Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIMULIZI YA MPOTO: ATUMIWA PESA NA WAZUNGU KUJIFUNZA KIINGEREZA, AZILA

MPENZI msomaji wiki iliyopita katika simulizi hii tamu ya Mrisho Mpoto tuliishia mwaka 2001 alipofanyiwa mpango wa kwenda Marekani kushiriki projekti ya One Hand, Fingers ambayo ilikuwa ikihusisha nchi nyingine kama Kenya, Uganda, Tanzania, Marekani na Poland. Safari yake imekuwaje?Tambaa nayo mwenyewe... “Nikaenda na kufikia sehemu moja Marekani inaitwa Baltimore, Maryland katika Chuo Kikuu cha Towson. Nikakaa pale kama...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MRISHO MPOTO, WAZUNGU WAMPIGIA SALUTI, WAMPELEKA MAREKANI -6

MPENZI msomaji wiki iliyopita katika simulizi hii ya Mrisho Mpoto tuliishia pale Mrisho alipokuwa akijiingizia kipato cha shilingi 3,000 kwa kusimulia hadithi kwa siku kutoka 1,200 za kibarua ambapo sasa Wazungu kutoka Dar walimtumia nauli arudi. Tambaa nayo mwenyewe... “Ikabidi nikubaliane na wale Wazungu, nikatoka Kigoma na kurejea Dar, nakumbuka ilikuwa mwaka 1998 ambapo makazi yangu yalikuwa hayatabiriki kwani siku...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watanzania wamekata tamaa kujifunza Kiingereza

WATANZANIA wengi wamekata tamaa ya kujifunza Kiingereza pia wanaigopa lugha hiyo. Hayo yalisemwa Dar es Salaam jana na Katibu Mkuu wa Mradi vitabu vya Watoto ‘Children’s Book Project’, Pilli Dumea...

 

9 years ago

GPL

SIMULIZI YA MPOTO: APATA UMAARUFU, ARUDI SONGEA

MPENZI msomaji wa simulizi hii tamu ya Mrisho Mpoto, wiki iliyopita tuliishia pale Mrisho alipowasili nchini akitokea Marekani ambapo alikutana na Irene Sanga na kuandika mashairi na kukubalika na jina la Mjomba likatokea. Baada ya hapo alipata shoo nyingi lakini kuna jambo lilimtokea.Tambaa nayo mwenyewe... “Jambo kubwa la kwanza ni kwamba baada ya kupata shoo nyingi, nikaanza kuwa maarufu, naitwa na kufanya mahojiano mengi...

 

9 years ago

GPL

SIMULIZI YA MRISHO MPOTO: AANZISHA KAMPUNI, APELEKWA MAHAKAMANI

MPENZI msomaji wa simulizi hii tamu ya Mrisho Mpoto, wiki iliyopita tuliishia pale Mrisho alipoamua kuanzisha Kipindi cha Bongo Dar es Salaam na kufanikiwa kumuweka Dude lakini Dude huyohuyo akalewa sifa na kutaka kumgeuka ambapo alienda Televisheni ya Taifa (TBC) na kudai apewe mkataba mpya bila Mrisho kujua. Alikataliwa, je unajua kilichoendelea?Songa nayo sasa... “TBC wakaendelea kumgomea Dude kwamba hawawezi kuukatisha...

 

9 years ago

GPL

SIMULIZI YA MRISHO MPOTO: MANJI AMUOMBA KUGOMBEA UBUNGE, AMTOSA

MPENZI msomaji wa simulizi hii tamu ya Mrisho Mpoto, wiki iliyopita tuliishia pale alipoanika baadhi ya mali zake na pia akaelezea kwa kina kuhusiana na shamba alilolitenga la ekari 35 kwa ajili ya kusaidia vijana kimuziki. Songa nayo sasa... Kwa nini Mrisho huwa hupendi kumwanika mkeo?
(anacheka, anatikisa kichwa...) “Kikubwa ni kwamba mke wangu ni mtu ambaye tunafahamiana sana tangu kitambo (sijawa na jina) alikuwa na...

 

9 years ago

GPL

SIMULIZI YA MPOTO: MKEWE AJIFUNGUA, ASHINDWA KUMPA JINA MTOTO

MPENZI msomaji wiki iliyopita katika simulizi hii ya Mrisho Mpoto tuliishia pale alipofunga harusi ya ajabu ambapo keki ilikuwa boga na dafu ikawa ndiyo shampeni. Katika harusi hiyo pia MC alikuwa Mrisho mwenyewe na wenzake tisa na pia tulielezea pale mwisho wa harusi hiyo alipomaliza alifunga mlango na kurudisha ufunguo kwa wahusika waliompa ukumbi.Tambaa nayo mwenyewe... “Baada ya kuoa, nikakaa fungate kwa siku kadhaa ambapo...

 

9 years ago

GPL

SIMULIZI YA MPOTO: BABA AMLILIA, AFUTA MACHOZI NA KUCHANGANYA NA MAJI, AKAMWAGIWA!

MPENZI msomaji wa simulizi hii tamu ya Mrisho Mpoto, wiki iliyopita tuliishia pale Mrisho alipowasiliana na baba yake kwa njia ya simu na kumtaka kwenda kumchukua Songea kwa kuwa hali yake kimaisha haikuwa nzuri. Alikubaliwa na mama yake na alipofika Songea kuna kitu kiliendelea. “Baba aliponiona tu kwa mara ya kwanza tangu aniache mdogo alilila sana. Alitoka machozi ya mtu mzima, akayakinga na kuchanganya na maji kisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani