Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Elton John ataka kutetea mashoga Urusi

Mwanamuziki Sir Elton John amesema angependa sana kukutana na Vladimir Putin ingawa anajua baadaye kiongozi huyo huenda akamcheka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWANAMUZIKI SIR ELTON JOHN

Stori:  Hashim Aziz na mtandao
Wengi wanamjua Elton John kutokana na sauti yake nzuri awapo jukwaani ambapo nyimbo zake nyingi, zikiwemo Sacrifice na Candle in the Wind, zimemfanya atambulike dunia nzima. Kubwa zaidi, msanii huyu ni miongoni mwa watu wachache duniani waliokiri kuwa na uhusiano wa jinsia moja (shoga). Yafuatayo ni mambo kumi usiyoyajua kuhusu msanii huyu. 1. Elton Johh alianza kujifunza kupiga piano akiwa na...

 

10 years ago

CloudsFM

ELTON JOHN KUFUNGA NDOA

Mwanamuziki nguli wa nchini Uingereza,Elton John anatarajia kuolewa katika ndoa ya jinsia moja na mpenzi wake wa siku nyingi aliyedumu naye kwa miaka 20,David Furnish.
Mwanamuziki huyo anatarajia kufunga ndoa mwezi Desemba 21,mwaka huu,Elton John ana umri wa miaka 67 na mpenzi wake ana umri wa miaka 52 wametangaza nia ya kufunga ndoa baada ya kuishi muda mrefu kama mume na mke.
Pamoja na kuwa baadhi ya nchi hazikubaliani na suala la kufunga ndoa kwa watu wa jinsia moja,lakini wanaume hao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Elton John na David kufanya harusi

Msanii Sir Elton John atafanya ndao yake na mwana filamu David Furnish baadaye jumapili.

 

5 years ago

The Guardian

Elton John cuts short New Zealand gig after catching pneumonia

Elton John cuts short New Zealand gig after catching pneumonia  The GuardianElton John Cuts Concert Short Due to Walking Pneumonia  VarietyElton John Leaves Stage In Tears After Being Diagnosed With Walking Pneumonia  LADbibleElton John receives paramedic attention during Auckland concert  TVNZElton John Forced to Cut Concert Short Due to 'Walking Pneumonia'  Ultimate Classic RockView Full coverage on Google News

 

10 years ago

GPL

SIR ELTON JOHN ALIVYOMEREMETA NA MPENZI WAKE DAVID FURNISH

Sir Elton John akikata keki na mpenzi wake David Furnish. Elton John akikata keki kwa ajili ya kumpatia mtoto wao wa kwanza Zachary.…

 

10 years ago

CloudsFM

ELTON JOHN AFUNGA NDOA RASMI, DAVID BECKHAM AHUDHULIA

GWIJI wa muziki wa Rock Uingereza, Sir Elton John amefunga ndoa na mpenzi wake David Furnish ikiwa ni miaka tisa tangu Desemba 21, 2005 walipoingia katika uhusiano huo wa watu wenye jinsia moja.Walifunga ndoa mbele ya wanafamilia, marafiki na wageni wachache walioalikwa huko Windsor nchini England.Waalikwa wengi wao walikuwa watu maarufu wakiwemo: Familia ya David na Victoria Beckham, David Walliams na mkewe Lara Stone, Liz Hurley na mwanaye Damian, waliowasili kwa usafiri wa gari katika...

 

5 years ago

USA TODAY

Elton John couldn't perform in 'Living Room Concert for America,' but Mariah Carey, others did

Elton John couldn't perform in 'Living Room Concert for America,' but Mariah Carey, others did  USA TODAYiHeart Living Room Concert For America: Billie Eilish, Mariah Carey Play Elton John’s Star-Studded Fundraiser  BillboardCamila Cabello & Shawn Mendes Perform "My Oh My" | THE iHEART LIVING ROOM CONCERT FOR AMERICA  FOXElton John Closes iHeart Living Room Concert for America With 'Don't Let the Sun Go Down on Me'  BillboardView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Mirror Online

Mark Viduka on how Elton John nearly told the world about his Man Utd transfer talks

Mark Viduka on how Elton John nearly told the world about his Man Utd transfer talks  Mirror OnlineElton John almost let slip about Mark Viduka's secret contract talks with Manchester United  ESPNLeeds rejected AC Milan offer for Viduka  FTBL Australia‘What a day’, ‘Unbelievable’ – Liverpool throwback leaves many Leeds United buzzing  Football League WorldLeeds’ Mark Viduka swoop in 2000 a superb piece of business  FootballFanCast.comView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Vijimambo

MKE WA DAVID HAINES ATAKA JIHAD JOHN AKAMATWE AKIWA HAI

Mauaji ya kundi la Islamic State
Dragana Haines mke wa David Haines,mamlaka zinapaswa kumsaka na kumkamata akiwa hai mtu aliyemuua mume wake kwa kumchinja baada ya kutekwa na kundi la wapiganaji wa dola ya kiislam Islamic State wakati akifanya kazi na shirika la misaada la Uingereza.Mtu aliyemchinja David Haines na wengine tayari amefahamika kuwa ni Mohamed Emwazi.

Bi.Dragana amesema tangu alipojua kuwa mmewe David amechinjwa alijipa matumaini moyoni mwake kuwa ipo siku muuaji huyo atafahamika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani