Watanzania wamekata tamaa kujifunza Kiingereza
WATANZANIA wengi wamekata tamaa ya kujifunza Kiingereza pia wanaigopa lugha hiyo. Hayo yalisemwa Dar es Salaam jana na Katibu Mkuu wa Mradi vitabu vya Watoto ‘Children’s Book Project’, Pilli Dumea...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Magufuli: Watanzania wamekata tamaa
*Asema haiwezekani wachache wale kuku kwa mrija
Na Bakari Kimwanga, Iringa
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema amejipanga kulipa deni kwa Watanzania kwa kuleta mabadiliko ya kweli.
Amesema pamoja na hali hiyo, anatambua namna wananchi walivyokata tamaa ikiwamo kushindwa kubadili maisha yao, kutokana na ubinafsi wa watu wachache ambao wameamua kujimilikisha rasilimali za nchi.
Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti jana,...
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
‘Wananchi Same Mashariki wamekata tamaa’
MWANAHARAKATI na mdau wa maendeleo ya wananchi wa Same Mashariki, Allan Mmanyi ‘Mkombozi’ amesema hali ya maisha ya wakazi wa vijiji vingi vya Same Mashariki inasikitisha kwa kuwa wengi wao...
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Wananchi wamekata tamaa vita dhidi ya rushwa
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3ydo-rPuK9quHDPUqtLOZaAQs3El2tXVKVv*boiSLjiVYtyT6CXJ-fLdOyCSJD-UeDdGb0ZP2F2yscRMBa1Kwo4gqHYdPSwj/mpoto2.jpg?width=650)
SIMULIZI YA MPOTO: ATUMIWA PESA NA WAZUNGU KUJIFUNZA KIINGEREZA, AZILA
11 years ago
Habarileo22 Jun
Watanzania kujifunza ufundi China
MJUMBE wa Baraza la Ushauri wa Kisiasa la China (CPPCC), Dk Annie Wu amesema atatoa ufadhili wa nafasi za masomo kwa wanafunzi wa Tanzania kwenda kusoma elimu ya ufundi nchini China.
11 years ago
Habarileo04 Mar
'Watanzania acheni tamaa, ubinafsi'
WAZIRI Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amewataka Watanzania kuachana nxa ubinafsi kwa kuridhika na walichonacho. Pia, ametaka Watanzania kujiepusha na tamaa ya kile kidogo walichonacho watu wasio na uwezo.
11 years ago
Habarileo17 Jul
Watanzania kujifunza gesi, mafuta Canada
SERIKALI ya Tanzania inatarajia kutuma wataalamu kwenda Canada katika Kamisheni ya Mafuta na Gesi ya jimbo la British Columbia (BC Oil& Gas Commission), kujifunza udhibiti wa mafuta na gesi.
10 years ago
MichuziKitwanga awataka Watanzania kujifunza fursa Sekta ya Madini
![](http://3.bp.blogspot.com/-lspJs-C0ORE/VQbxfB4YjVI/AAAAAAAHKv4/8nk5qHsg98s/s1600/2B.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FPFrZV1_pL8/VQbxfJM3IoI/AAAAAAAHKv0/lryK3dJb7VM/s1600/3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Nov
Mo apata tuzo nyingine, adhihirisha tamaa ya kuwatumikia watanzania
Mfanyabiashara maarufu ambaye pia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji akitembea kwenye ‘Red Carpet’ mara baada ya kuwasili katika hotel ya Hilton Sandton jijini Johannesburg, Afrika Kusini kwenye hafla ya utoaji tuzo iliyoandaliwa na jarida maarufu la Forbes na kutunukiwa tuzo ya “Forbes Africa Person Of the Year 2015”.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Na Modewjiblog team
MFANYABIASHARA na mtu mwenye taasisi ya kusaidia jamii, Mohammed Dewji maarufu...