachwa pekee nyumbani. Jikoni alikuwa ameachiwa chakula cha kutosha, asusa, soda na juisi. Akajipa cheo cha baba mwenye nyumba, akawaalika watoto wenzie ili wafanye sherehe ndogo ya kumpongeza kwa kuukaimu u-baba. 

 

9 years ago

Mwananchi

Tafakari Mungu hatafutwi mtandaoni

Mtoto aliachwa pekee nyumbani. Jikoni alikuwa ameachiwa chakula cha kutosha, asusa, soda na juisi. Ghafla akajipa cheo cha baba mwenye nyumba. Akawaalika watoto wenzie ili wafanye sherehe ndogo ya kumpongeza kwa kuukaimu u-baba. Watoto nao waliposikia mwaliko huo hawakuwa na simile, dakika hiyohiyo walijaa sebuleni.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tunahitaji tafakari ya viongozi wakuu wastaafu

WAZEE wetu wastaafu ambao mlifanyakazi na Mwalimu Julius Nyerere tangu mwaka 1961 baada ya Uhuru

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA&UTAFITI: Waajiriwa wengi hufa maskini, tafakari ndugu

>Karibu ndugu yangu katika safu hii ambayo imekuwa ni msaada hasa kwa watu wenye ndoto za kubadilika katika maisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani