SIR ELTON JOHN ALIVYOMEREMETA NA MPENZI WAKE DAVID FURNISH
![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3Omqw-SmE*elG-0yd*1jniYYBh6LOrWoRNsZSz7Um9ufg1v5Pj2zwcyJrjlwFREGdDtc6l9XY12L6suBopu0wbfd/2434751F000005782882643Cutting_the_cake_David_Walliams_posted_a_picture_of_the_happy_coa37_1419208958496.jpg?width=650)
Sir Elton John akikata keki na mpenzi wake David Furnish. Elton John akikata keki kwa ajili ya kumpatia mtoto wao wa kwanza Zachary.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zdyFMqJvbXIAkLFWnHz6h2D9cU27ZrfaHmf65g9lNtjjbjp2*6lyhA0-8J8Vuflwoh-jCDN2WX1AQMi0q4Hx-sc0vKVj37RT/eltonjohncredjosephguay6b2f8a905f3ad329dd271a2ea6e4f13eb7a4464a.jpg?width=650)
MWANAMUZIKI SIR ELTON JOHN
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Elton John na David kufanya harusi
10 years ago
CloudsFM23 Dec
ELTON JOHN AFUNGA NDOA RASMI, DAVID BECKHAM AHUDHULIA
GWIJI wa muziki wa Rock Uingereza, Sir Elton John amefunga ndoa na mpenzi wake David Furnish ikiwa ni miaka tisa tangu Desemba 21, 2005 walipoingia katika uhusiano huo wa watu wenye jinsia moja.
Walifunga ndoa mbele ya wanafamilia, marafiki na wageni wachache walioalikwa huko Windsor nchini England.
Waalikwa wengi wao walikuwa watu maarufu wakiwemo: Familia ya David na Victoria Beckham, David Walliams na mkewe Lara Stone, Liz Hurley na mwanaye Damian, waliowasili kwa usafiri wa gari katika...
10 years ago
CloudsFM19 Dec
ELTON JOHN KUFUNGA NDOA
Mwanamuziki nguli wa nchini Uingereza,Elton John anatarajia kuolewa katika ndoa ya jinsia moja na mpenzi wake wa siku nyingi aliyedumu naye kwa miaka 20,David Furnish.
Mwanamuziki huyo anatarajia kufunga ndoa mwezi Desemba 21,mwaka huu,Elton John ana umri wa miaka 67 na mpenzi wake ana umri wa miaka 52 wametangaza nia ya kufunga ndoa baada ya kuishi muda mrefu kama mume na mke.
Pamoja na kuwa baadhi ya nchi hazikubaliani na suala la kufunga ndoa kwa watu wa jinsia moja,lakini wanaume hao...
9 years ago
BBCSwahili13 Sep
Elton John ataka kutetea mashoga Urusi
5 years ago
The Guardian16 Feb
Elton John cuts short New Zealand gig after catching pneumonia
5 years ago
USA TODAY30 Mar
Elton John couldn't perform in 'Living Room Concert for America,' but Mariah Carey, others did
5 years ago
Mirror Online06 Apr
Mark Viduka on how Elton John nearly told the world about his Man Utd transfer talks
11 years ago
Dewji Blog14 Jul
David Beckham aonyesha wazi ushabiki wake kwa Argentina baada ya kuwavisha watoto wake jezi za timu hiyo
Family outing: David Beckham and his three sons Brooklyn, Cruz and Romeo were all in attendance – with the boys all wearing Argentina kits.
Family ties: Beckham’s youngest son Cruz was also showing his support for Argentina in the team’s dark blue away kit.
Switched allegiances: David Beckham was in the crowd for the final with his young sons, including Romeo, 11, who was wearing an Argentina shirt.
Stars of the game: Former Brazilian internationals Kaka and Pele with Beckham before the...