Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania wamekata tamaa kujifunza Kiingereza

WATANZANIA wengi wamekata tamaa ya kujifunza Kiingereza pia wanaigopa lugha hiyo. Hayo yalisemwa Dar es Salaam jana na Katibu Mkuu wa Mradi vitabu vya Watoto ‘Children’s Book Project’, Pilli Dumea...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Magufuli: Watanzania wamekata tamaa

magufuli*Asema haiwezekani wachache wale kuku kwa mrija

 

Na Bakari Kimwanga, Iringa

 

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema amejipanga kulipa deni kwa Watanzania kwa kuleta mabadiliko ya kweli.

Amesema pamoja na hali hiyo, anatambua namna wananchi walivyokata tamaa ikiwamo kushindwa kubadili maisha yao, kutokana na ubinafsi wa watu wachache ambao wameamua kujimilikisha rasilimali za nchi.

Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti jana,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Wananchi Same Mashariki wamekata tamaa’

MWANAHARAKATI na mdau wa maendeleo ya wananchi wa Same Mashariki, Allan Mmanyi ‘Mkombozi’ amesema hali ya maisha ya wakazi wa vijiji vingi vya Same Mashariki inasikitisha kwa kuwa wengi wao...

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi wamekata tamaa vita dhidi ya rushwa

Anasema hali hiyo si nzuri na inatoa changamoto mpya katika vita dhidi ya rushwa hasa kutokana na wananchi wengi kupoteza imani katika vita hiyo, kwa kuwa ndiyo wanaoathirika moja kwa moja na hawaoni hatua zozote madhubuti kukomesha na kuwashughulikia watuhumiwa wa matukio hayo.

 

9 years ago

GPL

SIMULIZI YA MPOTO: ATUMIWA PESA NA WAZUNGU KUJIFUNZA KIINGEREZA, AZILA

MPENZI msomaji wiki iliyopita katika simulizi hii tamu ya Mrisho Mpoto tuliishia mwaka 2001 alipofanyiwa mpango wa kwenda Marekani kushiriki projekti ya One Hand, Fingers ambayo ilikuwa ikihusisha nchi nyingine kama Kenya, Uganda, Tanzania, Marekani na Poland. Safari yake imekuwaje?Tambaa nayo mwenyewe... “Nikaenda na kufikia sehemu moja Marekani inaitwa Baltimore, Maryland katika Chuo Kikuu cha Towson. Nikakaa pale kama...

 

11 years ago

Habarileo

Watanzania kujifunza ufundi China

MJUMBE wa Baraza la Ushauri wa Kisiasa la China (CPPCC), Dk Annie Wu amesema atatoa ufadhili wa nafasi za masomo kwa wanafunzi wa Tanzania kwenda kusoma elimu ya ufundi nchini China.

 

11 years ago

Habarileo

'Watanzania acheni tamaa, ubinafsi'

WAZIRI Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amewataka Watanzania kuachana nxa ubinafsi kwa kuridhika na walichonacho. Pia, ametaka Watanzania kujiepusha na tamaa ya kile kidogo walichonacho watu wasio na uwezo.

 

11 years ago

Habarileo

Watanzania kujifunza gesi, mafuta Canada

SERIKALI ya Tanzania inatarajia kutuma wataalamu kwenda Canada katika Kamisheni ya Mafuta na Gesi ya jimbo la British Columbia (BC Oil& Gas Commission), kujifunza udhibiti wa mafuta na gesi.

 

10 years ago

Michuzi

Kitwanga awataka Watanzania kujifunza fursa Sekta ya Madini

Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Charles Kitwanga, akisisitiza jambo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa kuimarisha ushirikishwaji wa watanzania katika sekta ya madini unaofanyika jijini MwanzaBaadhi wa washiriki wa mkutano wa kuimarisha ushirikishwaji wa watanzania katika sekta ya madini wakifuatilia hotuba ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga anayeshughulikia Nishati (hayupo pichani).Kamishna Msaidizi wa Madini anayeshughulikia Migodi Mhandisi Ally...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mo apata tuzo nyingine, adhihirisha tamaa ya kuwatumikia watanzania

IMG_3351

Mfanyabiashara maarufu ambaye pia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji akitembea kwenye ‘Red Carpet’ mara baada ya kuwasili katika hotel ya Hilton Sandton jijini Johannesburg, Afrika Kusini kwenye hafla ya utoaji tuzo iliyoandaliwa na jarida maarufu la Forbes na kutunukiwa tuzo ya “Forbes Africa Person Of the Year 2015”.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).

Na Modewjiblog team

MFANYABIASHARA na  mtu mwenye taasisi ya kusaidia jamii, Mohammed Dewji maarufu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani